Je, tatizo ni uwezo mdogo wa VIONGOZI wetu au wameamua tu kuigeuza nchi kuwa shamba la bibi?

Je, tatizo ni uwezo mdogo wa VIONGOZI wetu au wameamua tu kuigeuza nchi kuwa shamba la bibi?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Napenda tujibu swali hili kwa kutumia mfano huu.

Serikali au waziri Mchemba anapendekeza viongozi wakopeshwe magari badala ya njia ya sasa ambapo kiongozi hulikuta gari ofisini au hununuliwa jipya pindi anaposhika wadhifa fulani na kuliacha pale anapostaafu, kufa, kuhama, kufukuzwa au kupandishwa nyadhifa.

Binafsi naona hili haliko sawa,
Kwa mfano kiongozi amekopeshwa Land cruiser Prado TX , baadaye akapanda nyadhifa ambayo atapaswa kutumia Land cruiser V8, je atakopeshwa tena?

Ile ya awali itakwenda wapi?
Haya, je kiongozi akivuliwa uongozi kabla deni halijakwisha nani atalipia kiasi kitakachobaki?

Je, viongozi hawatatumia mwanya wa kufanya service na matengenezo hewa kupiga pesa, au matengenezo na service vitakuwa juu yake?

Ikumbukwe general service ya Toyota Land cruiser V8 pale Toyota si chini ya milioni 5
Na matengenezo ya gari hiyo sometimes yanafika mpaka milioni 20.

Je, serikali (Mwigulu) ameliona hili?

Au hawa viongozi wanataka kujimilikisha magari na mali za serikali kijanja?

Wakitoka kwenye magari watahamia kwenye majumba ya serikali.
 
Habari!

Napenda tujibu swali hili kwa kutumia mfano huu.

Serikali au waziri Mchemba anapendekeza viongozi wakopeshwe magari badala ya njia ya sasa ambapo kiongozi hulikuta gari ofisini au hununuliwa jipya pindi anaposhika wadhifa fulani na kuliacha pale anapostaafu, kufa, kuhama, kufukuzwa au kupandishwa nyadhifa.

Binafsi naona hili haliko sawa,
Kwa mfano kiongozi amekopeshwa Land cruiser Prado TX , baadaye akapanda nyadhifa ambayo atapaswa kutumia Land cruiser V8, je atakopeshwa tena?

Ile ya awali itakwenda wapi?
Haya, je kiongozi akivuliwa uongozi kabla deni halijakwisha nani atalipia kiasi kitakachobaki?

Je, viongozi hawatatumia mwanya wa kufanya service na matengenezo hewa kupiga pesa, au matengenezo na service vitakuwa juu yake?

Ikumbukwe general service ya Toyota Land cruiser V8 pale Toyota si chini ya milioni 5
Na matengenezo ya gari hiyo sometimes yanafika mpaka milioni 20.

Je, serikali (Mwigulu) ameliona hili?

Au hawa viongozi wanataka kujimilikisha magari na mali za serikali kijanja?

Wakitoka kwenye magari watahamia kwenye majumba ya serikali.
Kwani kuna shida akikopeshwa hata magari 100 akitaka yeye? Si analipwa?

Yaani kwa akili zako kama za ccm unaona kujiuzia hayo magari ni hasara kuliko kuokoa bil.500?

Watu mna utapiamlo hadi wa akili.
 
Shida kubwa tunakosa viongozi wenye vision,tunapata viongozi wenye mission. Yaani sehemu kubwa ni namna ya wao kunufaika sio nchi,ndio maana wanawaza tozo tozo tuuu.
Serikali ina matumizi makubwa yasiyo na msingi kwenye uendeshaji wake, lakini hilo hawaoni ni namna gani wapunguze huo mzigo,wao wanaona walimbikize kodi zisizoeleweka.
Inashangaza tuna viongozi wanaongelea vita ya Ukraine/Russia ndio sababu ya changamoto ya uchumi nchini.
 
Habari!

Napenda tujibu swali hili kwa kutumia mfano huu.

Serikali au waziri Mchemba anapendekeza viongozi wakopeshwe magari badala ya njia ya sasa ambapo kiongozi hulikuta gari ofisini au hununuliwa jipya pindi anaposhika wadhifa fulani na kuliacha pale anapostaafu, kufa, kuhama, kufukuzwa au kupandishwa nyadhifa.

Binafsi naona hili haliko sawa,
Kwa mfano kiongozi amekopeshwa Land cruiser Prado TX , baadaye akapanda nyadhifa ambayo atapaswa kutumia Land cruiser V8, je atakopeshwa tena?

Ile ya awali itakwenda wapi?
Haya, je kiongozi akivuliwa uongozi kabla deni halijakwisha nani atalipia kiasi kitakachobaki?

Je, viongozi hawatatumia mwanya wa kufanya service na matengenezo hewa kupiga pesa, au matengenezo na service vitakuwa juu yake?

Ikumbukwe general service ya Toyota Land cruiser V8 pale Toyota si chini ya milioni 5
Na matengenezo ya gari hiyo sometimes yanafika mpaka milioni 20.

Je, serikali (Mwigulu) ameliona hili?

Au hawa viongozi wanataka kujimilikisha magari na mali za serikali kijanja?

Wakitoka kwenye magari watahamia kwenye majumba ya serikali.
Hapa lengo lao wanataka kuuzia magari kwa bei che mfano gari la milioni 400,000,000 atauziwa kwa milioni 20,000,000
 
Mkuu Sandali Ali naiona hoja kwenye mada yako, mimi nafikiri lengo la Waziri si baya ila kwa nukta yako pia lipo tatizo hasa kwenye demotion,promotion au death etc hawa wakubwa ni heri wange kuwa wanatumia SUV za kawaida ambazo cost yake sio kubwa kwani kuna ubaya gani wakitumia Kluger,fords au Subaru? Najaribu kuwaza tuu, wangeachana na haya magari expensive hususani kwa wale wakubwa ambao kazi zao hazihusiani na masafa marefu, but the rest wawe na gari za kawaida tuu.
 
Mkuu Sandali Ali naiona hoja kwenye mada yako, mimi nafikiri lengo la Waziri si baya ila kwa nukta yako pia lipo tatizo hasa kwenye demotion,promotion au death etc hawa wakubwa ni heri wange kuwa wanatumia SUV za kawaida ambazo cost yake sio kubwa kwani kuna ubaya gani wakitumia Kluger,fords au Subaru? Najaribu kuwaza tuu, wangeachana na haya magari expensive hususani kwa wale wakubwa ambao kazi zao hazihusiani na masafa marefu, but the rest wawe na gari za kawaida tuu.
Kweli kabisa.
Pia labda kuna harufu ya urasimu.
Mtu ameshapewa bilioni 4 na Toyota katia mfukoni ili ahamasishe serikali kununua magari mengi kwa lengo la kuwakopesha viongozi wake.
Taasisi zaidi ya 450, kila Taasisi ina mabosi zaid ya kumi.
450×10= 4500
Magari 4500 ni pesa ndefu sana
 
Kweli kabisa.
Pia labda kuna harufu ya urasimu.
Mtu ameshapewa bilioni 4 na Toyota katia mfukoni ili ahamasishe serikali kununua magari mengi kwa lengo la kuwakopesha viongozi wake.
Taasisi zaidi ya 450, kila Taasisi ina mabosi zaid ya kumi.
450×10= 4500
Magari 4500 ni pesa ndefu sana

Huwa naomba dua kama sio mimi basi atokee mtu ambaye hatakuwa na masikhara na fedha za umma, ila asiwe katiri na aheshimu demokrasia.

Watu wamekosa empathy hivi how do you feel unabeba mapesa huku watu wanashindwa ku afford kununua panadol kwakweli hapana aiseee inauma sana.
 
Sio uwezo mdogo, wanaumwa kabisa. Una Mabilioni na trilioni ya wizi banki halafu umezungukwa na maskini, njia ya kwenda kijijini, wilayani, mkoa moja hadi mwingine imetamalaki umaskini wa vitu hadi watu. Hayo mapesa mnayojikusanyia mnayatumiaga wapi?
 
Kwani kuna shida akikopeshwa hata magari 100 akitaka yeye? Si analipwa?

Yaani kwa akili zako kama za ccm unaona kujiuzia hayo magari ni hasara kuliko kuokoa bil.500?

Watu mna utapiamlo hadi wa akili.

Hakuna kitu kiongozi wa serikali anaweza kufanya service ya VX kwa mshahara wake boss. Hao watu waliofoji miaka waendelee kukaa kwenye ajira hawana jeuri hiyo.
 
Habari!

Napenda tujibu swali hili kwa kutumia mfano huu.

Serikali au waziri Mchemba anapendekeza viongozi wakopeshwe magari badala ya njia ya sasa ambapo kiongozi hulikuta gari ofisini au hununuliwa jipya pindi anaposhika wadhifa fulani na kuliacha pale anapostaafu, kufa, kuhama, kufukuzwa au kupandishwa nyadhifa.

Binafsi naona hili haliko sawa,
Kwa mfano kiongozi amekopeshwa Land cruiser Prado TX , baadaye akapanda nyadhifa ambayo atapaswa kutumia Land cruiser V8, je atakopeshwa tena?

Ile ya awali itakwenda wapi?
Haya, je kiongozi akivuliwa uongozi kabla deni halijakwisha nani atalipia kiasi kitakachobaki?

Je, viongozi hawatatumia mwanya wa kufanya service na matengenezo hewa kupiga pesa, au matengenezo na service vitakuwa juu yake?

Ikumbukwe general service ya Toyota Land cruiser V8 pale Toyota si chini ya milioni 5
Na matengenezo ya gari hiyo sometimes yanafika mpaka milioni 20.

Je, serikali (Mwigulu) ameliona hili?

Au hawa viongozi wanataka kujimilikisha magari na mali za serikali kijanja?

Wakitoka kwenye magari watahamia kwenye majumba ya serikali.
Watawala wanajua kuwa kwa Katiba hii nyie watawaliwa hamna cha kuwafanya,hivyo amueni kusuka ama kunyoa.
 
Hakuna kitu kiongozi wa serikali anaweza kufanya service ya VX kwa mshahara wake boss. Hao watu waliofoji miaka waendelee kukaa kwenye ajira hawana jeuri hiyo.
Magari ya Bei kubwa watayauza harafu watanunua economy class..Pili pesa ya mafuta,service na dereva watampa directly yeye ndio atakuja cha kufanya kwenye salary hiyo..
 
Back
Top Bottom