OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ile ilikuwa fix nene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupora Korosho.Magufuli anachagua hoja nyepesi anazijibu, hoja nzito hawezi jibu...
Ni mashine za kusaga nafaka na kukoboa wanaziita viwanda.Wakuu heshima kwenu,
Katika Uchaguzi uliopita yaani mwaka 2015, CCM na mgombea wao (John Magufuli) walikuwa wakihubiri kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda.
Baada ya uchaguzi tukaanza kusikia propaganda kutoka kila mahali kuwa viwanda tele vimejengwa mikoa yote, jambo la ajabu ni kuwa viwanda hivi si tu kuwa huwezi kukutana au kumfahamu yeyote aliyeajiriwa katika haya maelfu ya viwanda vipya lakini pia viwanda hivi ni ngumu mno kuviona kwa macho.
Nilidhani kwa kuwa Tanzania ni kubwa ngoja tuone katika uchaguzi huu Mgombea wa CCM kwa kuwa anapita kila mahali atakuwa anatuambia hapa kimejengwa kiwanda hiki, lakini ajabu na kweli Mgombea huyu hasemi chochote mahali popote kuhusu viwanda hivi vipya kwa maelfu yake, badala yake anasema flyover mbili (Tazara na Ubungo) zilizoko Dar es Salaam.
Naomba nitoe rai kwa Mgombea wa CCM, tafadhali huu ni wakati wa kutuonyesha haya maelfu ya viwanda pote unapofika.
Hicho chama awamu hii ni usanii tupu,wanafikiria kila mtanzania ni mjinga level ya kabudi au polepoleWakuu heshima kwenu,
Katika Uchaguzi uliopita yaani mwaka 2015, CCM na mgombea wao (John Magufuli) walikuwa wakihubiri kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda.
Baada ya uchaguzi tukaanza kusikia propaganda kutoka kila mahali kuwa viwanda tele vimejengwa mikoa yote, jambo la ajabu ni kuwa viwanda hivi si tu kuwa huwezi kukutana au kumfahamu yeyote aliyeajiriwa katika haya maelfu ya viwanda vipya lakini pia viwanda hivi ni ngumu mno kuviona kwa macho.
Nilidhani kwa kuwa Tanzania ni kubwa ngoja tuone katika uchaguzi huu Mgombea wa CCM kwa kuwa anapita kila mahali atakuwa anatuambia hapa kimejengwa kiwanda hiki, lakini ajabu na kweli Mgombea huyu hasemi chochote mahali popote kuhusu viwanda hivi vipya kwa maelfu yake, badala yake anasema flyover mbili (Tazara na Ubungo) zilizoko Dar es Salaam.
Naomba nitoe rai kwa Mgombea wa CCM, tafadhali huu ni wakati wa kutuonyesha haya maelfu ya viwanda pote unapofika.
Wakuu heshima kwenu,
Katika Uchaguzi uliopita yaani mwaka 2015, CCM na mgombea wao (John Magufuli) walikuwa wakihubiri kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda.
Baada ya uchaguzi tukaanza kusikia propaganda kutoka kila mahali kuwa viwanda tele vimejengwa mikoa yote, jambo la ajabu ni kuwa viwanda hivi si tu kuwa huwezi kukutana au kumfahamu yeyote aliyeajiriwa katika haya maelfu ya viwanda vipya lakini pia viwanda hivi ni ngumu mno kuviona kwa macho.
Nilidhani kwa kuwa Tanzania ni kubwa ngoja tuone katika uchaguzi huu Mgombea wa CCM kwa kuwa anapita kila mahali atakuwa anatuambia hapa kimejengwa kiwanda hiki, lakini ajabu na kweli Mgombea huyu hasemi chochote mahali popote kuhusu viwanda hivi vipya kwa maelfu yake, badala yake anasema flyover mbili (Tazara na Ubungo) zilizoko Dar es Salaam.
Naomba nitoe rai kwa Mgombea wa CCM, tafadhali huu ni wakati wa kutuonyesha haya maelfu ya viwanda pote unapofika.
Ushamba kuwaza viwanda bila kuwa na stable agricultural sector.Wakuu heshima kwenu,
Katika Uchaguzi uliopita yaani mwaka 2015, CCM na mgombea wao (John Magufuli) walikuwa wakihubiri kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda.
Baada ya uchaguzi tukaanza kusikia propaganda kutoka kila mahali kuwa viwanda tele vimejengwa mikoa yote, jambo la ajabu ni kuwa viwanda hivi si tu kuwa huwezi kukutana au kumfahamu yeyote aliyeajiriwa katika haya maelfu ya viwanda vipya lakini pia viwanda hivi ni ngumu mno kuviona kwa macho.
Nilidhani kwa kuwa Tanzania ni kubwa ngoja tuone katika uchaguzi huu Mgombea wa CCM kwa kuwa anapita kila mahali atakuwa anatuambia hapa kimejengwa kiwanda hiki, lakini ajabu na kweli Mgombea huyu hasemi chochote mahali popote kuhusu viwanda hivi vipya kwa maelfu yake, badala yake anasema flyover mbili (Tazara na Ubungo) zilizoko Dar es Salaam.
Naomba nitoe rai kwa Mgombea wa CCM, tafadhali huu ni wakati wa kutuonyesha haya maelfu ya viwanda pote unapofika.
Akijibu hata moja kati ya hayo maswali kampeni itakuwa imeishia hapo hapo,atalikoroga zaidi.Kwamba fao la kujitoa liliondolewa kwa kuwa fedha hazipo baada ya kukopwa na wasiohusika(wasio wanachama wa mifuko).Magufuli anachagua hoja nyepesi anazijibu, hoja nzito hawezi jibu.
Mfano. Mafao na Fao la kujitoa
Mayanga Construction
Tanzania ya viwanda Hakuna
Nyongeza ya mishahara
Akijibu hata moja kati ya hayo maswali kampeni itakuwa imeishia hapo hapo,atalikoroga zaidi.Kwamba fao la kujitoa liliondolewa kwa kuwa fedha hazipo baada ya kukopwa na wasiohusika(wasio wanachama wa mifuko).
Pamoja na hayo yote , nyinyi watu bado mtamchagua, kweli kazi ipoKupora ardhi eka 25000
Niliwahi kuandika zamani humu kama kiwanda ni process ndefu sana ambayo huwezi kuianzishisha, kuuza ni kupata faida ndani ya miaka mitano.