Je, sisi Waafrika hatuna akili?

Je, sisi Waafrika hatuna akili?

Hoja hazina mantiki. Nani anaekunyima UHURU wa kuhoji.
Tunaonekana hatuna akili sababu ya
1.Kuwa masikini hali tuna raslimali tele zinazojenga mataifa mengine.
2.Ukosefu wa ustaarabu. Ustaarabu uletwa na dini na elimu.
.Mfano chek tabia za wazulu zina tofauti vipi na tabia za black american.
. Angalia ulimbukeni wetu mtu akipata pesa
 
“Yale mambo ya kipumbavu" kama yapi na yapi ?
 
Hoja hazina mantiki. Nani anaekunyima UHURU wa kuhoji.
Tunaonekana hatuna akili sababu ya
1.Kuwa masikini hali tuna raslimali tele zinazojenga mataifa mengine.
2.Ukosefu wa ustaarabu. Ustaarabu uletwa na dini na elimu.
.Mfano chek tabia za wazulu zina tofauti vipi na tabia za black american.
. Angalia ulimbukeni wetu mtu akipata pesa
Umesoma andiko na kulielewa ?
 
Hawa waarabu wamendelea KWA sababu ya dini.
Mfumo wao wa dini na uongozi unaondoa matabaka ile dhana ya mtawala na mtawaliwa imepungua.
Kupitia dini inawafundisha ya kwamba Hakuna Mkubwa wala Mdogo wote wapo SAwa kwa mujibu wa dini.
Dini inasaidia vipi taifa kupata maendeleo ?
 
Dini inasaidia vipi taifa kupata maendeleo ?
Msingi wa Maendeleo ya Ulaya na uarabuni yametokana na dini.
Nchi za kiislamu hata zilizopo Afrika angalau wananchi wake awaisomi Sana number.
Dini inakataza rushwa, ubinafsi, uvivu, wizi wa mali za umma.
Dini inafundisha upendo, haki, kuwaongoza watu KWA haki.
Ukiwa na dini huwezi kuwa fisadi, pindisha Sheria KWA maslai, huwezi kwapua kodi za wananchi na kuzificha bank za ulaya, huwezi jinufaisha binafsi utatanguliza upendo kwa wengine kwanza.
 
Jipime wewe kwanza, ukiambiwa njoo kesho Saa mbili unafika Saa ngapi? Tuna tabia ya ajabu, utasikia njoo kesho asubuhi bila kutaja mda.
 
Msingi wa Maendeleo ya Ulaya na uarabuni yametokana na dini.
Nchi za kiislamu hata zilizopo Afrika angalau wananchi wake awaisomi Sana number.
Dini inakataza rushwa, ubinafsi, uvivu, wizi wa mali za umma.
Dini inafundisha upendo, haki, kuwaongoza watu KWA haki.
Ukiwa na dini huwezi kuwa fisadi, pindisha Sheria KWA maslai, huwezi kwapua kodi za wananchi na kuzificha bank za ulaya, huwezi jinufaisha binafsi utatanguliza upendo kwa wengine kwanza.
Mkuu wacha niseme una uongopea umma kwa kiwango kikubwa sana.

Msingi wa maendeleo wa mataifa ya ulaya ni mapinduzi ya kisayansi na kiteknolojia pamoja na unyonyaji ulio pitiliza wa kirasiliamali kwa makoloni walio kuwa wana yatawala.

Hivyo hivyo hata baadhi ya nchi za kiarabu kama kuwait, Qatar, Saudi Arabia n.k msingi wa maendeleo vyao ni mapinduzi ya kiteknolojia katika uchimbaji wa mafuta na gesi pamoja na ukuaji wa sekta ya kiutalii, uongozi bora na uwekezaji wa mataifa ya ng'ambo dini hai husiki kwa chochote.

Dini haiku husika popote katika kukuza maendeleo yao bali ilikuwa njia ya kuwatawala watu ndani ya makoloni yao.

Dini haihusiki katika kukuza maendeleo na ndio maana somalia, Afghanistan, Syria mahali penye dini lakini hali ya kimaendeleo ni duni kupitiliza.

Hii ya dini kukuza maendeleo umejifunzia wapi ndugu ?maana umeing'ang'ania sana.

Sijui hata maendeleo ya China na Vietnam utaya elezea vipi ?
 
Mkuu wacha niseme una uongopea umma kwa kiwango kikubwa sana.

Msingi wa maendeleo wa mataifa ya ulaya ni mapinduzi ya kisayansi na kiteknolojia pamoja na unyonyaji ulio pitiliza wa kirasiliamali kwa makoloni walio kuwa wana yatawala.

Hivyo hivyo hata baadhi ya nchi za kiarabu kama kuwait, Qatar, Saudi Arabia n.k msingi wa maendeleo vyao ni mapinduzi ya kiteknolojia katika uchimbaji wa mafuta na gesi pamoja na ukuaji wa sekta ya kiutalii, uongozi bora na uwekezaji wa mataifa ya ng'ambo dini hai husiki kwa chochote.

Dini haiku husika popote katika kukuza maendeleo yao bali ilikuwa njia ya kuwatawala watu ndani ya makoloni yao.

Dini haihusiki katika kukuza maendeleo na ndio maana somalia, Afghanistan, Syria mahali penye dini lakini hali ya kimaendeleo ni duni kupitiliza.

Hii ya dini kukuza maendeleo umejifunzia wapi ndugu ?maana umeing'ang'ania sana.

Sijui hata maendeleo ya China na Vietnam utaya elezea vipi ?
Hayo maendeleo ya kisayansi ya nchi hizo yalitokana na ustaarabu. Dini ndiyo iliyoleta ustaarabu ikiwemo kupata uongozi bora, kabla ya ujio wa dini wazungu walikuwa washenzi maprimitive wakiuwana kama wanyama. Dini ndio imewajengea maadili ya kuwa na mfumo wa kiutu.
Afghanistan na somalia kule ni washenzi tu wangekuwa na dini wasingekuwa hovyo walivyo.
 
Hii inataka kufanana na Tanzania na china kuwa miaka ya nyuma tanzania ilikuaga na uchumi sawa na china leo hii umbali wake ni utosi na unyayo ni kweli kabsa jamaa anavyoeleza
Lakini China ilianza kuwa na Wind mills tangu miaka 4000BC, na pia The Great Wall of China imejengwa muda sana. Wenzetu waliendelea kiteknolojia tangu zamani.
 
Hayo maendeleo ya kisayansi ya nchi hizo yalitokana na ustaarabu. Dini ndiyo iliyoleta ustaarabu ikiwemo kupata uongozi bora, kabla ya ujio wa dini wazungu walikuwa washenzi maprimitive wakiuwana kama wanyama. Dini ndio imewajengea maadili ya kuwa na mfumo wa kiutu.
Afghanistan na somalia kule ni washenzi tu wangekuwa na dini wasingekuwa hovyo walivyo.
Mkuu acha kuchanganya vitu, ukuaji wa kimaendeleo na dini havina uhusiano hata punje. Ukuaji wa kimaendeleo/kiuchumi una kanuni zake zisizo na uhusiano hata punje na dini.

Kuendelea kukumbatia hizo fikra za maendeleo yana sababishwa na dini ni kukumbatia ujinga.
mzwhpo7tiav71.jpg
 
DINI DINI DINI DINI..... shida ilianzia hapa. Tulipodanganywa kuwa sisi hatumjui MUNGU na ila wao Wazungu aka Wapagani NDIO wanamjua Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakatuambia MAJINA YETU Yamelaaniwa ila Yao ndio yameshuka kutoka MBINGUNI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. So tuna minyororo ya Utumwa wa AKILI ambao huu ni mgumu kuutoa bora ule WA mijeredi nafuu unaweza kuutoa.
Mtu mweusi mwenzio yuko tayari kuuua kumuokoa mzayuni au mwarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
DINI DINI DINI DINI..... shida ilianzia hapa. Tulipodanganywa kuwa sisi hatumjui MUNGU na ila wao Wazungu aka Wapagani NDIO wanamjua Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakatuambia MAJINA YETU Yamelaaniwa ila Yao ndio yameshuka kutoka MBINGUNI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. So tuna minyororo ya Utumwa wa AKILI ambao huu ni mgumu kuutoa bora ule WA mijeredi nafuu unaweza kuutoa.
Mtu mweusi mwenzio yuko tayari kuuua kumuokoa mzayuni au mwarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dini haina tatizo ni sisi,mbona wao Wana dini.
Si kweli kwamba Mwafrika hakumjua Mungu kabla ya ujio wa dini.
 
Back
Top Bottom