Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ombeni sana, Pro Magufuli wakirudi viroba vyenu vitakuwa vingi zaidi wana hasira sana.Falsafa gani za kutiana kwenye viroba?
Anzisheni Chama mkiite Mirembe Hospital Party.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombeni sana, Pro Magufuli wakirudi viroba vyenu vitakuwa vingi zaidi wana hasira sana.Falsafa gani za kutiana kwenye viroba?
Anzisheni Chama mkiite Mirembe Hospital Party.
Zipelekeni Kwa hashimu rungweCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?
Zipelekeni kaburini mbwa nyie. Eti mamilioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?
Hii nchi imemeguka na mnajua hilo na mkizembea kidogo tu Pro Magufuli watarudI. Hawa watu wana roho za visasi, shauri yenu.Kama unaweza, wakusanye wenzako, mkasajili chama.
Lukuvi, Polepole, Kabudi hawawezi kuanzisha chama. Hawa waliokuwepo kwenye uongozi wana machafu mengi. Wakijitenga tu na CCM, utashangaa kesi dhidi yao zinaanza mara moja.
Mshauri Makonda au Kalemani waanzishe chama, uone kama watathubutu.
Chauma!CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?
Kwanini unakuwa mfuasi wa mwanaume mwezio ambaye ni marehemu nyie ndo huwa mnakuwa mashoga kisa kuwa wafuasi wa wanaume wenzenuCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?
mimi sikuaminishi ila najaribu kuongea kitu ambacho kina fact. Natambua jpm ana mapungufu na mabaya mengi lakini wenye access ya kuyatambua hayo ni watanzania wachache wenye access na taarifa. Wengi hupata taarifa kupitia media kama tv na redio ambazo nyingi zilijikita katika kumpamba na kumsifia hivyo kuzishape akili za watanzania wengi kumuhusu. Sasa fikiria, kama wa tz wenye access na taarifa humtetea humu hali ipoje kwa wengi wasio na access na taarifa hizo? Uliona waliposhangilia jina lake lilipotajwa kwenye uzinduzi wa bwawa la nyerere? Tanzania bado kuna wajinga wengi sana halafu ndo wafanya maamuzi kwenye box la kura.
Kama wangekuwa wanatambua utendaji wake hata kwenye mikutano yake wasingetokea.
ni rais yupi aliheshimu chaguzi za nchi ?Hakuna mwenye tatizo na Wafuasi wake, tulitaka tu aheshimu chaguzi za nchi hii. Hapo ndio angejua kipimo halisi cha kukubalika kwake. As long as hakuheshimu hizo hadithi za kukubalika kwake zinabaki za kusadikika zaidi.
Kura zenu pelekeni jehanam aliko bwana wenuCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?
Tunaingia msituni.Ombeni sana, Pro Magufuli wakirudi viroba vyenu vitakuwa vingi zaidi wana hasira sana.
Mtafika, kama barabarani mlishindwa kutokea mlipoitwa na viongozi wenu. Hata Pro Magufuli na vurugu zao hawaingia msituni sembuse nyie.Tunaingia msituni.
Ilikuwa bado kidogo tu Magufuli asingejiua leo hii Tanzania kungekuwa na Rebelion Movement zaidi ya mbili.Mtafika, kama barabarani mlishindwa kutokea mlipoitwa na viongozi wenu. Hata Pro Magufuli na vurugu zao hawaingia msituni sembuse nyie.
KATIBA mpya itakazia HOJA ya KATIBA iliyopo kuruhusu Mgombea binafsi.CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Peleka kaburini ChatoCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Kama wa kibiti waliomshinda mjeda JK walikimbia nyie keyboard warriors mngeweza kweli. Kumbuka viongozi wenu walikuwa wanakimbia nchi hivyo au unaongelea misitu ya Belgium, Canada na Dubai.Ilikuwa bado kidogo tu Magufuli asingejiua leo hii Tanzania kungekuwa na Rebelion Movement zaidi ya mbili.
Kama hukushiriki uchaguzi na hukupiga kura,Yeye mwenyewe Magufuli ilibidi apore uchaguzi ili apate matokeo aliyoyataka, sasa hiyo advantage ya jina lake inatoka wapi akiwa kafariki, wakati alipokuwa hai hilo jina lake lilishindwa kumbeba yeye mwenyewe hadi akapora uchaguzi?
Kinaitwa. CHAMA CHA MASHOGA. kwa mjibu wa mwenyekiti WAO bi HangayaTanzania kuna chama kimoja tuu hadi sasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
Peleka kura yako huko
Aliwaonea Wazaramo wa watu sisi tuko Well organised asingetuweza.Kama wa kibiti waliomshinda mjeda JK walikimbia nyie keyboard warriors mngeweza kweli. Kumbuka viongozi wenu walikuwa wanakimbia nchi hivyo au unaongelea misitu ya Belgium, Canada na Dubai.