econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Punguza kelele kamsaidie Musiba kulipa Deni la bilioni 9. Kelele nyingi kumbe hamna lolote.CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM .
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa .
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama ?