Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

Sasa tuna Tanzania ya ndege za abiria lakini zitaishia kubeba mizigo maana demand ya usafiri wa ndege nchini ni ndogo sana.
 
Inaendelea, Ndege mpya inawasili karibu kuipokea kama ukipenda, Tanzania mpya ya viwanda!
Bado mwaka mmoja twrnde kwenye uchaguzi kupokea ndege ndo basi tena, viwanda bye bye. Imebaki sgr. Nayo itabuma tu.
 
Bado mwaka mmoja twrnde kwenye uchaguzi kupokea ndege ndo basi tena, viwanda bye bye. Imebaki sgr. Nayo itabuma tu.


Umeshamaliza tongoza shombeshombe la kiarabu? wenzako chadema wote wako huko wanatongoza shombe shombe la kiarabu!
 
Hakuna kichaa anayeweza kuwa na mipango thabiti bali hutegemea ameamkaje na anaona nini ambacho watu wa kawaida hawalioni, sasa.ni Tanzania ya ndege tu
 
Hahaha chadema bhana, hata maana ya viwanda hamuelewi? Ukishawahi kusikia wakisema ,,the airline industry?”
Imeajiri watanzania wangapi kama hata marubani siyo raia wa Tanzania? Mipango mibovu huzaa uchumi mbovu na sahau adakadabra za viwanda nchi hii kwani wenye pesa zao wamekwenda kuwekeza nchi jirani na rafiki kwa wawekezaji! Pigeni miayo tu hadi midomo iachame kama ya kiboko!
 
Fanya subira. Bado tupo wizara ya mawasiliano na Uchukuzi . Tukimaliza hapa ndio tuanze wizara nyingine.
Btw. Airline is an industry
 
Nyiwe wapinzani sio wazalendo hamuoni viwanda mm nakupa mfano WA vichache
Rudia chaguzi textiles industries hawa natengeneza sana sare hasa za ccm
2 tia ndani wpinzani automobile plc
3 tengua teua furniture ltd
4 zaeni breweries limited
5 ongezea na wewe
 
Inaendelea, Ndege mpya inawasili karibu kuipokea kama ukipenda, Tanzania mpya ya viwanda!
Waambie hao halafu zinabeba vichwa vya MBUZI kwa ajili ya supu huko dubai
 
Back
Top Bottom