- Thread starter
- #121
Figisu nyingiTuanzishe chama,hivi Umoja party vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Figisu nyingiTuanzishe chama,hivi Umoja party vipi?
Umoja partyCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Uko sawaUmoja party
CCM bana mna mbinu za kizamani kwelikweli, mnaamini mkianzisha chama kingine kitatupoteza maboya. Mlifanikiwa zamani kuanzisha vyama ili mpoteze watu mwelekeo, mnadhani hadi sasa mtafanikiwa.Figisu nyingi
😆 😆 😆 😆 😆😆😆😆Kaziwekeni KABURINI pale Chatton muwe mmemchagua yeye kabisa
Kura zenu zipelekeni KUZIMUCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
HakikaSioni chama Cha kupitia Kura,labda kisajiliwe kingine ACT,CHADEMA,CCM magenge ya wanafiki watupu,
ushauri wangu, 2025 mtu yoyote asijisumbue kupiga kura, haina maana yoyote, haibadilishi kitu, kura zetu zingeheshimiwa tusingekuwa na ufisadi serikalini, tusingekuwa nchi ya walalamikaji, tusingekuwa na bunge linalopenda mada nyepesi na kumuonea aibu samia na serikali., nilipiga kura 2015 tu, nA SITAHANGAIKA kupiga kura, nchi hii wapiga kura ni misukule tu, wanaotolewa nje waote jua wakat wa kampeni ila uchaguzi ukiisha wanarudishwa shimoni wale pumba kwa miaka 5 ndo wakumbukwe tena, ni huzuni sana.CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Umoja party kimeishia wapi?CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?