Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Unaona matatizo yako badala ya kupokea ushauri,unakosoa vitu vidogo sana,hivi unafahamu kuwa kuna mtu aliyegundua mahandishi aya unayonitoa kasoro MTU huyu alianzia kufikili kwanza,hivyo anza kufikili kwanza kabla ya kufanya jambo lolote.
Haya Kanye kwenye choo Cha shemeji
 
Unaona matatizo yako badala ya kupokea ushauri,unakosoa vitu vidogo sana,hivi unafahamu kuwa kuna mtu aliyegundua mahandishi aya unayonitoa kasoro MTU huyu alianzia kufikili kwanza,hivyo anza kufikili kwanza kabla ya kufanya jambo lolote.
Jambo lilelile nalokuambia unalirudia, sio mahandishi ni maandishi, sasa kama unakosea vitu vidogo kama hivi, ukipewa inter-gration itakuwaje, au ukipewa fourier siries, utaweza kweli kukokotoa?.
 
Haya Kanye kwenye choo Cha shemeji
Unabeti alafu utegemee kutoka na unakalili alafu utegemee ugunduzi,Mimi huu ni mwaka wa 3 tokea nimemaliza chuo,na nikueleze tu ukweli nimesoma open na nilikuwa nalipa ada mwenyewe na biashara iliyonifikisha hapo na hapa nilipo ni nyingi sana,Mimi nabadilika kutokana na msimu, naanzia sokoni kujua soko nilikuwa nafuata samaki kwa baiskeli wale kambale nilichekwa sana,mahindi nimeuza ,matunda kila aina nimeuza,Leo hii ndugu yangu walionicheka wanajaribu kupitia nilimopita too late Niko mbali sana hivyo tujifunze kuanzia chini.
 
Jambo lilelile nalokuambia unalirudia, sio mahandishi ni maandishi, sasa kama unakosea vitu vidogo kama hivi, ukipewa inter-gration itakuwaje, au ukipewa fourier siries, utaweza kweli kukokotoa?.
Kamuulize mmiliki wa google kama anaweza kupangilia maneno,au baba yake na mo nakuambia lugha haiwezi kupoteza maana ya kitu ila matumizi ya kitu yanaweza kubadili lugha chukua iyo.
 
M

Tatizo mlilonalo watanzania ni kuamini kwamba mwalimu wa chekechea au mfanyakazi wa ndani hawezi kuwa na PhD,hapa Tanzania Luna fulsa nyingi sana tatizo mnakalili amuumizi vichwa,unataka kuniambia hapo mtaani kwenu hakuna fulsa,aliyegundua ndege angekuwa muoga Leo hii pasingekuwepo na ndege.
Mkuu uandishi wako ni mbovu sana kwa mtu anayedai amekwenda shule, ni mbovu na unatia hata hasira kusoma. Pili ukikua na kukomaa utajua haukuwa sahihi kabisa kwa haya yote unayoyaandika. Uzoefu wako kwenye maisha halisi ni mdogo sana sana.
 
Kamuulize mmiliki wa google kama anaweza kupangilia maneno,au baba yake na mo nakuambia lugha haiwezi kupoteza maana ya kitu ila matumizi ya kitu yanaweza kubadili lugha chukua iyo.
Kwi kwi kwi ndiyo kujitetea huko kwakuwa Juma aliiba hakukamtwa basi namimi leo niachiwe Pumbavu mkuu wewe
 
Mkuu uandishi wako ni mbovu sana kwa mtu anayedai amekwenda shule, ni mbovu na unatia hata hasira kusoma. Pili ukikua na kukomaa utajua haukuwa sahihi kabisa kwa haya yote unayoyaandika. Uzoefu wako kwenye maisha halisi ni mdogo sana sana.
Kama wa daktari au kama sijasoma.
 
Uliambiwa ukiwa muhandisi lazima uajiliwe nenda kafanye kile ulichofundishwa kwa vitendo tengeneza wazo ulifanyie kazi.
Wewe na Jiwe wako mmewahi kujiajiri? Acheni kuwanyanyasa vijana ndani ya nchi yao. Mkitumbuliwa udas tu mnalialia mtaani, kutwa kujipendekeza ili mteuliwe. Onesheni mfano wa kujiajiri nyinyi akina Bashite
 
M

Tatizo mlilonalo watanzania ni kuamini kwamba mwalimu wa chekechea au mfanyakazi wa ndani hawezi kuwa na PhD,hapa Tanzania Luna fulsa nyingi sana tatizo mnakalili amuumizi vichwa,unataka kuniambia hapo mtaani kwenu hakuna fulsa,aliyegundua ndege angekuwa muoga Leo hii pasingekuwepo na ndege.
Karibu mtaani kijana. Uje na ujuaji wako huu huu😆
 
Muheshimiwa Magufuli Tanzania ya viwanda uliyotuahidi iko wapi, leo kama unataka wahandisi tuliosoma kwa jasho na damu ili tupate ajira kwenye Tanzania yako uliyotuahidi itakua ya viwanda, leo unatwambia tuombe ualimu?. Kweli Magufuli?


Nina bado wasiwasi wa wahandisi kipindi hiki ambaye hajui cha kufanya
 
Nina bado wasiwasi wa wahandisi kipindi hiki ambaye hajui cha kufanya
Kwa uandishi wako huu lazima uwe nawasiwasi. Tafakari kwa nini Magufuli anataka wakafundishe badala yakuwapeleka kwenye viwanda anavyojisifu kujenga, au madaraja na miundombinu kiujumla?.
 
Kwa uandishi wako huu lazima uwe nawasiwasi. Tafakari kwa nini Magufuli anataka wakafundishe badala yakuwapeleka kwenye viwanda anavyojisifu kujenga, au madaraja na miundombinu kiujumla?.
Hivi man ulitaka magu akufanyie nini kwenye maisha yako nakuona kama profile yako kuna picha ya mwanaharakati.
 
Hivi man ulitaka magu akufanyie nini kwenye maisha yako nakuona kama profile yako kuna picha ya mwanaharakati.
Aweke mazingira wezeshi kwa wanaotaka kujiajiri, apunguze kodi zisizo namsingi, atoe ajira kama watangulizi wake,apandishe madaraja na mishahara kadri sheria inavyosema, arudishe makato ya heslb 8% ,au ashushe kabisa maana yeye alisoma bure, arudishe fao lakujitoa, arudishe uhuru wa vuombo vyahabari, aheshimu haki zawatu wengine, kisha ajenge miundombinu(ujenzi+usafirishaji). Mwisho kabisa azingatie "uhuru,haki,wajibu,namaendeleo ya watu".
 
Back
Top Bottom