Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ya wasiojulikana, ukiwataja watu wasiojulikana unaambiwa unashirikiana na mabeberuMheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Tayari siku nyingi kilichobaki ni Tanzania kuwa ULAYA[emoji1787][emoji1787]Mheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Toka Mh. Mwijage, Waziri wa Viwanda atenguliwe, hata vile viwanda 4000 vya cherehani nne havizungumzwi Tena wala ajira za vijana haijulikani zilipotelea wapi hata nguo bado tunavaa mitumba toka kwa mabeberu. Lile Bomba la Mafuta toka Uganda mpaka Tanga hata wenzetu wa Kagera linakoingilia hawasemi limefika wapi ili tujiandae kula bata vijana wakianza kazi.Mheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
😆😆😆😆Mheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Viwanda 100 kila mkoaMheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Tatizo lenu ni kuwa; Hamtaki basi hata kumsapoti ili atuelekeze namna ya kufikia hiyo level ya ulaya. Kila kitu mnaona haiwezekani. Hebu fikiria, Kama tungeweza kuzibiti madini yetu yote vizuri. Mawe kama yale ya Laizer yakiuzwa na serekali si tutainua uchumi? Kama tukiamua kusaga unga tukauza unga badala ya mahindi, je ajira isingelikuwepo? Mtachukua mda mrefu sana kabla hamjamuelewa kiongo wetuHata hivyo vya cherehani na matofari vitakuwa vile vilivyokuwepo kabla yake. Walichofanya itakuwa ni kuviorodhesha tu ..... Hawa jamaa hawajui maana ya viwanda halafu leo wanatudanganya kuwa waitafanya Tanzania kama Ulaya!! Hahahaa ........... Kumbe Ubeberu mzuri!!
Mkuu Tanzania ya Nyerere ilichukua takribani miaka 25 kujenga viwanda 400 tu.Viwanda si majengo tu,ni nguvu kazi,wataalamu,mabingwa,mitambo,nishati,miundo mbinu,masoko na mitaji.Mheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Mkuu Sasa simumsaidie Muheshimiwa ili tuone hivyo viwanda?.Tatizo lenu ni kuwa; Hamtaki basi hata kumsapoti ili atuelekeze namna ya kufikia hiyo level ya ulaya. Kila kitu mnaona haiwezekani. Hebu fikiria, Kama tungeweza kuzibiti madini yetu yote vizuri. Mawe kama yale ya Laizer yakiuzwa na serekali si tutainua uchumi? Kama tukiamua kusaga unga tukauza unga badala ya mahindi, je ajira isingelikuwepo? Mtachukua mda mrefu sana kabla hamjamuelewa kiongo wetu
Kama kwa kusema wamejenga viwanda 8,000 wanamaanisha vyerehani na mshine za kukoboa, basi wamefanikisha.Mheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Kama ulimsikiliza JK kwenye msiba wa BWM wazo la kuwa na viwanda kwa mujibu wa 2025 vision lililenga kuongeza competitiveness ya Tanzania kwenye regional and global markets.Hili Jambo lilikuwa jema Ila aliyekabidhiwa alishughulikie uwezo hana, Jambo hili la viwanda lilihitaji kutengenezewa strategy na kuweka thinking behind it na si kupayuka tu kwenye majukwaa ya kisiasa.prove kwamba hii issue iko juu ya uwezo wake akaamua kugeukia stend za mabasi,masoko,zahanati na taa za barabarani. Rais wa petty issuesMheshimiwa Rais,
Kwa sasa sijasikia ukizungumzia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, ambayo itatoa ajira kwa vijana kulingana na wingi wa viwanda hivyo, vijana ambao wako mtaani licha ya kuhitimu fani mbalimbali, sasa nilitaka nifahamu ile Tanzania ya Viwanda uliyoinadi 2015 imeshakamilika?
Kama imekamilika unapozunguka katika kampeni waeleze wananchi Tanzania yako ya viwanda uliyoahidi imeshakamilika ili ujizolee kura nyingi, kwa vijana ambao wamepata ajira katika viwanda hivyo ulivyoahidi.
Nani kasema viwanda vinajengwa na serikali? Tunazungumzia mazingira wezeshi ili kuvutia wawekezaji!Viwnda siyo lazima vijengwe na serikali tumieni akili japo kidogo. Mradi wa umeme wa Mwalimu na Nyerere na SGR ni zaidi ya viwanda 200 kwani ajira itakayotolewa ni kubwa sana...