Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.

Kipengere cha 1, Dr Mahera kwenye taarifa yake hamtaji Katibu Mkuu CHADEMA kwa jina....

Anasema tu "tuliletewa orodha ya majina ya wabunge na Katibu Mkuu - CHADEMA", hamtaji huyo katibu mkuu kwa jina aidha John Mnyika ama mwingine yeyote...

Najua hapa watu watahoji kuwa kwani CHADEMA ina makatibu wakuu wangàpi. Ndiyo ni mmoja tu, John Mnyika na wasaidizi wake wawili...

Nani sasa kati ya hao? Maana katibu mkuu halisi JJ. Mnyika, amekanusha kutenda hilo?

Mimi nilii - discredit hiyo taarifa instantly baada ya kushitukia hilo na kujua moja kwa moja kuwa, huo ni mchezo hatari wa system na bahati mbaya sana umebuma...
 
Aibu Aibu Aibu Mpaka Lini Hii
Nchi Huru Sheria, Kanuni, Taratibu, Mpaka Tamaduni Zetu Zipo Kwanini Kutoa Kituko Cha Kufungia Mwaka 2020
-------------------------------------------------------------------------------------
Ndugu Zangu Nina Deni Kubwa Sana
Mmefunika Kweli Kweli
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu?
😁😂😀😁😅😄😃😁😂😂
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Usitegemee la maana toka kwake.Ni uhuni mtupu kwani anatekeleza maamuzi ya "utatu haramu".
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Wewe ni mwongo, Dk. Mahera hajasema kama àlipokea barua kutoka kwa Mnyika!
 
Ingekuwa ni nchi yenye kuzingatia sheria na katiba, Ndugai, COVID-19, Mwanasheria mkuu wa serikali, NEC,... wote wangeondoka na kufikishwa mahakamani kwa kufoji nyaraka. Lakini hapa ndio kwanza watapandishwa vyeo. Mnyeti alipandishwa kwa rushwa alizokuwa natoa kwa viongozi wa upinzani.
 
Mbona CCM yenyewe pia iliwahi kumvua uanachama mbunge kule Zanzibar na uchaguzi ukaitishwa? Waliwafukuza akina Sophia Simba na Bernad Membe hakuna aliye wabwatukua. Sasa utashangaa yenyewe kuibwatukia CDM
 
Hivi karibuni viongozi wa kitaifa Chadema wamejitokeza hadharani kupinga kuwa hawayatambui majina ya wabunge walioapa wa viti maalum kama wabunge wanaowakilisha Chadema

Nayo tume ya taifa ilithibitisha kuwa majina hayo iliyapokea kutoka Chadema

Sasa kwa utata huu inabidi Tume iwajibike kupitia mwenyekiti wake kwa kuwasilisha majina ambayo hayana uhakika kwa ofisi ya Spika wa Bunge

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi ajiuzulu kwa kushindwa kuthibitisha kupokea majina ya wabunge wateule kutoka Chadema
 
Pamoja na Waziri Wa Mambo Ya Nje anatakiwa atoe maelezo juu ya serikali kukopa hela za kupambana na Covid-19 na matumizi yaliofanyika.

Kisha ajiuzulu.

 
Hivi karibuni viongozi wa kitaifa Chadema wamejitokeza hadharani kupinga kuwa hawayatambui majina ya wabunge walioapa wa viti maalum kama wabunge wanaowakilisha Chadema

Nayo tume ya taifa ilithibitisha kuwa majina hayo iliyapokea kutoka Chadema

Sasa kwa utata huu inabidi Tume iwajibike kupitia mwenyekiti wake kwa kuwasilisha majina ambayo hayana uhakika kwa ofisi ya Spika wa Bunge

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi ajiuzulu kwa kushindwa kuthibitisha kupokea majina ya wabunge wateule kutoka Chadema
Thubutu !
 
Huyu Muhutu asiyufajye sisi wote nchi nzima ni mataahira kama yeye bwana alaaaa!!
 
Nimesoma kitu kinachoitwa TAARIFA KWA UMMA iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi, iliyosainiwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera, tarehe 27/11/2020, naomba maswali yafuatayo uyajibu Dkt Mahera:-

1. Katika taarifa yako kwa Umma umedai kuwa ulipokea majina hayo ya wabunge wa viti maalum, toka kwa Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, tarehe 19/11/2020, je taarifa hiyo ilikuwaje iwe na jina la Nasrat Hanje, ambaye alitolewa gerezani rumande, usiku wa tarehe 23/11/2020 kwa amri ya DPP, Biswalo Mganga, ambako Jeshi lenu la Polisi lilimbambikia kesi ya kukusanyika bila kibali na kutompa dhamana pasipo halali, ambapo alikaa rumande kwa siku 133?

2. Tunakuomba Mkurugenzi wa uchaguzi, Dkt Mahera uutangazie Ulimwengu "kama ubavu huo utakuwa nao" kuwa kauli tuliyosikia kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa kwenye kikao na waandishi wa habari hapo tarehe 25/11/2020 kuwa form zenu za Tume ya uchaguzi, alikuwa nazo ofisini kwake zikiwa hazijajazwa hata kidogo na kuwa form hizo hazijatumwa kwenye Tume yenu ya uchaguzi, kuwa ilikuwa ni kauli ya uwongo?

3. Iweje Bunge la Jamhuri la Muungano, chini ya Spika wake Job Ndugai na Katibu wake, Kigaigai, wakiuke kanuni zake yenyewe na kuwaapisha "kisiri siri" tena kwenye eneo nje ya Bunge wabunge hao wa viti maalum, wakati kanuni zinawataka ni LAZIMA tendo hilo lifanyike rasmi ndani ya Jengo la Bunge, kwa kuwa tendo hilo siyo la unyago, ambalo lingehitaji usiri mkubwa?

4. Iweje Spika wa Bunge, Job Ndugai anukuliwe kwa kutoa taarifa kuwa Bunge lake litawalinda kwa gharama zozote wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, kama ambaye anajua kuwa uapishwaji wao ulikuwa batili?

5. Iweje Mkurugenzi wa uchaguzi Dkt Mahera usitoe taarifa hiyo nyeti mapema, hadi ungojee sakata hilo la wabunge wa viti maalum wa Chadema, li-trend sana kwenye social media na usubiri chama kikuu cha upiinzani nchini Chadema, kiitishe kikao chao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama chao kuwajadili hao ambao mmewahalalisha kuwa wabunge wateule wa viti maalum?

Kama Dkt Mahera amethubutu kutupa taarifa za uongo kuhusiana na suala la kuapishwa kwa wabunge wa viti maalum wa Chadema, tunawezaje kumuamini kwa taarifa aliyotupa ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambayo kwa mujibu wake kuwa Rais Magufuli alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya kura milioni 12 ambayo ni zaidi ya asilimia 84 ya kura zote zilizopigwa nchini?

Naomba hayo maswali machache unijibie Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt Mahera ili kuondoa huu utata mkubwa uliogubika zoezi hili zima la kuwaapisha hao wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Used..... misused...... abused..... confused

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Angekuwa na account huku tunge mtag atupe majibu, kwavile hana account haya maswai tuulizane wenyewe na tupeane majibu wenyewe maana hakuna namna

kazi na siasa
 
Kwa taarifa hii uliyotoa Dkt Mahera, umetugeuza watanzania wote kuwa ni wajinga, hivi unawezaje kutoa taarifa tarehe 27/11/2020 wakati unajua wazi kuwa mjadala wa wabunge hawa wa viti maalum ulikuwa "so hot" kwenye mitandao yote ya kijamii?

Kila ulipotafutwa Dkt Mahera ili utolee ufafanuzi utata huu wa uteuzi wa wabunge wa viti maalum wa Chadema, ulikuwa ukipiga chenga!

Hadi uliposikia kuwa Kamati Kuu ya Chadema inaenda kukutana ili ifikie maamuzi ya "kuwachinjia baharini" wabunge hao akina Halima Mdee, ndiyo unastuka na kutuletea taarifa hiyo ya uongo kabisa, ambapo hadi mtoto mdogo anayesoma chekechea huwezi mdanganya kirahisi hivyo!
Huyu mtu sijui ni PhD holder ama Dr wa binadamu ama wanyama! Pengine kwa wanyama ndipo anafiti.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Tunaishi kwenye taifa la uwongo uwongo tuna bahati mbaya sana
 
Nimeshangazwa sana na ukimywa wa mwana JF mashuhuri, mzee wa kujenga hoja kwa kutanguliza background ya nguvu ndugu Pascal Mayalla kwenye haya maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA ya kuwavua uanachama wana chama wake walioapishwa bungeni shaa shaa kupitia viti maalum. Tatizo ni nini mkuu ? Bundle? Au unatafuta supporting literature kabla ya kuja na comments zako ?
 
Wamedhani taarifa yao ya jana Kamati Kuu ingepoteza maboya kumjadiii Mnyika na kuwaacha covid, chama kikaona na kikatoa maamuzi mazuri. Dr. anadai amepewa majina na Mnyika kwa barua, chadema hakupeeka barua baii fomu zenye kujazwa na wagombea wakaape mahakamani, fomu zipo chamani sasa unadhani taarifa ya mahera ina uzito tena. Maamuzi yametoka hapo ni finish taarifa ya Mahera haina uzito tena.
 
Back
Top Bottom