Je, siku ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Je, siku ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu siyo wote nawapatia kwa mtindo huo, lakini by the way mimi mademu niliowamega kwa kutongoza kwa mdomo wangu na sound zangu aisee hawazidi watano ila mademu wengi niliowamega huwa si kwa kuwatongoza, huwa tu nawafanya marafiki tunazoeana alafu mwisho siku tunajikuta tu tushakuwa wapenzi bila hata kutongozana [emoji16][emoji16][emoji16] nyie huwa mnaita kumega kimasiara, mfano ani unakutana na demu unamfanya rafiki tu vzuri mnadumu kwenye urafiki wenu baada ya mda kidogo unashangaa anaanza kukuita my, mara usipompigia siku ama kum txt kwa siku moja tu unashangaa kuzira anatuma txt kumbe hata hunipendi hunikumbuki siku nzima, sasa na mimi hapo najiuliza sasa huyu demu kwani nani kamwambia nampenda, mwisho wa siku naanza kutimiza anayotaka mfano kumkumbuka kumpigia sim hata mara 3 kwa siku, siku ingine namwita geto kimasiara na yeye anakuja kimasiara then naanza kumchezea mwili wake kimasiara na yeye analegea kimasiara na mm nakula game kimasiara then anarud kwao akiwa ameliwa kimasiara hivo hvo alafu kesho yake anamkaa na txt umeamkaje mme wangu na mimi naitikia kimasiara hvo hvo ndo ivo tunakuwa na mahusiano ya kimasiara masiara tu mwisho wa siku tunachaana kimasiara hivo hivo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeelewa io [emoji23]
 
Mmmnh kwel eeh... Basi nitafanya hivo, na ww ulipigwa nn kisa mtongozo? [emoji1][emoji1][emoji1]
we acha tu,Kuna dem flan alohamia tkiwa la 6 yeye alkuw la 5 nkatkea kmuelewa mama yake alkuw mwalim mkuu we2..nlkuw naishi na brothers wakanambia acha ufala mtokee..daah kila sku nkrd home sna aman wadau wananzngua tu,wakaniitia sku 1 bomban tlkuw tnafua, akaja..neno ambalo nalikumbuka nlimuambia mambo[emoji25] ayo mengine sasa ata nlkuw cjui nlkuw naongea ujinga gan mana hayahusian...ok all in all alzngua..nkaona isiwe tab brothers wakanidizainia mistar nkaandika barua ikapitishwa na bunge la brothers kuwa iko good nkamuagiz mshkaj wng (kaka mkuu msaidiz) ili aipeleke. Kumbuka na mm wakat huo nlkuw kaka mkuu ila domo zege...alivyoipata aisee
hakujibu pale akaichkuwa akampelekea mamaake,..siku hiyo sjaitwa kunywa chai ya staff mana kila sku ile top 4 ya viongoz tnaitwa saa nne kupiga chai ofsin..nkastukia gem kmbe ilkuw kwel..nkaitwa ofsn nkala kichambo na fimb zang kma 12 hiv nkaona fresh...kmbe mambo hayakuishia pale[emoji23]...mm nilienda kusemewa kwa maza tna mbele ya mzee, ukizngatia mzee wangu alkuwa mkali kinoma...nilikula mikwaju ile siku. siwezi sahau mana alikuja mamaake babaake na yeye, walikuja nymbani ili tulijadili.Niliwah kwenda kwao usiku na wadau wangu kumpiga mayai viza[emoji23]..baasi tu nlimchukia sana..Inaniuma mpaka leo asee..Akaja kuhama wakati niko la 7 yeye alkuwa la 6, mama yake alikuwa mwlm mkuu wetu, na baba yake alkuw Doctor mkuu kweny hospital ya maeneo yale.

Alinitafuta mwez ulopita na wiki hii naend onana nae, ..kawa mzuri zaidi ya tulivyokuwa primary..Alinikumbushia ile kitu juz kat nkaipotzea kidizain ili asiseme nnaham ya kulipiza[emoji18]..ntalipiza naamin hivyo...naamiin machungu yangu yote yataisha...
 
Hii niliwahi kukutana nayo. Niko darasa la 2. Nilikataa. Sijilaumu hata kidogo. Darasa la pili mapenzi ya nini? Hata ningerudishwa tena leo hii darasa la 2 na akaja, ningekataa.
Wakati niko darasa la tano kuna mtoto wa darasa la nne alinitumia barua ya kunitongoza aisee kwa ufala wangu wakati huo
 
Nakumbuka mwanzo kabisa wa mwaka wetu wa daraSa la 6 tulitoka kukaa n yumba ya Giza na kuamia kwenye umeme basi home wakanunua pasi ya umeme hapo nikaanza kupasi nguo mixer vile vimikunjo mgongoni na pembeni ya mikono sijuI nan anaikumbuka hii style ya kupasi!!!
basi bwana nilikuwa kila siku Nafua na kupasi kitu kilichokuwa kinafanya naonekana msafi kila siku tena nilikuwa na viatu vyangu vya kufuta vimechongoka mbele hahahahahaa ilikuwa sio kinyonge...
kunasiku mwalimu kaingia darasani katupanga kwenye madawati wasichana wawili mvulana mmoja anakaa kati basi bwana nilipangwa na watoto wawili waliokuwa wanakimbiza darasani nkasema mambo so ndo haya bwana.
Hatukumaliza hata wiki tukaanza kutumiana vizawadi mala tunaandikiana vikaratasi hahahaa apo mwanaume sielewi kitu Kumbe darasa Zima linajua mahusiano yangu ambayo Mimi mwenyewe siyajui hahah

Shetani alikuwa anakuja speed ila sisi watumishi tulikuwa tunawakabidhi mbele ya mola...... waiter chupa iko tupu hii... niongeze ya moto[emoji481][emoji481][emoji481]
Ushawahi kufanya jambo ukajiona ninjaaa alafu baadae ukaanza kujuta mpaka uninja unaisha unakuwa ka Yuda Eskalioti.... Gauge inasoma vzr bado [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] si unaona mwandiko🤣🤣
 
Sikumbuki kama aliwahi kunikubalia ombi langu, zaidi tulijikuta tunadinyana tu. Zamani mwanamke ilikuwa ngumu kusema kakubali zaidi ya vitendo.
 
😂😂😂 mkuu siyo wote nawapatia kwa mtindo huo, lakini by the way mimi mademu niliowamega kwa kutongoza kwa mdomo wangu na sound zangu aisee hawazidi watano ila mademu wengi niliowamega huwa si kwa kuwatongoza, huwa tu nawafanya marafiki tunazoeana alafu mwisho siku tunajikuta tu tushakuwa wapenzi bila hata kutongozana 😁😁😁 nyie huwa mnaita kumega kimasiara, mfano ani unakutana na demu unamfanya rafiki tu vzuri mnadumu kwenye urafiki wenu baada ya mda kidogo unashangaa anaanza kukuita my, mara usipompigia siku ama kum txt kwa siku moja tu unashangaa kuzira anatuma txt kumbe hata hunipendi hunikumbuki siku nzima, sasa na mimi hapo najiuliza sasa huyu demu kwani nani kamwambia nampenda, mwisho wa siku naanza kutimiza anayotaka mfano kumkumbuka kumpigia sim hata mara 3 kwa siku, siku ingine namwita geto kimasiara na yeye anakuja kimasiara then naanza kumchezea mwili wake kimasiara na yeye analegea kimasiara na mm nakula game kimasiara then anarud kwao akiwa ameliwa kimasiara hivo hvo alafu kesho yake anamkaa na txt umeamkaje mme wangu na mimi naitikia kimasiara hvo hvo ndo ivo tunakuwa na mahusiano ya kimasiara masiara tu mwisho wa siku tunachaana kimasiara hivo hivo 😂😂😂
Sasa tulitaka kujua ulivyo weza kutongoza kwa Mara ya kwanza sio ulivyokura tunda kwa Mara ya kwanza
 
Aisee kwa mara ya kwanza ndo naanza kujitambua au barehe, kuna pisi moja kali niliieelewa sana ilikuwa jirani na kwetu,, sasa nikaanza namna ya kuiambia shida yangu,,

Ilikuwa mtiti kutamka neno nakupenda kijasho kilinitoka na maongezi yaliyo jaa hofu, nilijikakamua nikamwambia unajua neema huku nikijikanyaga kijasho cha kutosha
Unajua mimi nimeshindwa tu kukwambia siku za nyuma ,neema mimi naku huku nikisita naku, nakupenda nataka tuwe wapenzi,,

Mara naye akadakia hata mie pia nilikuwa nakupenda ila nikuwa nashindwa kukwambia .
Mambo siyakawa mambo,, hapohapo tukapeana na ahadi kwamba ntamtafuta baadae.

Neema nilikupenda kwa dhati japo ulinipiga mizinga ya kutosha na ulicho nifanyia sitokisahau na ulinifunndisha mpaka sasa nimekuwa mgumu wa kuhonga.
Popote ulipo ntakukumbuka kwa mizinga yako. Hakika ulinikomesha.
 
Wakati nimeanza kujielewa kuna beki3 mmoja aliletwa nyumba ya jirani ambayo tulikuwa tumezoea sana kwenda kubazbaz tu ilimlad muda uendee hapo Mimi nilikuwa napenda kwenda kwa ajili ya mazingira yake kuwa tulivu mala nyingi wenye nyumba walikuwa hawapo nyumbani.
kunasiku nilitoka kwa broh nikakuta ka vodafone kametulia nikakabeba nikaeenda kukasajilia line nkaanza kukatumia
sasa yule beki3 alikuwa hana simu nikawa namuoshea mda mwingine hata nazuga naongea na Mtu kumbe hollah basi bwana kunasiku niko na jamaa yangu tukapita hapo mi nkazuga naongea na demu ambaye tulikuwa wapenzi then tukaatemana lakin tunakumbushia enzi...nikaongea kitambo kidogo baadae nikakata simu nikapiga story mbili tatu tukaaga kuondoka nikaona manzi ananizuia kuondoka na kumluhusu jamaa yangu kuondoka kwa kudai anamaongezi na Mimi
nikakubali alipoondoka jamaa yule Dada wa watu akaanza kujiongelesha sema umeshawahiwa martinezstavo mi nkashangaa alafu nkamuuliza shida nini akawa anazunguka mbuyu badae akanisogelea karibu akaanza kuchezea kifua hapo mwanaume ndo naanza kuelewa anaongelea nini dah utoto raha sana haukuchukua muda tukatafunana alafu nikakata mguu kwenye Ile nyumba kwa uoga +nikikutana na yule pisi kama kunanjia imekatisha karibu napiga msele kabisa
 
Aisee kwa mara ya kwanza ndo naanza kujitambua au barehe, kuna pisi moja kali niliieelewa sana ilikuwa jirani na kwetu,, sasa nikaanza namna ya kuiambia shida yangu,,

Ilikuwa mtiti kutamka neno nakupenda kijasho kilinitoka na maongezi yaliyo jaa hofu, nilijikakamua nikamwambia unajua neema huku nikijikanyaga kijasho cha kutosha
Unajua mimi nimeshindwa tu kukwambia siku za nyuma ,neema mimi naku huku nikisita naku, nakupenda nataka tuwe wapenzi,,

Mara naye akadakia hata mie pia nilikuwa nakupenda ila nikuwa nashindwa kukwambia .
Mambo siyakawa mambo,, hapohapo tukapeana na ahadi kwamba ntamtafuta baadae.

Neema nilikupenda kwa dhati japo ulinipiga mizinga ya kutosha na ulicho nifanyia sitokisahau na ulinifunndisha mpaka sasa nimekuwa mgumu wa kuhonga.
Popote ulipo ntakukumbuka kwa mizinga yako. Hakika ulinikomesha.
Ahahahahahaaa nimecheka sana tena Kwa sauti
 
Nilikuwa nimekaa na rafiki zangu halafu mmoja wa rafiki yangu alikuwa na mdogo wake wakike tena hakuwa mbali na tulipo alikuwa anacheza huko na rafikizake.. mi nikaanza mtania jamaa namtaka dada yako,nampenda hivi na vile kumbe kulikuwa na kadogo kanasikia kajinga kale kakaondoka Kama kapo!,si kakaenda kumwaga umbea kwa yule mtoto!.. bandugu yule mtoto wa kike sijui alikuwa na ujasiri gani hakumuyeshimu hata kaka yake akaja pale mbele yetu jicho lote kwangu mtoto akashika kiuno mguu mmoja mbele mwengine nyuma mixer kunesanesa na ile kanga ya rede kiununi.. nilichambwa mimi! Yani nilichambwa Sana lile neno unikome sikuhiyo nililipatapata vilivyo!.. niliaibika mbele ya rafiki zangu mimi.. komamanga la watu sikutia hata neno uso ulinishuka ule mtaa niliacha kwenda takribani wiki kadhaa!.. kale kamanzi kalinitesa kisaikolojia nikawa naogopa hata kuaproach! Kajinga Sana kale.
Wallahi nimecheka nyie
 
Nimekumbuka mbali sana [emoji23][emoji23] shule za jinsia moja ziliniaribu sana ,
Tulikua tukifunga shule basi tunaenda kusoma tuition na washkaji angalau ata kubadilishana mawazo na watoto wa kike sasa kuna siku tuko pale tunasoma io tuition kuna madem tukaamua tuwafate ili tujuane walikua kama wanne ivi alaf sisi wa tatu tukagawana kila mtu ata mfata wa mwake ila tutaenda ki group maana na wao walikua marafiki pia , mda ukafika tukakumbushana kuwafata duh! Kufika pale tukawaambia kuwa sisi wote watatu tunawapenda na tumetoka kuwaelewa walichekaa sito sahau[emoji23][emoji23]
Ila mwisho wa siku kila mtu alipewa namba maana tulikua wachesh sana wakapenda kutembea na sisi ili wapate mawili matatu nakuwafurasisha
Haha mlijisusa siku iyo
 
Nakumbuka mwanzo kabisa wa mwaka wetu wa daraSa la 6 tulitoka kukaa n yumba ya Giza na kuamia kwenye umeme basi home wakanunua pasi ya umeme hapo nikaanza kupasi nguo mixer vile vimikunjo mgongoni na pembeni ya mikono sijuI nan anaikumbuka hii style ya kupasi!!!
basi bwana nilikuwa kila siku Nafua na kupasi kitu kilichokuwa kinafanya naonekana msafi kila siku tena nilikuwa na viatu vyangu vya kufuta vimechongoka mbele hahahahahaa ilikuwa sio kinyonge...
kunasiku mwalimu kaingia darasani katupanga kwenye madawati wasichana wawili mvulana mmoja anakaa kati basi bwana nilipangwa na watoto wawili waliokuwa wanakimbiza darasani nkasema mambo so ndo haya bwana.
Hatukumaliza hata wiki tukaanza kutumiana vizawadi mala tunaandikiana vikaratasi hahahaa apo mwanaume sielewi kitu Kumbe darasa Zima linajua mahusiano yangu ambayo Mimi mwenyewe siyajui hahah
Mkuu ulikuwa kwenye mahusihano ambayo wewe mwenyewe hujui yanahusihana na nini
 
Kuna siku nakumbuka niliwahigi kuambiwa kuwa njia nzur ya kutongoza dem ni eye to eye contact basi kuna dem ivi primary nikawa na muangalia akigeuka nyuma alaf natabasam akawa na yye anacheka kicheko cha ku smile , basi nikawaambia washkaj zangu kila kityu wakaniambia apo tayal ameshakubali we kamalizie mchezo awez kukataa[emoji41], nika pampika nikajaa acha niende nikiamini leo ka kamilisha mchezo ile kufika nikamvuta pemben, si nahisi amesha nielewa nika mwambia apo apo nataka niwe mchumba wako ramsi , nikiwa najiamin balaa uku nimeweka mapoz ya ki gentleman yule mdada alikimbia eti kuwaita marafiki zake wa mpe company ili aweze kuongea na mimi maana alikua muoga balaa ile kaja na rafiki zake wengi wengi sikumbuki idadi yule dem akaniambia ebu rudia [emoji58] nilijikuta nakosa ule ujasiri nikaamua kuondoka bila kusema chochote [emoji30]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu siyo wote nawapatia kwa mtindo huo, lakini by the way mimi mademu niliowamega kwa kutongoza kwa mdomo wangu na sound zangu aisee hawazidi watano ila mademu wengi niliowamega huwa si kwa kuwatongoza, huwa tu nawafanya marafiki tunazoeana alafu mwisho siku tunajikuta tu tushakuwa wapenzi bila hata kutongozana [emoji16][emoji16][emoji16] nyie huwa mnaita kumega kimasiara, mfano ani unakutana na demu unamfanya rafiki tu vzuri mnadumu kwenye urafiki wenu baada ya mda kidogo unashangaa anaanza kukuita my, mara usipompigia siku ama kum txt kwa siku moja tu unashangaa kuzira anatuma txt kumbe hata hunipendi hunikumbuki siku nzima, sasa na mimi hapo najiuliza sasa huyu demu kwani nani kamwambia nampenda, mwisho wa siku naanza kutimiza anayotaka mfano kumkumbuka kumpigia sim hata mara 3 kwa siku, siku ingine namwita geto kimasiara na yeye anakuja kimasiara then naanza kumchezea mwili wake kimasiara na yeye analegea kimasiara na mm nakula game kimasiara then anarud kwao akiwa ameliwa kimasiara hivo hvo alafu kesho yake anamkaa na txt umeamkaje mme wangu na mimi naitikia kimasiara hvo hvo ndo ivo tunakuwa na mahusiano ya kimasiara masiara tu mwisho wa siku tunachaana kimasiara hivo hivo [emoji23][emoji23][emoji23]

Oi unakunywa bia gani? Waiter msikilize huyu muungwana... mm niletee ya moto amenikosha sana bill kwangu mpe fungu...... hizi zinaitwa tactics..... mbinu mkausho flan hv.....niko fit sijalwewa kivileeeeee...tuko pamoja chief [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
 
Kuna siku nakumbuka niliwahigi kuambiwa kuwa njia nzur ya kutongoza dem ni eye to eye contact basi kuna dem ivi primary nikawa na muangalia akigeuka nyuma alaf natabasam akawa na yye anacheka kicheko cha ku smile , basi nikawaambia washkaj zangu kila kityu wakaniambia apo tayal ameshakubali we kamalizie mchezo awez kukataa[emoji41], nika pampika nikajaa acha niende nikiamini leo ka kamilisha mchezo ile kufika nikamvuta pemben, si nahisi amesha nielewa nika mwambia apo apo nataka niwe mchumba wako ramsi , nikiwa najiamin balaa uku nimeweka mapoz ya ki gentleman yule mdada alikimbia eti kuwaita marafiki zake wa mpe company ili aweze kuongea na mimi maana alikua muoga balaa ile kaja na rafiki zake wengi wengi sikumbuki idadi yule dem akaniambia ebu rudia [emoji58] nilijikuta nakosa ule ujasiri nikaamua kuondoka bila kusema chochote [emoji30]
Demoghasia izo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oi unakunywa bia gani? Waiter msikilize huyu muungwana... mm niletee ya moto amenikosha sana bill kwangu mpe fungu...... hizi zinaitwa tactics..... mbinu mkausho flan hv.....niko fit sijalwewa kivileeeeee...tuko pamoja chief [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
[emoji23][emoji23]Otimbi na timbilio
 
Back
Top Bottom