Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Tunataikiwa kuwa na chama chetu kipya. Kitachoenzi mazuri yake na kuachana makando yake. Hao waliopo sasa hawana maana hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwe wa wazi hii nchi CCM na upinzani wote mnabahatisha tu lakini tusidanganyane kama mpo organized. Kila saa nikikumbuka story ya Mayor Bonny kukimbia mapolisi na IST naishia kucheka na kusikitika mwenyewe.Aliwaonea Wazaramo wa watu sisi tuko Well organised asingetuweza.
Kwasasa CHADEMA tuko mbele zaidi kuliko ccm na tunawanachama wengi sana walio hai through CHADEMA DIGITAL.Tuwe wa wazi hii nchi CCM na upinzani wote mnabahatisha tu lakini tusidanganyane kama mpo organized. Kila saa nikikumbuka story ya Mayor Bonny kukimbia mapolisi na IST naishia kucheka na kusikitika mwenyewe.
Nawatakia kila la heri Chadema.Kwasasa CHADEMA tuko mbele zaidi kuliko ccm na tunawanachama wengi sana walio hai through CHADEMA DIGITAL.
Kura zenu pelekeni chatto kwenye kaburiCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Wengine waliiba kura, dhalimu alinajisi na kupora mchakato wa uchaguzi.ni rais yupi aliheshimu chaguzi za nchi ?
😆😆😆😆😆Wengine waliiba kura, dhalimu alinajisi na kupora mchakato wa uchaguzi.
Siongei kwa kubahatisha, na ukitaka kujua nasema nini, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule yapo. Fahamu matokeo ya uchaguzi yanapaswa kuwekwa kwenye tovuti ya NEC, na hilo lipo kisheria.Kama hukushiriki uchaguzi na hukupiga kura,
Unawezaje kudai Magu aliiba uchaguzi?
Ninyi ndio wale ambao hujaza viwanja, wagombea CDM wanapiga picha na kujitabiria ushindi halafu hamtokei kupiga kura.
Peleka chatoCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
HOJA yangu ni,Siongei kwa kubahatisha, na ukitaka kujua nasema nini, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule yapo. Fahamu matokeo ya uchaguzi yanapaswa kuwekwa kwenye tovuti ya NEC, na hilo lipo kisheria.
Ule ujinga wa zamani kusema eti vijana huwa hawapigi kura uliisha kipindi cha JK. Huenda ww ni mzee hivyo bado unatembea na propaganda ya enzi za kina Mkapa.
Ule ukhanithi uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020 tuliuona kwa macho yetu, sio mambo ya kuhadithiwa.
Kampigieni kura zenu Marehemu akiwa huko huko kuzimu, huyo ndiyo atakuwa mgombea wa wapumbavu. Wapumbavu mnataka kuendekeza maisha ya hovyo kwa watanzania.CCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Kama alipora mafisadi na kujenga flyovers, mabarabara, vivuko, kulipa ada watoto wa maskini,Kampigieni kura zenu Marehemu akiwa huko huko kuzimu, huyo ndiyo atakuwa mgombea wa wapumbavu. Wapumbavu mnataka kuendekeza maisha ya hovyo kwa watanzania.
Hatuwezi kurudi kwenye nchi ambayo Rais anamiliki kikundi cha kuua (WASIOJULIKANA) na cha Kupora (TASK FORCE)
Pelekeni malaloni chato! Nyie "mamilion" ndo mlikuwa mnashibikia ujingaCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?
Yaani Leo vyombo vibaini mafisadi kadhaa walizoiba pesa za Umma wamekwiba na kuzitunza pesa zetu kwenye makasri waliyojenga,Kampigieni kura zenu Marehemu akiwa huko huko kuzimu, huyo ndiyo atakuwa mgombea wa wapumbavu. Wapumbavu mnataka kuendekeza maisha ya hovyo kwa watanzania.
Hatuwezi kurudi kwenye nchi ambayo Rais anamiliki kikundi cha kuua (WASIOJULIKANA) na cha Kupora (TASK FORCE)
HOJA yangu ni,
Kama hukushiriki kupiga kura, huna HAKI ya kusema kura ziliibwa.
Pia huna HAKI kudai mgombea Fulani alishinda au hakushinda.
Ni Kweli uchaguzi 2020 ulichafuliwa,
Bt kuhamasisha watu kutoenda kupiga kura, au kuhamasisha vijana kutoshiriki harakati za kisiasa Si sawa,
Tunawataka wananchi wajitokeze kudai KATIBA mpya ktk majukwaa mbalimbali.
Najua umekata tamaa, bt usiambukize wengine kushindwa kwako.
Mtafika, kama barabarani mlishindwa kutokea mlipoitwa na viongozi wenu. Hata Pro Magufuli na vurugu zao hawaingia msituni sembuse nyie.
Hatutaki kura za wanaokula damu za watuCCM hawana uzalendo na hawakubaliani na falsafa za hayati JPM.
CHADEMA hawana uzalendo ni wachumia Tumbo na hawafai hata kuongoza mtaa.
Je sisi mamilioni ya wafuasi wa mzalendo JPM 2025 tuwe upande UPI ? ,je tuanzishe Chama?