Je, sisi Waafrika hatuna akili?

Je, sisi Waafrika hatuna akili?

WHAT DOES RELIGION TAKES FROM YOU?
  • ENERGY (life force)
  • money .... etc
WHAT DOES RELIGION GIVES YOU INRETURN
  • FAKE / FALSE HOPE
LISTEN:
There is no such thing hope in this universe
It does not exist
You've been brainwashed
 
Lakini China ilianza kuwa na Wind mills tangu miaka 4000BC, na pia The Great Wall of China imejengwa muda sana. Wenzetu waliendelea kiteknolojia tangu zamani.

Hata Kwa vigezo hivyo sio wa kutuacha umbali huu wa sasa chief, wajanja wengi sana wanatuketea uzushi uongozini ilitakiwa wawe wametupita kimaendeleo/kiuchumi lakini sio Kwa ukubwa huu wa sasa, tofauti ya late nikubwa sana chief
 
Dini haina tatizo ni sisi,mbona wao Wana dini.
Si kweli kwamba Mwafrika hakumjua Mungu kabla ya ujio wa dini.
Yes si kweli tulimjua kabla Yao. Tatizo walivyokuja Wakatuambia kuwa sisi ni mashetani mababu zetu ni mashetani pia ila wao ndo WA mbinguni. Kosa Kubwa ni TULIWAAMINI.
 
Binadamu wote tumeumbwa tukiwa na uwezo sawa wa kufikiri/ajili.Tatizo linaanza kwenye kujitambua ambapo mpaka utajengwa hapo kwenye namna race Fulani ya watu inavyojitambua.Hata hao wazungu Kuna kipindi hapo nyuma kwenye miaka ya elfu Moja A.D kushuka chini walikuwa ni mambulula zaidi hata ya sisi.
Ila walipofikia Hali ya kujitambua Kwa kutegemea vichwa vyao tu kutatua matatizo Yao tofauti na sisi watu weusi ambayo tunasema namwachia mungu ndipo tatizo lilipoanzia mpaka kufikia pengo hili kubwa unaloliona Leo.
 
kuna shida mahala uwezo wa kufikiri na reasoning umekuwa mdogo sana , ndiomaana watu wameamua kuwa chawa na kujitoa ufahamu, kuna mambo mengi ya ajabu yanatokea simply kwakuwa tumeamua kwenda likizo ya kufikiri tukitegemea miujiza, tunalaana flani hivi ndiomaana tumegezwa soko la bidhaa tusizozalisha na tunazalisha tusivyotumia.
 
SIO KUKOSA AKILI TU, WAZUNGU WANATUTEGEMEA SANA WATU WEUSI.
ILINICHUKUA MIAKA 20 KUGUNDUA HILI.
Wanatutegemea sisi kwasababu sisi ni wajinga na ni masikini,, Masikini ndie mtu pekee anaweza kukupa utajiri ukimtumia vizuri,,.
 
Hata Kwa vigezo hivyo sio wa kutuacha umbali huu wa sasa chief, wajanja wengi sana wanatuketea uzushi uongozini ilitakiwa wawe wametupita kimaendeleo/kiuchumi lakini sio Kwa ukubwa huu wa sasa, tofauti ya late nikubwa sana chief
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ni haki yao kuwa hapo walipo. Kwanza waliendelea kiteknolojia tangu zamani, mfumo wao wa elimu ni mzuri, wapo wengi pia hawa jamaa ninahisi wana uwezo wa ziada wa kufikiri tofauti na binadamu wengine[emoji23][emoji23]
 
Wanatutegemea sisi kwasababu sisi ni wajinga na ni masikini,, Masikini ndie mtu pekee anaweza kukupa utajiri ukimtumia vizuri,,.
Sishangai mawazo yako na mentality yako ni product ya system ya kibeberu na kinyonyaji.
no wonder unanufaika nahaka kasystem.
Ingependeza kusema mimi ni mjingi(wewe ni mjinga) usiwasemee ndugu zangu wamasai si wajinga.
 
Bara letu kubwa lenye kila kitu ila tumeshindwa kuvitumia, jibu ni "hatuna akili" JPM aliwahi kusema "pale BOT Kuna PhD 10 ila mambo ovyo" Japo viongozi wanadanganywa na visambusa basi sisi tuwajishe ili waachie ngazi.
 
Back
Top Bottom