Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Ni aibu kwa serikli ku operate on principles mbazo zina dalili ya forgery.
Hakika kama Taifa nikiri kuwa tumepoteza mwelekeo kutokana na utawala huu wa awamu ya 5 wa Jiwe, ambaye hataki kabisa kuitii Katiba ya nchi, ambayo kabla hatujamkabidhi madaraka hayo aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba hiyo ya nchi
 
Katikati ya nyakati hizi maprofessor na madokta waliomo kwenye mifumo mingi ya Taifa hili wametoa mbongo zao kichwani zmeamia tumboni. Sasa zimebadili functionalities zake!! Haingii akilini Taifa letu viongozi wanatoa maamuz na matamko yanayovunja Katiba na sheria mchana kuepe Bila aibu haiwezekani asilani!! Maamuzi yao yameanza kuharibu mstakabar wa umoja wetu!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Uniona serikali inafanya kitendo cha uhuni kwa kughushi sahihi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA na kusema uongo ulio wazi katika mchakato wa kuteuliwa na kuapishwa kwa wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA. Kitendo hiki cha serikali kufanya uhuni kama huu kinathibitisha uhuni mkubwa uliofanyika kwa uchaguzi mkuu uliopita.
 
Kwa taarifa hii uliyotoa Dkt Mahera, umetugeuza watanzania wote kuwa ni wajinga, hivi unawezaje kutoa taarifa tarehe 27/11/2020 wakati unajua wazi kuwa mjadala wa wabunge hawa wa viti maalum ulikuwa "so hot" kwenye mitandao yote ya kijamii?

Kila ulipotafutwa Dkt Mahera ili utolee ufafanuzi utata huu wa uteuzi wa wabunge wa viti maalum wa Chadema, ulikuwa ukipiga chenga!

Hadi uliposikia kuwa Kamati Kuu ya Chadema inaenda kukutana ili ifikie maamuzi ya "kuwachinjia baharini" wabunge hao akina Halima Mdee, ndiyo unastuka na kutuletea taarifa hiyo ya uongo kabisa, ambapo hadi mtoto mdogo anayesoma chekechea huwezi mdanganya kirahisi hivyo!
Mahera atafungwa jela hata kama si kesho
 
Activity za MATAGA zimepungua ghafla kwenye mitandao baada ya kelele nyingi.
 
Ni kweli uenda amepata majina, lakini sio fomu zinazotakiwa, ila kwa kuwa ameagizwa afanye ujinga, hiyo prefix ya Dr, naona ajafikanayao!
Ni vyema kila mtumishi wa Umma atekeleze majukumu yake kwa mujibu wa sheria za nchi hii na wala si kwa mujibu wa MAAGIZO ya huyo Jiwe wao!

Kwa kuwa mwisho wa siku aibu na fedheha yote unaipata wewe, huku Jiwe akiwa anakula "kiyoyozi" pale Chamwino!
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Mahera ni jambazi kwa sura na vitendo nina wasiwasi huyu ni mtoto wa jiwe
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Miaka ile nchini uingereza alitokea mwizi mmoja mkarimu akiitwa Robin Hood, huyu wema wake ulikuwa anawaibia matajiri kisha anawagawia masikini, tumeibiwa wananchi kisha anagawiwa Chadema!
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum!

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Tatizo ambalo wengi wetu hatutaki kulielewa ni kuwa Mfumo mzima "umepararize" yaani wanapokea maagizo kutoka Chamwino kwa kila jambo linalofanyika na bahati mbaya hawana "option" au njia mbadala ya kutenda tofauti kwani wapo baadhi ya watedaji waaminifu tu kama Jaji Kaijage (Mwenyekiti wa Tume)ambao walikuwa tayari kuachia madaraka yao kwa aibu hii wanayolazimishwa kuisimimia tokea mapema wakati wa mchakato wa "UCHAFUZI WA 2020" lakini tatizo ni kwamba wakifanya hivyo watakuwa salama? Je wana uhakika gani wakuendelea kuvuta "pumzi" hapo ndipo shida kubwa inapojitokeza. Kwa sie tunaoelewa yanayoendelea mpaka sasa tunashangaa ilikuwaje Mfumo ukawaacha Kamati kuu ya Chadema mpaka wakajadili hili swala na kufikia hatua ya kuwatimua hao "Covid 19". Matarajio yetu yalikuwa ni kwamba jana bwana Siro na geshi lake wavamie huo mkutano kwa kisingizio kwamba eti Inteligensia yao imewaarifu kuwa mkutano huo ukifanyika yatatokea machafuko yaliyoandaliwa na wanachama waaminifu wa Chadema jambo ambalo lingehatarisha amani kwa viongozi hao na wanachama .Na hivyo kwa kuzuia mkutano huo hao Covid 19 wangepata nafasi ya kukimbilia Mahakani siku ya Jumatatu kuweka zuio la kuwajadili. Ni jambo kushukuru Mungu amatende wema sasa hawana njia yoyote ile ya kuwarudishia uanachama wao labda chama kiwasamehe wakikata rufaa jambo ambalo linawapotezea haki ya kuwakilisha Chadema kama wabunge. Tutarajie mengi kuanzia Jumatatu kutoka TUME/SUPIKA na wengine wengi lakini jambo la kushukuru Mungu dunia nzima inaelewa Halima na genge lake sio wanachama tena wa Chadema na endapo Supika ataendelea kuvunja sheria na kuwabeba atakakuwa amewabeba kwa mgongo wake na sio wa sheria za nchi
 
Akitoa majibu yanayoeleweka naomba mnitag,huu mwaka 2020 haujamwacha mnafiki yeyote salama,wanafiki wote wamezionesha rangi zao
Nalog off
 
Tatizo ambalo wengi wetu hatutaki kulielewa ni kuwa Mfumo mzima "umepararize" yaani wanapokea maagizo kutoka Chamwino kwa kila jambo linalofanyika na bahati mbaya hawana "option" au njia mbadala ya kutenda tofauti kwani wapo baadhi ya watedaji waaminifu tu kama Jaji Kaijage (Mwenyekiti wa Tume)ambao walikuwa tayari kuachia madaraka yao kwa aibu hii wanayolazimishwa kuisimimia tokea mapema wakati wa mchakato wa "UCHAFUZI WA 2020" lakini tatizo ni kwamba wakifanya hivyo watakuwa salama? Je wana uhakika gani wakuendelea kuvuta "pumzi" hapo ndipo shida kubwa inapojitokeza. Kwa sie tunaoelewa yanayoendelea mpaka sasa tunashangaa ilikuwaje Mfumo ukawaacha Kamati kuu ya Chadema mpaka wakajadili hili swala na kufikia hatua ya kuwatimua hao "Covid 19". Matarajio yetu yalikuwa ni kwamba jana bwana Siro na geshi lake wavamie huo mkutano kwa kisingizio kwamba eti Inteligensia yao imewaarifu kuwa mkutano huo ukifanyika yatatokea machafuko yaliyoandaliwa na wanachama waaminifu wa Chadema jambo ambalo lingehatarisha amani kwa viongozi hao na wanachama .Na hivyo kwa kuzuia mkutano huo hao Covid 19 wangepata nafasi ya kukimbilia Mahakani siku ya Jumatatu kuweka zuio la kuwajadili. Ni jambo kushukuru Mungu amatende wema sasa hawana njia yoyote ile ya kuwarudishia uanachama wao labda chama kiwasamehe wakikata rufaa jambo ambalo linawapotezea haki ya kuwakilisha Chadema kama wabunge. Tutarajie mengi kuanzia Jumatatu kutoka TUME/SUPIKA na wengine wengi lakini jambo la kushukuru Mungu dunia nzima inaelewa Halima na genge lake sio wanachama tena wa Chadema na endapo Supika ataendelea kuvunja sheria na kuwabeba atakakuwa amewabeba kwa mgongo wake na sio wa sheria za nchi
Well said
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Hayo mabilioni ya mabeberu yamewatoa ufahamu maccm,kila move wanayopanga ndiyo wanazidi kujipaka mavi,na uzuri hao mabeberu wanafuatilia hatua kwa hatua.
 
Nakupa swali moja upime utajua ni ya kweli au ya uongo. Huyu dada aliyekuwepo magereza chadema ilijua ni lini atatoka ili wamuorodheshe kwenye viti maalum? je ni jitihada za chedema kuwa huyu dada atolewe usiku magereza ili aapishwe asubuhi? sasa waliandikaje jina la mtu ambaye hawajui lini atatoka magereza.
Simple logic but overlooked by Great People!
 
Including yourself, every one of us should observe that our Constitution is abided always by everybody.Take action Guys!
Shida ya nchi hii hivi sasa kila mtumishi wa seriakli badala ya kufanya kazi yake kwa mujibu wa Katiba ya nchi na sheria mbalimbali za nchi, wao wanatekeleza kwa mujibu wa MAAGIZO ya Jiwe toka Chamwino!
 
Katikati ya nyakati hizi maprofessor na madokta waliomo kwenye mifumo mingi ya Taifa hili wametoa mbongo zao kichwani zmeamia tumboni. Sasa zimebadili functionalities zake!! Haingii akilini Taifa letu viongozi wanatoa maamuz na matamko yanayovunja Katiba na sheria mchana kuepe Bila aibu haiwezekani asilani!! Maamuzi yao yameanza kuharibu mstakabar wa umoja wetu!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kama usomi wenyewe ndio huu wa akina mahera na akija kabudi, ni afadhali tuwe na ngumbaru watupu, angalao watakuwa na athari hasi chache kuliko haya yanayojiita masomi lakini ni mizigo isiyobebeka kwa kipimo chochote kile.

Kukaa darasani kwa miaka mingi bila kuwa na maadili wala busara, ni sawa na mbwa anayeshinda chooni kusubiria vinyesi ale wakati ulimtegemea awe mlinzi wa mali zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom