Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Je, Taoism ni uchawi? Je, unaweza kutumia Taoism kutabiri mambo ya mbeleni? Nitajaribu kukuelewesha

Safi... kwanza angalau unaingia kwenye context ninayoongelea hapa. That means I can answer your questions.

Lakini jua kwamba umeniambia ni-define Nature, na sio Tao.

Nature na Tao sio kitu kimoja.

Kwenye Taoism Nature na Tao ni concepts zinazohusiana lakini sio kitu kimoja.

Na toka juu kabisa nilipoongelea Nguvu kuu niliquote hio aya inayosema "....Tao that can be named is not an eternal Tao..."

Nature ni Manifestation ya Tao. Nature sio Tao.
Kama huwezi kui define Tao, halafu unai define nature kwa muktadha wa Tao, huoni kwamba kutoweza kui define Tao kutakufanya ushindwe pia kui define nature?

Yani kuna namba x, hiyo ndiyo Tao. Hatujui thamani yake na wala hatuwezi kuiandika in full decimal.

Halafu tunaambiwa kwamba 0.5 x, ni y, y ni nature.

Halafu unaambiwa solve for y, usiseme y = 0.5x, nipe value of y in fully decimal numbers.

Uta solve vipi hapo?

Lazima ushindwe kwa style ya garbage in, garbage out.

If the Tao can't be defined, and nature is an integral part of tge Tao, then nature can't be defined.

If you can define nature, an integral part of the Tao, then you can define the Tao.

If you can define nature, yet you can't define the Tao, then nature is not such an integral part of the Tao.
 
Kama huwezi kui define Tao, halafu unai define nature kwa muktadha wa Tao, huoni kwamba kutoweza kui define Tao kutakufanya ushindwe pia kui define nature?

Yani kuna namba x, hiyo ndiyo Tao. Hatujui thamani yake na wala hatuwezi kuiandika in full decimal.

Halafu tunaambiwa kwamba 0.5 x, ni y, y ni nature.

Halafu unaambiwa solve for y, usiseme y = 0.5x, nipe value of y in fully decimal numbers.

Uta solve vipi hapo?

Lazima ushindwe kwa style ya garbage in, garbage out.

If the Tao can't be defined, and nature is an integral part of tge Tao, then nature can't be defined.

If you can define nature, an integral part of the Tao, then you can define the Tao.

If you can define nature, yet you can't define the Tao, then nature is not such an integral part of the Tao.
Nature ni manifestation ya Tao. Sio value ya tao, wala placeholder au representative, so maths haitohold hapo.

Kutokuelewa Tao kusifanye ushindwe kuelewa Nature.

Ngoja nikuulize swali. Ukijenga nyumba ukakaa mule ndani, unakaa wapi?

Actually unakaa kwenye empty space ya humo ndan, ambayo ilikuwepo hata kabla ya wewe kujenga hizo kuta unazoziita nyumba. So umuhimu ni hio empty space au hizo kuta? (Utajijibu hapo). Lakini kuta ni manifestation tu ya nyumba, ila nyumba halisi ni hio empty space ya humo ndani ambayo haishikiki.

Kwa maelezo hayo, mfano wako wa ki-hisabati hauna maana hapa sababu hizo equations ulizoweka hapo zinaonesha value (x = something) lakini sio manifestation, ambayo ndio point hapa.

PLS, read this comment again sababu naona unashindwa kuelewa maana ya Manifestation.
 
Nature ni manifestation ya Tao. Sio value ya tao, maths haitohold hapo.

Kutokuelewa Tao kusifanye ushindwe kuelewa Nature.

Ngoja nikuulize swali. Ukijenga nyumba ukakaa mule ndani, unakaa wapi?

Actually unakaa kwenye empty space ya humo ndan, ambayo ilikuwepo hata kabla ya wewe kujenga hizo kuta unazoziita nyumba. So umuhimu ni hio empty space au hizo kuta? (Utajijibu hapo). Lakini kuta ni manifestation tu ya nyumba, ila nyumba halisi ni hio empty space ya humo ndani.

Kwa maelezo hayo, mfano wako wa ki-hisabati hauna maana hapa sababu hizo equations ulizoweka hapo zinaonesha value (x = something) lakini sio manifestation, ambayo ndio point hapa.

PLS, read this comment again sababu naona unashindwa kuelewa maana ya Manifestation.
Nyumba inaeleweka, ina ndani na nje, kwa nini unafananisha nyumba inayoeleweka na Tao isiyoeleweka?

Huoni logical fallacy ya non sequitur hapo?

Huwezi kukaa kwenye empty space utakaa kwenye kiti, kochi, kitanda ambacho kitakuwa supported na floor ya nyumba.

Kama empty space ni nyumba, ondoa hizo kuta zote na floor ubaki na empty space halafu uelee kwenye empty space, useme upo katika nyumba.

Kama huwezi ku define Tao, huwezi ku define nature kwa muktadha wa Tao. Kwa sababu muktadha wako wa ku define nature, Tao, umekataa definition.

Kipi kigumu kueleweka hapo?
 

Jamaa basically wanasema Taoism is a bunch of bullshit Buddhist wannabee philosopher's plagiarism of Buddhist.

Xiaodao Lun (Laughing at Taoists)

The Xiaodao Lun is an anti-Daoist polemic written in 570 for the Emperor Wu of Northern Zhou (543–578) by the Buddhist courtier Zhen Luan. After holding several inconclusive debates in the court, Emperor Wu commissioned the Xiaodao Lun as one of two reports examining the suitability of sponsoring either Buddhism or Daoism as a state religion for the Northern Zhou dynasty, with a view towards unifying China. The Xiaodao Lun mocked Daoist practices, accused Daoists of plagiarizing Buddhist texts, and portrayed the religion as dangerous to social stability. Its advice was disregarded by the Emperor, who supported the preservation of Daoism, but his dynasty was ultimately short-lived. Zhen Luan's Xiaodao Lun is preserved in the Chinese Buddhist canon and is consulted for its quotations of Daoist texts that have not been preserved until today.
 
Nyumba inaeleweka, ina ndani na nje, kwa nini unafananisha nyumba inayoeleweka na Tao isiyoeleweka?

Huoni logical fallacy ya non sequitur hapo?

Huwezi kukaa kwenye empty space utakaa kwenye kiti, kochi, kitanda ambacho kitakuwa supported na floor ya nyumba.

Kama empty space ni nyumba, ondoa hizo kuta zote na floor ubaki na empty space halafu uelee kwenye empty space, useme upo katika nyumba.

Kama huwezi ku define Tao, huwezi ku define nature kwa muktadha wa Tao. Kwa sababu muktadha wako wa ku define nature, Tao, umekataa definition.

Kipi kigumu kueleweka hapo?
Kigumu ni kwamba wewe ndo unashindwa kuelewa mifano yangu. Maybe naongea mambo mazito sana. Sijafananisha nyumba na Tao. Nimeongelea Kuta na hio empty space unayokalia ndani

Anyway... Kwenye mfano wa nyumba nilidhan utaelewa kwamba hizo kuta, viti, etc.. ni kama nature lakini hio empty space ndio Tao, na hio space haishikiki lakini ilikuwepo hata kabla ya hizo kuta. Kipi kigumu kueleweka hapo?

Na kama huoni umuhimu wa hio empty space basi jaza zege full empty space yote ya nyumba yako tuone utalala au kukaa wapi. Hapo ndo utajua empty space ni muhimu kuliko hizo kuta na viti.

Mfano mwingine ni kikombe cha kuchotea maji, yanapokaa maji ni kwenye empty space lkn zile plastics ni manifestation tu.

Hili ni somo jepesi sana kuelewa kwa genius kama wewe
 
Kigumu ni kwamba wewe ndo unashindwa kuelewa mifano yangu. Maybe naongea mambo mazito sana. Sijafananisha nyumba na Tao. Nimeongelea Kuta na hio empty space unayokalia ndani

Anyway... Kwenye mfano wa nyumba nilidhan utaelewa kwamba hizo kuta, viti, etc.. ni kama nature lakini hio empty space ndio Tao, na hio space haishikiki lakini ilikuwepo hata kabla ya hizo kuta. Kipi kigumu kueleweka hapo?

Na kama huoni umuhimu wa hio empty space basi jaza zege full empty space yote ya nyumba yako tuone utalala au kukaa wapi. Hapo ndo utajua empty space ni muhimu kuliko hizo kuta na viti.

Mfano mwingine ni kikombe cha kuchotea maji, yanapokaa maji ni kwenye empty space lkn zile plastics ni manifestation tu.

Hili ni somo jepesi sana kuelewa kwa genius kama wewe
Taoist wamekuwa exposed kama dini ya kufanya group sex na wife swapping, unajua hayo?

Una practice hayo?
 

Jamaa basically wanasema Taoism is a bunch of bullshit Buddhist wannabee philosopher's plagiarism of Buddhist.

Xiaodao Lun (Laughing at Taoists)

The Xiaodao Lun is an anti-Daoist polemic written in 570 for the Emperor Wu of Northern Zhou (543–578) by the Buddhist courtier Zhen Luan. After holding several inconclusive debates in the court, Emperor Wu commissioned the Xiaodao Lun as one of two reports examining the suitability of sponsoring either Buddhism or Daoism as a state religion for the Northern Zhou dynasty, with a view towards unifying China. The Xiaodao Lun mocked Daoist practices, accused Daoists of plagiarizing Buddhist texts, and portrayed the religion as dangerous to social stability. Its advice was disregarded by the Emperor, who supported the preservation of Daoism, but his dynasty was ultimately short-lived. Zhen Luan's Xiaodao Lun is preserved in the Chinese Buddhist canon and is consulted for its quotations of Daoist texts that have not been preserved until today.
Hahahahaa...... usianze attacks kama umeishiwa points au the subject is way beyond your level of inteligence, Mm sipo hapa kwa debates kama hizi sababu hata Taoism hainiruhusu

Lkn tafuta taoism imeanza karne ipi, na buddhism imeanza karne ipi utapata jibu ipi ilianza.

Note, I wont quote any further comment kwa debate ya issue kama hii. Let's stick to the topic.
 
Taoist wamekuwa exposed kama dini ya kufanya group sex na wife swapping, unajua hayo?

Una practice hayo?
Hahahahaaa.... umeona sasa, umetoka kwenye mada umeanza mambo mengine kabisa. Hio ni indicator umeishiwa hoja sababu zote nimezijibu

kwanza, Taoism sio dini.

Pili, nimesema toka juu huko kuna hadi factions za wachawi waliotokana na taoism. Achia tu uasherati.

Tatu, naona umeishiwa maswali na hoja za maana. Nitaishia kujibu hapa.
 
Hahahahaa...... usianze attacks kama umeishiwa points au the subject is way beyond your level of inteligence, Mm sipo hapa kwa debates kama hizi sababu hata Taoism hainiruhusu

Lkn tafuta taoism imeanza karne ipi, na buddhism imeanza karne ipi utapata jibu ipi ilianza.

Note, I wont quote any further comment kwa debate ya issue kama hii. Let's stick to the topic.
Topic ni ile unayotaka wewe iwe topic tu.

Nikikuonesha Buddhist polemics walivyochambua udhaifu na plagiarism ya Taoism unalazimisha hiyo isiwe topic, kwa nini?
 
Hahahahaaa.... umeona sasa, umetoka kwenye mada umeanza mambo mengine kabisa. Hio ni indicator umeishiwa hoja sababu zote nimezijibu

kwanza, Taoism sio dini.

Pili, nimesema toka juu huko kuna hadi factions za wachawi waliotokana na taoism. Achia tu uasherati.

Tatu, naona umeishiwa maswali na hoja za maana. Nitaishia kujibu hapa.
Wewe lazima ukimbie.

Picha linaanza Taoism inasema ukitaka kui define tu Taoism, ushaharibu.

Taoism haiwezi kuwa defined.

Halafu wewe unataka kutufundisha Taoism na ku define Taoism na nature kwa kupitia Taoism.

You must love to swim in hogwash.
 
Wewe lazima ukimbie.

Picha linaanza Taoism inasema ukitaka kui define tu Taoism, ushaharibu.

Taoism haiwezi kuwa defined.

Halafu wewe unataka kutufundisha Taoism na ku define Taoism na nature kwa kupitia Taoism.

You must love to swim in hogwash.

Kiranga, wewe ni mwepesi sana wa kwenye marumbano ya hoja, ukishindwa hoja unaanza offense, and that's among the signs of being very weak

Anyway, unataka kuaminisha kitu ambacho sijakisema. Na kizuri record zipo, Toka mwanzo kabisa comment ya #1 nilisema hivi

Kazi kuu ya Taoism ni kuhakikisha binadamu anaishi kutokana na matakwa ya hio Nguvu Kuu. Kwenye Taoism hio nguvu tunaiita "Tao" au "The Way" kwa kiingereza. Na hio Nguvu, haielezeki, wala haina jina. Ndo maana kwenye kitabu kikuu cha Taoism kinachoitwa Tao Te Ching,kuna aya inaaema ".....The Tao that can be named is not an eternal Tao....."

Wewe ukaja kuniambia nidefine nature, nikadefine, lakini kwa upenyo wako hafifu wa akili unashindwa kuelewa kwamba Tao na Nature ni vitu viwili tofauti. Tao Te Ching inasema 'Tao cannot be defined' lakini haisemi 'Nature cannot be defined'. Na zaidi Nature ni manifestation of Tao.

Nikakupa mifano kadhaa, bado huelewi tu. Perhaps this subject is more complicated to you ila hutaki kukubali na ukajifunza.

Sitoweza kukusaidia zaidi ya hapo. Readers will judge.
 
Nikikwambia utumie hiyo Taoism unitabirie exactly mwaka 7500 jinsi utakavyokuwa na mambo yatakayo kuwepo kwa mwaka huo unaweza?

Kama haiwezekani, Je Hiyo Taoism inabashiri nini mambo ya mbeleni?

Au inafanya bahati nasibu tu kutabiri kama ilivyo Kubet...

Kwamba Taoism hiyo haijui exactly nini kitakuwepo mwaka 7500 ila ina otea otea tu?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Acha basi kuharabu mada Kwa ubishi usiokuwa na maana!?
 
Ni vigumu kwa mtu ku control kila kitu, kwa sababu ili ku control kila kitu, inabidi kwanza upime kila kitu.

Na kuna vitu vingi ambavyo kitendo cha kukipima tu hicho kitu maana yake umepoteza control kwenye hicho kitu, yani upimaji wako unaingilia kinachopimwa, hivyo, measurement zako zitakuwa si za kile kitu unachokipima kikiwa katika natural state, bali ya kile kitu unachokipima kikiwa katika state ya kupimwa.

Nikupe mfano rahisi kwa sababu ya demonstration tu, ambao unaweza kuwa si accurate sana factually, lakini unaonesha point yangu.

Tuseme una camera, camera inaweza kupiga picha na ku preserve image ya kitu. Lakini, ili camera itengeneze image ya kitu, inabidi photons fulani zitoke kwenye kitu kinachopigwa picha, photons zinatoka kwenye mwili wa mtu, zinaenda kutengeneza picha. Sawa, utapata picha, lakini hiyo picha itakuwa ni ya mtu ambaye photons kadhaa zishatoka ili kutengeneza picha, huwezi kupata picha ya mtu yule kabla zile photons hazijatoka kutengeneza picha.

Hapo unaona kuwa, kile kitendo cha kupima mtu anaonekanaje kwa kutumia camera, kimeingilia kile kinachopimwa, mtu, na kumfanya awe tofauti na yule mtu ambaye alikuwapo kabla ya kupigwa picha.

Kitu kingine kinachozuia kupima kwa uhakika ni the laws of physics. Ukiangalia laws kama za Heisenberg's Uncertainty Principle kuhusu position na momentum ya subatomic particles kwa mfano, utaona kwamba hatuwezi kujua position na momentum kwa uhakika. Yani tukizidisha uhakika wa kujua position, ndivyo tunazidisha kutojua zaidi momentum, and vive versa.

Yani unaweza, kwa mfano, kuanza kwa kujua kwa 99% position ya particle, lakini hilo litamaanisha kuwa unajua kwa uhakika wa 1% momentum yake. Na ukizidisha uhakika wa momentum kufikia 2%, uhakika wa kujua position unashuka mpaka 98%, mpaka ukifikisha uhakika wa kujua momentum kwa 50% uhakika wa kujua position nao unakuwa 50%, na unaenda hivyo hivyo mpaka unafikia uhakika wa kujua momentum kwa 99% na kukuta uhakika wa kujua position umerudi chini mpaka kufikia 1%. Yani muda wote ukijumlisha uhakika wa kujua momentum na wa kujua position unapata 100%, kwa hivyo huwezi kujua chochote kwa uhakika.

Kuna wakati nilikuwa nafikiri hii ni kwa sababu hatujajua kupima vizuri tu, lakini nikaja kugundua kuwa, ni kwa sababu hizo particles hazina momentum wala position maalum, zinaelea katika a probabilistic wave function.

The universe is essentially more probabilistic, not fully knowable and therefore, never perfectly predictable.

Sasa vitu kama hivyo huwezi kuvipima kwa uhakika, kwa sababu havipo kwa uhakika ni vitu vilivyopo katika a probabilistic quantum fluctuating wave function, which is formed by randomness.

"The uncertainty principle, also known as Heisenberg's indeterminacy principle, is a fundamental concept in quantum mechanics. It states that there is a limit to the precision with which certain pairs of physical properties, such as position and momentum, can be simultaneously known.: Wikipedia
Mkuu.

Je kuna nguvu yeyote inayo control kila kitu duniani?
 
Hahahahahaaaa, una safari ndefu sana ya kujifunza. Anyway, ngoja nikusaidie kwa manufaa ya watakaosoma huu uzi.

Kuna kwenda kinyume na nature na kuna kuielewa nature inataka nn na kuitumia kukidhi mahitaji yako.

Kukabiliana na radi (mfano wako wa kwanza) kwa kuizuia isitokee ni kwenda kinyume na nature. Lakini kutumia conductor kunyonya umeme wa radi na kuutupia aridhini au kuutunza kwa matumizj ya baadae huko ni kuielewa nature inataka nn na kuitumia(ku-take advantage of nature)

Mfano wako wa ndege, wataalam walikaa wakaona ili kufanya pipa lielee hewani inabidi tutengeneze bouyancy, ndipo wale brothers watatu wakatengeneza helikopta na ndo ikawa mwanzo wa technology za ndege. Walielewa nature inataka nn, na wakaitumia.

Tatizo hilohilo ndilo lililofanya baadhi ya jamii na watu kutoendelea kwani wanashindwa kutambua nature ya mazingira yao na ku-take advantage.

Kaa, tulia, jifunze.
Kwa nini unadhani binadamu hawezi kwenda kinyume na Nature?

Kinachofanya binadamu ashindwe kwenda kinyume na Nature ni nini?

Kwa nini nature imzidi binadamu?

Nachojaribu kufikiri mimi ni kwamba Inakuwaje nature imzidi binadamu.

Nature hii iliwezaje kumzidi binadamu?

Nataka kujifunza pia.
 
Mbona unapenda kupinga kupinga hivi ni kitu gani umefanya cha maana huku dunian hata ukifa leo legacy yako itabaki
Sababu mara zote ni kupinga we umefanya nin mbona unajiona special sana

Jifunze kuwa na kiasi hata kwenye kupinga usijifanye mjuaji sana huku hauna chochote ulichofanya huku duniani zaidi ya kupuyanga
Mkuu

Mimi si mjuaji na wala sijui kila kitu.

Mimi kuna maswali yana nitatiza.

Najaribu kufikiria nature iliwezaje kumzidi binadamu?

Na kwa nini binadamu hawezi ku control kila kitu?

Kwa nini nature ndio ilifanikiwa ku control kila kitu hadi ikaweza kumtawala na binadamu?

Nature hili iliweza wezaje?
 
Mkuu.

Je kuna nguvu yeyote inayo control kila kitu duniani?
"Kila kitu" ni nini kwanza?

Maana hatuwezi kujua kama kuna nguvu inayo control "kila kitu" kama hata hatujajua tunamaanisha nini tunaposema "kila kitu".

Kila kitu ni nini na tunajuaje hicho ni kila kitu kama hatujajua vitu vingi sana na bado tunajifunza?

Pia, kwa nini tunaongelea "nguvu inayo" kama tusha conclude ni moja tu? Tunajuaje ni nguvu moja na si nyingi tofauti?

Wanafizikia mpaka sasa wamegundua the weak nuclear force, the strong nuclear force, electromagnetism na gravity. Jitihada zote za kuziunganisha hizi forces zote ziwe moja kwa kutengeneza The Grand Unified Theory zimeshindwa, na wanasayansi wengine wamehoji dhana nzima ya kuwapo kwa Grand Unified Theory.

Sabine Hossenfelder kaongelea hili hapa.

 
Ni vigumu kwa mtu ku control kila kitu, kwa sababu ili ku control kila kitu, inabidi kwanza upime kila kitu.

Na kuna vitu vingi ambavyo kitendo cha kukipima tu hicho kitu maana yake umepoteza control kwenye hicho kitu, yani upimaji wako unaingilia kinachopimwa, hivyo, measurement zako zitakuwa si za kile kitu unachokipima kikiwa katika natural state, bali ya kile kitu unachokipima kikiwa katika state ya kupimwa.

Nikupe mfano rahisi kwa sababu ya demonstration tu, ambao unaweza kuwa si accurate sana factually, lakini unaonesha point yangu.

Tuseme una camera, camera inaweza kupiga picha na ku preserve image ya kitu. Lakini, ili camera itengeneze image ya kitu, inabidi photons fulani zitoke kwenye kitu kinachopigwa picha, photons zinatoka kwenye mwili wa mtu, zinaenda kutengeneza picha. Sawa, utapata picha, lakini hiyo picha itakuwa ni ya mtu ambaye photons kadhaa zishatoka ili kutengeneza picha, huwezi kupata picha ya mtu yule kabla zile photons hazijatoka kutengeneza picha.

Hapo unaona kuwa, kile kitendo cha kupima mtu anaonekanaje kwa kutumia camera, kimeingilia kile kinachopimwa, mtu, na kumfanya awe tofauti na yule mtu ambaye alikuwapo kabla ya kupigwa picha.

Kitu kingine kinachozuia kupima kwa uhakika ni the laws of physics. Ukiangalia laws kama za Heisenberg's Uncertainty Principle kuhusu position na momentum ya subatomic particles kwa mfano, utaona kwamba hatuwezi kujua position na momentum kwa uhakika. Yani tukizidisha uhakika wa kujua position, ndivyo tunazidisha kutojua zaidi momentum, and vive versa.

Yani unaweza, kwa mfano, kuanza kwa kujua kwa 99% position ya particle, lakini hilo litamaanisha kuwa unajua kwa uhakika wa 1% momentum yake. Na ukizidisha uhakika wa momentum kufikia 2%, uhakika wa kujua position unashuka mpaka 98%, mpaka ukifikisha uhakika wa kujua momentum kwa 50% uhakika wa kujua position nao unakuwa 50%, na unaenda hivyo hivyo mpaka unafikia uhakika wa kujua momentum kwa 99% na kukuta uhakika wa kujua position umerudi chini mpaka kufikia 1%. Yani muda wote ukijumlisha uhakika wa kujua momentum na wa kujua position unapata 100%, kwa hivyo huwezi kujua chochote kwa uhakika.

Kuna wakati nilikuwa nafikiri hii ni kwa sababu hatujajua kupima vizuri tu, lakini nikaja kugundua kuwa, ni kwa sababu hizo particles hazina momentum wala position maalum, zinaelea katika a probabilistic wave function.

The universe is essentially more probabilistic, not fully knowable and therefore, never perfectly predictable.

Sasa vitu kama hivyo huwezi kuvipima kwa uhakika, kwa sababu havipo kwa uhakika ni vitu vilivyopo katika a probabilistic quantum fluctuating wave function, which is formed by randomness.

"The uncertainty principle, also known as Heisenberg's indeterminacy principle, is a fundamental concept in quantum mechanics. It states that there is a limit to the precision with which certain pairs of physical properties, such as position and momentum, can be simultaneously known.: Wikipedia
Habari Kiranga
Mimi sio mtalaam sana wa Quantum Physics au Quantum Mechanics ila huwa kila siku najitahidi kujifunza kwa sababu nahisi ndo kuna majibu mengi yamejificha huko kwanini wanaofanya vitu wanafanya wanayoamua kufanya!..

Kuna kitu kimoja umezungumzia kime-trigger ..
My DLPFC (Dorsolateral prefrontal cortex) brain Part na nimeona nikushurikishe kama utanipa maelezo zaidi..
Umezungumzia Swala la Photons na image preview au production..

(Nita paraphrasing ulichosema na utanirekebisha kama nitakosea kuna some information nimeziongeza kutokana na uelewa kidogo)

"Kwamba ili image iweze Kuonekana,Lazima Photons from the objects,leaves the objects na inaingia kwenye camera through lens na lens inaifocus Hiyo "Photons" through the image sensor ("Pixels"),Na ikikutana na Hizo pixels ndo hutengeneza Electrical Signal na the camera Inaprocess hiyo signal kuwa digital Image...."

Sasa nina maswali kadhaa..
  • Photons ni particles smallest kuliko hata Atom nafikiri Na hucarry Energy (Japo inategemea na wingi wake) and if so hiyo haimaanishi kwamba tunaweza kupoteza Energy kadhaa kwa kupiga Picha (Japo inaweza isiwe kwa kiwango kikubwa?
  • Kama wingi wa Photons unaweza kuwa determined na lens...So lens zenye ukubwa huweza kuchukua energy kubwa kuliko zingine?
  • And if so Nini kifanyika (Hata kama energy ni ndogo) maana kidogo kidogo hukamilisha kibaba..?

Nategemea majiby yako mkuu!
CC: Kiranga
 
Sasa kama nature is everything that is, mtu ataendaje kinyume na nature wakati yeye mwenyewe ni hiyo nature pia, kwa sababu na yeye ni part ya "everything that is" ?

Don't you see a tautology there?
Its like pushing a car in opposite way wakati upo ndani ya Hilo gari 🤣🤣
 
Back
Top Bottom