Je, sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tupeleke wapi kura zetu 2025?

Je, sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tupeleke wapi kura zetu 2025?

Sio kupiga kura, nilikuwa wakala kabisa, ushenzi niliouona sio wa kawaida. Mimi nawataka wananchi kutoendelea kushiriki chaguzi za kishenzi, ni jukumu lako kushauri watu waendelee kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.

Katiba mpya ni hitaji la kila anayejitambua, hivyo usichanganye chaguzi za kishenzi na uhitaji wa katiba mpya. Nina uhakika watu wengi watanielewi kuhusu kutokushiriki hizo chaguzi za kishenzi, ni jukumu lako kuwashawishi kuendelea kushiriki hizo chaguzi za kishenzi.
Pole sana kama ulikuwa wakala,

Nimewahi simamia uchaguzi miaka ya nyuma, niliona wakala mmoja wa CDM Anasimamia na anawakilisha kuchukua matokeo ya vyama vingine vya upinzani vilivyoshindwa kuweka mawakala kituoni sababu ya ukata.

Mtu yule alikaa Hadi jioni bila kuletewa chochote na chama chake,

Mawakala wa KIJANI muda wote wanaletewa vyakula maji nk, uwanja wa siasa Bado sio fair.

Nachosema kupinga Kwa kususia hakutakiwi.

Tupinge Kwa kushinikiza kutofanyika uchaguzi Mahali tulipo Ili kuzuia uchaguzi batili usifanyike ikiwa KIJANI wataendelea kulazimisha chaguzi hizo bila TUME HURU ya UCHAGUZI.
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Kaziwekeni KABURINI pale Chatton muwe mmemchagua yeye kabisa
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
SIMAMISHENI MGOMBEA WENU
 
Pole sana kama ulikuwa wakala,

Nimewahi simamia uchaguzi miaka ya nyuma, niliona wakala mmoja wa CDM Anasimamia na anawakilisha kuchukua matokeo ya vyama vingine vya upinzani vilivyoshindwa kuweka mawakala kituoni sababu ya ukata.

Mtu yule alikaa Hadi jioni bila kuletewa chochote na chama chake,

Mawakala wa KIJANI muda wote wanaletewa vyakula maji nk, uwanja wa siasa Bado sio fair.

Nachosema kupinga Kwa kususia hakutakiwi.

Tupinge Kwa kushinikiza kutofanyika uchaguzi Mahali tulipo Ili kuzuia uchaguzi batili usifanyike ikiwa KIJANI wataendelea kulazimisha chaguzi hizo bila TUME HURU ya UCHAGUZI.

Narudia tena, sina muda mimi na wanaojitambua kuendelea kushiriki hizo chaguzi za kishenzi. Kama ww au nyie mna muda huo kashindeni hata leo kwenye vituo vya kura. Kwa mazingira haya ya kusimama kwenye mstari wa kura, kisha matokeo kuweka yale yaliyo kinyume na box la kura, ni upuuzi kama upuuzi mwingine kuendelea kushiriki. Sijakata tamaa kama unavyotaka kupotosha, bali nimepuuza hilo zoezi la kishenzi.

Iwapo mazingira yatabadilika tena nijirishe, nitahakikisha kila ninayeweza kumshawishi kupiga kura anajitokeza kupiga kura. Na kwa mazingira yalivyo sioni hayo mabadiliko, labda yatokee machafuko ndio chaguzi zitaheshimiwa.

Huyo wakala wa CDM uliyeona hajaletewa chochote na chama chake si ungempa chochote ww, kwa jinsi unavyoongea inaonekana ulishinda hapo kituoni kuanzia asubuhi mpaka jioni, ndio maana umejua hakuletewa chochote.
 
Narudia tena, sina muda mimi na wanaojitambua kuendelea kushiriki hizo chaguzi za kishenzi. Kama ww au nyie mna muda huo kashindeni hata leo kwenye vituo vya kura. Kwa mazingira haya ya kusimama kwenye mstari wa kura, kisha matokeo kuweka yale yaliyo kinyume na box la kura, ni upuuzi kama upuuzi mwingine kuendelea kushiriki. Sijakata tamaa kama unavyotaka kupotosha, bali nimepuuza hilo zoezi la kishenzi.

Iwapo mazingira yatabadilika tena nijirishe, nitahakikisha kila ninayeweza kumshawishi kupiga kura anajitokeza kupiga kura. Na kwa mazingira yalivyo sioni hayo mabadiliko, labda yatokee machafuko ndio chaguzi zitaheshimiwa.

Huyo wakala wa CDM uliyeona hajaletewa chochote na chama chake si ungempa chochote ww, kwa jinsi unavyoongea inaonekana ulishinda hapo kituoni kuanzia asubuhi mpaka jioni, ndio maana umejua hakuletewa chochote.
Kususia uchaguzi umelala ndani ukisubiri machafuko yatokee ni ndoto ya mchana hiyo.

Tumeshuhudia CDM ikichukua majimbo katika majiji makubwa Kwa chaguzi hizi hizi wananchi walipojitokeza kupiga na kulinda kura,

Pia usisahau kuwa uchaguzi wa 2020 hautajirudia na Magu hayupo,

Pia tofautisha mtu kusimamia uchaguzi na mtu kukaa nje ya kituo kusubiri matokeo.

Amka sasa, Mapambano yaendelee.
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Mpo wangapi nyie wafuasi vichaa?! Pigeni kura za maruhani, we don't care.
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?

Tuvute subira tu. Mambo mazuri yaja. Kama unakumbuka JPM hakuwepo kwenye orodha. Lakini akapita katika yao na kuibuka kidedea.
 
Kususia uchaguzi umelala ndani ukisubiri machafuko yatokee ni ndoto ya mchana hiyo.

Tumeshuhudia CDM ikichukua majimbo katika majiji makubwa Kwa chaguzi hizi hizi wananchi walipojitokeza kupiga na kulinda kura,

Pia usisahau kuwa uchaguzi wa 2020 hautajirudia na Magu hayupo,

Pia tofautisha mtu kusimamia uchaguzi na mtu kukaa nje ya kituo kusubiri matokeo.

Amka sasa, Mapambano yaendelee.

Nasisitiza, kama hakuna mabadiliko yoyote kwenye mfumo huu wa uchaguzi, ni upuuzi kama upuuzi mwingine kwenda kwenye vituo vya kura. Ww ni haki yako kuendelea kushiriki huo upuuzi, mimi sina huo muda mchafu boss.
 
Nasisitiza, kama hakuna mabadiliko yoyote kwenye mfumo huu wa uchaguzi, ni upuuzi kama upuuzi mwingine kwenda kwenye vituo vya kura. Ww ni haki yako kuendelea kushiriki huo upuuzi, mimi sina huo muda mchafu boss.
Mimi pia sitoshiriki unaouita upuuzi, bt pia sitosusia na kulala ndani,

BRAZAJ ana msemo Ule wa Tukutane TAHRIL SQUARE.
 
Mimi pia sitoshiriki unaouita upuuzi, bt pia sitosusia na kulala ndani,

BRAZAJ ana msemo Ule wa Tukutane TAHRIL SQUARE.

Ndio maana nasema kakae hata leo kwenye kituo cha kura ili uchaguzi ukukute hapohapo. Kuendelea kushiriki chaguzi za kihuni ni upuuzi. Ni bora tuachane na huo upuuzi tutafute njia nyingine hata kwa sisi wengine kupoteza uhai, lakini sio kwenda kupotezeana muda kwenye mistari ya kura.
 
Vyombo vya dola vingekaa pembeni, kisha Magufuli na nyie wapambe wake mkae mbele kuwazuia hao wananchi, hapo ndio mgefurahia show.
Hamna show yoyote zaidi mngeambulia wabunge zaidi. Nyie na CCM wote ni wababaishaji tu.
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Mkuu wahuni wamekipiga pini chama chetu itabidi tukae pembeni tuwawatch hawa mafisadi
 
2015 ilikuwa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kupiga kura. Nilimpa JPM

Huwezi kuwa timamu wa akili ukapiga kura chini ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliyopo chini ya ccm, huko wilayani wapo wakurugenzi(wateule wa raisi ambaye wakati huo ni mgombea)
This too shall pass
 
CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.

CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.

Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Peleka Chato, mwamba yupo kule.
 
Mimi pia sitoshiriki unaouita upuuzi, bt pia sitosusia na kulala ndani,

BRAZAJ ana msemo Ule wa Tukutane TAHRIL SQUARE.
Tahrl Square huku unatumia ID fake? rev Square UDSM penyewe hujawahi kukanyaga wewe
 
Back
Top Bottom