Je, Simba SC inaweza kujenga uwanja kwa njia ya kuchangishana?

Bilioni 50 na uwanja utoshe kwa derby ua Simba na Yanga?? Haiwezekani.Iwanja wa Taifa umejengwa kwa Billioni 229 na kuna wakati hautoshi kwa idadi ya mashabiki,Bilioni 50 ni kitu gani??
Simba hajengi uwanja kwa lengo la kuutumia kwenye mechi ya watani, game ya watani inaweza kuendelea kuchezwa uwanja wa Mkapa mkuu, ata Yanga kama watajenga uwanja hawawezi kukurupuka kujenga uwanja wa watu elf 60, kujenga huo uwanja lazima uingie bank kukopa na hivi vilabu sio vya watu binafsi kama ilivo kwa Azam

Kujenga uwanja wa ukubwa wa Mkapa ni matumizi mabaya ya pesa maana ili kuujaza ule uwanja unahitaji matukio machache sana ambayo ni Simba day, dar Derby, game za kubwa za club bingwa, sa ukiangalia hizo mechi ni almost 15% tu ya mechi zote ambazo Simba anacheza
 
Usiwaamini wanasiasa hizo polojo umaijua bilion mia ww
 
Mnapigaje hesabu mpaka kufikia hizo hela yaani kuzungusha Uzio tu kuna kata helo yote hiyo au kuna mengine
 
Kiongozi nazungumzia ulichoasema hapo juu yakuwa uwanja wa mkapa kumaliza hizo pesa inawezekanaje?
Anyway, hizo 128b unaweza ukaziona ni hela nyingi Sana na of course ni pesa nyingi sana ila inategemea zimetumika kwenye issues gani, hizo pesa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi ni pesa ndogo Sana mkuu, wakati wewe unaona USD 56 ni nyingi Sana kwa uwanja wa Mkapa hapo kwa mabida Wana kiwanja kimejengwa kwa USD 600 can you imagine?

kama unashangaa kuona 128b imetumika kwenye ujenzi wa kiwanja cha mpira napata tabu kuamini kama ushawahi kuona nyumba ya kuishi mtu imecost 2b? Inawezekana hujawahi kuona na ata ukiskia nyumba inauzwa 500ml itakuwa waga unashangaa Sana na kuona watu wanaibiwa

Najua utakuwa ushaskia mradi wa ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya umeme, unajua unacost shngapi mkuu? Tanzania imekopa zaidi ya 3 trillion ili kutekeleza huo mradi, kwahiyo Mkuu Kila pesa ni nyingi na Kila pesa ni ndogo inategemea tu inatumika katika nyanja gani na inatumiwa na mtu wa aina gani
 
Sawa mkuu kumbe tatizo lipo kwenye hawa wahusika wanaopewa hizo tenda[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mo ana ziangua ana miliki 49% ya hisa anatoa 2b labda katoa kama mwanachama then Mo interprises ije itoe kama shareholder
 
Naona baby wake baada ya kutolewa nje ya uwanja kakasirika katoa 2bil na kuanzisha harambee za kutengeneza uwanja.

Na sasa hivi kila kitu utawasikia "GSM hao.......".
 
Mo ana ziangua ana miliki 49% ya hisa anatoa 2b labda katoa kama mwanachama then Mo interprises ije itoe kama shareholder
Jaman muwe mnafuatilia vitu kwa undani ndipo mharishe hapa.
Mo alisema kwa kuanzia natoa 2b, neno kwa kuanzia nyie mnalielewaje? Mbona alitumia kiswahili kilichonyooka kabisa wapi mnakwama nyie watu?
 
Jaman muwe mnafuatilia vitu kwa undani ndipo mharishe hapa.
Mo alisema kwa kuanzia natoa 2b, neno kwa kuanzia nyie mnalielewaje? Mbona alitumia kiswahili kilichonyooka kabisa wapi mnakwama nyie watu?
Nmeuliza anatoa kama muwekezaji au kama mwanachama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…