Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ndugu yangu, naamini baba atapona arudi katika hali yake ya kawaida.Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Inshallah ikawe kheri sana ndugu yanguPole sana ndugu yangu, naamini baba atapona arudi katika hali yake ya kawaida.
Hajachelewa bado aende maduka ya dawa za miti shamba atauziwaPole kwa kuuguza Mkuu, Jaribu na mitishamba mara nyingi huwa inasaidia watu.
Ni vile umechelewa lakn kuna vijiti huwa wanawapa watu waliopata Stroke ili kuzuia Damage kubwa.
Pambana kotekote Mkuu.
Nitapungukiwa Nini Sasa?Straight to ignore list. Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Utabakia kuwa hauna akili mwanetuNitapungukiwa Nini Sasa?
Ni kweli, inategemea na aina ya stroke. Kwa ile ya hemorraghic, ambapo mishipa ya damu inayosupply kwenye ubongo inapasuka/kuvuja hupata kifo cha haraka bila ya matibabu na kama akipona basi prognosis huwa si nzuri.Baba yangu mkubwa alipona, ila mzee wangu alifariki 24 hrs baada ya kupata stroke, muwahishe hospital
Na mimi ikatokea labda miaka mitano ijayo nikapata shida kama hiyo nikufate inbox?Kuna mtu anawatibu Hawa watu wanarudi katika Hali zao za kawaida aisee.. njoo inbox
Pole sanaNdio jana nilikuwepo huko ndugu yangu siku yangu ilienda vibaya sana jana mno yaani sana
Pole, mkimuwahi anaweza kupona.Wakuu jana baada ya kurudi home nilivyotoka uwanjani taifa nilimkuta mzee wangu hawezi kutembea yaani upande wa kushoto haufanyi kazi nilipata maumivu mara mbili yaani nilifungwa kwenye timu na narudi home nakuta majanga je Stroke inaweza kupona maana jana nilifika kituo cha afya ili apime kipimo cha CitiScan majibu yakaja kuwa amepata damage upande wa ubongo hapa naongea huku natamani kulia mkono na mguu wake havifanyi kazi naomba kujua dawa au matibabu ya haraka yanayoweza kumfanya harudi katika Hali yake ya kawaida
Huitendei haki hiyo picha ya fallyUtabakia kuwa hauna akili mwanetu
Jana tulipata rufaa tukaenda Moja kwa moja muhimbiliPole, mkimuwahi anaweza kupona.
Na mimi ikatokea labda miaka mitano ijayo nikapata shida kama hiyo nikufate