Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu kwa ninavyojua, inategemea na extent of brain damage and how much it affected parts of the brain.Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Ilimuanza mapema sana Hali hiyoItakuwa alipata mshituko wa matokeo ya jana! Wananchi wote walikuwa wanaamini kwa asilimia 99 wanamfunga Mwarabu! Atapona tu ingawa huwa inachukua muda mrefu. Wengi wanaopata shida kubwa huwa wanaweza kupoteza maisha lakini hii ya kupooza upande mmoja huwa wanarudi kwenye hali zao japo siyo kwa asilimia 100. Kwa mfano anaweza kupoteza kumbukumbu,, mkono mmoja kutofanya kazi vizuri, ulemavu wa mguu na au mdomo kwenda upande!
Shukrani sana ndugu yanguPole sana mkuu
Dah! Pole sanaWakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Ungemuweka wazi huyo mtaalamu.Si vibaya na si tangazo la biashara.Ni kusaidia wahitaji wa huduma.Kuna mtu anawatibu Hawa watu wanarudi katika Hali zao za kawaida aisee.. njoo inbox
Shukrani sana ndugu yanguPole sana.
Asante ndugu yanguDah! Pole sana
Jana nimepata tabu mnoAtakaa sawa tu pole kwa mitihani DR Mambo Jambo
Ndio ukubwa na ukomavu huo.Jana nimepata tabu mno
Gracias amigosNdio ukubwa na ukomavu huo.
Shukrani sana ndugu yanguPole sana expert wangu,Mungu akupe nguvu na kufawanyia wepesi kipindi hiki kigumu
Straight to ignore list. Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.Kawashitaki yanga Kwa kasababisha Babu Yako kuumwa baada ya kushindwa kufuzu.