Fungua macho ya akilini , acha kutembea huku ukipapasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua macho ya akilini , acha kutembea huku ukipapasa
Sasa tuna Tanzania ya ndege za abiria lakini zitaishia kubeba mizigo maana demand ya usafiri wa ndege nchini ni ndogo sana.
Bado mwaka mmoja twrnde kwenye uchaguzi kupokea ndege ndo basi tena, viwanda bye bye. Imebaki sgr. Nayo itabuma tu.Inaendelea, Ndege mpya inawasili karibu kuipokea kama ukipenda, Tanzania mpya ya viwanda!
Bado mwaka mmoja twrnde kwenye uchaguzi kupokea ndege ndo basi tena, viwanda bye bye. Imebaki sgr. Nayo itabuma tu.
Mi natongoza bashiru na polepole,Umeshamaliza tongoza shombeshombe la kiarabu? wenzako chadema wote wako huko wanatongoza shombe shombe la kiarabu!
Inaitwa "lunatic"Hakuna kichaa anayeweza kuwa na mipango thabiti bali hutegemea ameamkaje na anaona nini ambacho watu wa kawaida hawalioni, sasa.ni Tanzania ya ndege tu
Mkuu huwa unaniachaga bila mbavuViwanda mbona kila siku vinaota kama uyoga.
Nenda Kariakoo uone viwanda vya kukamua miwa.
Mi pia Nina chakwangu kimeshazalisha watoto nasubiri nipate wajukuu. Shule na tra ndiyo kikwazo. Lakini ninacho nilikijenga kihalali kanisani.Viwanda mbona kila siku vinaota kama uyoga.
Nenda Kariakoo uone viwanda vya kukamua miwa.
Mi natongoza bashiru na polepole,
Imeajiri watanzania wangapi kama hata marubani siyo raia wa Tanzania? Mipango mibovu huzaa uchumi mbovu na sahau adakadabra za viwanda nchi hii kwani wenye pesa zao wamekwenda kuwekeza nchi jirani na rafiki kwa wawekezaji! Pigeni miayo tu hadi midomo iachame kama ya kiboko!Hahaha chadema bhana, hata maana ya viwanda hamuelewi? Ukishawahi kusikia wakisema ,,the airline industry?”
Waambie hao halafu zinabeba vichwa vya MBUZI kwa ajili ya supu huko dubaiInaendelea, Ndege mpya inawasili karibu kuipokea kama ukipenda, Tanzania mpya ya viwanda!