MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
We no wale qale Ma brainwash, tutasonga mbele bila TBC ,
Jibu ni hapana. Upinzani wa sasa ni kama mtoto wa kambo. Kutwa kulalamika na kutegemea huduma kama vile mtoto halisi wa mama. Wapinzani acha waendelee kuokota wabunge wawili watatu wa kuwapa ruzuku. Very soft. Too soft.
Pia inaonesha wanaamini sana katika harakati kuliko mipango madhubuti ya kitaasisi. I think the ruling party just won on the very beginning.