Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Muheshimiwa Magufuli Tanzania ya viwanda uliyotuahidi iko wapi, leo kama unataka wahandisi tuliosoma kwa jasho na damu ili tupate ajira kwenye Tanzania yako uliyotuahidi itakua ya viwanda, leo unatwambia tuombe ualimu?. Kweli Magufuli?

Uliambiwa ukiwa muhandisi lazima uajiliwe nenda kafanye kile ulichofundishwa kwa vitendo tengeneza wazo ulifanyie kazi.
 
Imebidi nicheke tu mkuu, maana inawezekana wewe huishi Tanzania .
Kwanini? Tanzania hakuna fulsa,ngoja nikuambie jambo sisi watanzania hasa wanachuo hatujui misingi ya kufanikiwa tunawaza tu kutumia tulivyoundiwa,mwanachuo akipokea bumu kitu cha kwanza anachokiona cha maana ni flat screen,simu,na vitu vingi vya ovyo ambavyo watu wenye kufikili waliviunda,ukiwa chuo kama MTU mwenye malengo na huna makundi kupitia bumu MTU unatoka kimaisha ukiwa chuoni,watu wanapaswa kuwekeza kwenye kufikili alafu waamishie mwenye vitabu,sio kukalili mwenye vitabu kuamishia mwenye kichwani,waliofanikiwa kubuni na kutengeneza vitu vyote duniani walianzia kufikili na kubuni kwanza kabla ya kuamishia mwenye vitabu.
 
Kwanini? Tanzania hakuna fulsa,ngoja nikuambie jambo sisi watanzania hasa wanachuo hatujui misingi ya kufanikiwa tunawaza tu kutumia tulivyoundiwa,mwanachuo akipokea bumu kitu cha kwanza anachokiona cha maana ni flat screen,simu,na vitu vingi vya ovyo ambavyo watu wenye kufikili waliviunda,ukiwa chuo kama MTU mwenye malengo na huna makundi kupitia bumu MTU unatoka kimaisha ukiwa chuoni,watu wanapaswa kuwekeza kwenye kufikili alafu waamishie mwenye vitabu,sio kukalili mwenye vitabu kuamishia mwenye kichwani,waliofanikiwa kubuni na kutengeneza vitu vyote duniani walianzia kufikili na kubuni kwanza kabla ya kuamishia mwenye vitabu.
Mkuu wewe hujamaliza chuo, huko kote ulikopita mimi nimepita, na kwa kukutarifu tu, mimi naofisi yangu ya ndoto yangu na napigana kwa jasho nadamu ifike mahala napotaka, sihitaji ajira yamtu wala kumpigia kelele mtu, lakini mifumo ya utawala wa Magufuli imekua migumu mno, kodi zisizostahili kila mahala, tenda zote anazipa taasisi za Serikali.

Endelea kupokea bumu, huzifaham kodi tunazopewa na TRA.
 
Kwanini? Tanzania hakuna fulsa,ngoja nikuambie jambo sisi watanzania hasa wanachuo hatujui misingi ya kufanikiwa tunawaza tu kutumia tulivyoundiwa,mwanachuo akipokea bumu kitu cha kwanza anachokiona cha maana ni flat screen,simu,na vitu vingi vya ovyo ambavyo watu wenye kufikili waliviunda,ukiwa chuo kama MTU mwenye malengo na huna makundi kupitia bumu MTU unatoka kimaisha ukiwa chuoni,watu wanapaswa kuwekeza kwenye kufikili alafu waamishie mwenye vitabu,sio kukalili mwenye vitabu kuamishia mwenye kichwani,waliofanikiwa kubuni na kutengeneza vitu vyote duniani walianzia kufikili na kubuni kwanza kabla ya kuamishia mwenye vitabu.
Kwa uandishi huu ata chuo cha madrasa hujaenda..

Kwa iyo usibishane sana na watu walioihangaikia elimu
 
Jibu hoja hayo mengine ayakuhusu ,wewe unategemea nini?,aliyegundua kitu chochote unachokitumia wewe pamoja na iyo simu alifikili kichwani akaamishia kitabuni,wewe unaewaza unayesubili mzungu aje akuambie pale unaweza kufanya hiki na hiki utasubiri sana,elimu yako inatakiwa ikupe maarifa na sio ajila.
 
Muheshimiwa Magufuli Tanzania ya viwanda uliyotuahidi iko wapi, leo kama unataka wahandisi tuliosoma kwa jasho na damu ili tupate ajira kwenye Tanzania yako uliyotuahidi itakua ya viwanda, leo unatwambia tuombe ualimu?. Kweli Magufuli?

Ccm imefeli kila mahali kila wanapokurupuka kutatua tatizo wanajikuta wanakosea tena.
 
Jibu hoja hayo mengine ayakuhusu ,wewe unategemea nini?,aliyegundua kitu chochote unachokitumia wewe pamoja na iyo simu alifikili kichwani akaamishia kitabuni,wewe unaewaza unayesubili mzungu aje akuambie pale unaweza kufanya hiki na hiki utasubiri sana,elimu yako inatakiwa ikupe maarifa na sio ajila.
Mkuu Tanzania kuna uvumbuzi?. Au nimuendelezo wa walivyogunduliwa, project tu zinazofanyika chuoni na maprofesa wanazipitisha hakuna jipya. Watu wanapokuambia mfumo wa elimu wa Tanzania nimbovu huelewi?.

Nisawa na wewe badala yakuandik ajira, unaandika ajila hii yote nikuthibitisha elimu yetu sio nzuri nimbovu.

Nachokusihi maliza chuo, uje kuiona elimu halisi mtaani. Mawazo uliyonayo wewe kila mwanachuo alikua nayo, lakini mazingira kwa Tz sio wezeshi yakumfanya graduate avumbue kitu ,bila kuhitaji fedha za kumsaport, inawezekana kwenu wewe nikwawale watanzania wachache mmebaki mkiishi kama malaika, wengine sisi tunaishi kama mashetani, kila leo niaafadhari ya jana.
 
Mkuu wewe hujamaliza chuo, huko kote ulikopita mimi nimepita, na kwa kukutarifu tu, mimi naofisi yangu ya ndoto yangu na napigana kwa jasho nadamu ifike mahala napotaka, sihitaji ajira yamtu wala kumpigia kelele mtu, lakini mifumo ya utawala wa Magufuli imekua migumu mno, kodi zisizostahili kila mahala, tenda zote anazipa taasisi za Serikali.

Endelea kupokea bumu, huzifaham kodi tunazopewa TRA.
Vijana wanaoishi kwa shemeji zao na baba wadogo zao hawawezi kuelewa.
 
M
Mkuu wewe hujamaliza chuo, huko kote ulikopita mimi nimepita, na kwa kukutarifu tu, mimi naofisi yangu ya ndoto yangu na napigana kwa jasho nadamu ifike mahala napotaka, sihitaji ajira yamtu wala kumpigia kelele mtu, lakini mifumo ya utawala wa Magufuli imekua migumu mno, kodi zisizostahili kila mahala, tenda zote anazipa taasisi za Serikali.

Endelea kupokea bumu, huzifaham kodi tunazopewa TRA.
Tatizo mlilonalo watanzania ni kuamini kwamba mwalimu wa chekechea au mfanyakazi wa ndani hawezi kuwa na PhD,hapa Tanzania Luna fulsa nyingi sana tatizo mnakalili amuumizi vichwa,unataka kuniambia hapo mtaani kwenu hakuna fulsa,aliyegundua ndege angekuwa muoga Leo hii pasingekuwepo na ndege.
 
Au hii ni idadi ya vyarahani vilivyonunuliwa nchi nzima kwa miaka mitano? Ndio wenzetu wanaviita aka viwanda?

Au aka ya vyarahani ni viwanda.
 
M

Tatizo mlilonalo watanzania ni kuamini kwamba mwalimu wa chekechea au mfanyakazi wa ndani hawezi kuwa na PhD,hapa Tanzania Luna fulsa nyingi sana tatizo mnakalili amuumizi vichwa,unataka kuniambia hapo mtaani kwenu hakuna fulsa,aliyegundua ndege angekuwa muoga Leo hii pasingekuwepo na ndege.
Utagunduaje ndege "Tanzania" wakati ukitengeneza tu drone yako, ili uirushe angalau kwa majaribio unahitaji ulipie dola 100 ?.

halafu kitu kingine hufahamu maana ya uwekezaji, mtu kasoma kuanzia chekechea mpaka anamaliza shahada ya uhandisi nimiaka 18 au 19. Mtu huyu alikua anapigania ndoto yake nakujenga msingi wamaisha yake, leo amemaliza unamwambia aje auze chips mtaani kwake nifurusa, yaani kitu anachokifanya mtu ambae hajaenda shule hichohicho kitu aje akifanye mtu mwenye degree ya uhandisi, siupotevu wa rasilimali huo?.
 
Back
Top Bottom