Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Hivi wewe Mohammad hakuwai kumuona malaika halafu kwanini asiwe na wasiwasi wakati ndio mara ya kwanza kumuona hata hili nalo kwako ni mada
 
Muhammad alikua mtu tu just like me and you. Hivi wewe ukitokewa na jambo kama hilo ungefanyaje? Muhammad hakujijua kama yeye ni Mtume na alikua bado hajapewa hata ayah moja ya Quran. Alipotokewa na Gabriel ndio ilikua ufunuo wake wa mwanzo.

Sent using my NOKIA torch
 

1. Utakapofika wakati wa kuonyesha kwamba Mungu yupo na kwamba kweli Yesu alishawahi kuwepo hapa duniani, ndipo tutamhukumu NYABHING, tena kwa mawazo yake ya wakati huo na sio wakati uliopita.Hatuwezi kukataa ukweli wa mtu yeyote kwa sababu tu huko nyuma alishawahi kusema upotoshaji.

2. Ukristu unatutaka kuutafuta ukweli.Na ndio maana pamoja na mijadala yote hii motomoto, bado wakristu na waislamu tunaishi kwa amani.Nina kijana Muislamu na ndiye anafanya designing ya vitabu vyangu juu ya Uislamu lakini bado hajanihukumu na wala mimi sijamhukumu.Tunakosoana katika fikara na mitizamo lakini utu wetu unasalia pale pale na kwamba lililo la msingi ni kuutafuta ukweli.
 
Ahahahaha mkuu mpaka sasa ujatoa maana ya ROBOT ili tujue lile ni robot au lah, sasa kipi tena utazungumza ueleweke wakati ata maana ya maneno yenyewe yanakupa tabu
 
Ahahahahahahaaahhaajaaja kwahiyo hapo ukubaliani nae kwavile kaugusa ukristo wako ,lakini kwa Mohammad mbio mbio kumpa pongezi mkuu tunakuangalia unavyotaabika
 

Nakushukuru kwamba umesema wewe mwenyewe kuwa Muhammad alikuwa mtu wa kawaida tu na wala hakuwa cha utume kwa sababu wote waliokuwa wanatokewa na malaika Gabrieli katika historia hawakuwahi kwenda kupata consultation toka yoyote bali Mungu mwenyewe ndiye alikuwa anajitokeza kusema fulani ameshampatia ,ufunuo. Kwa mfano ni Mama Bikra Maria.Huyu hakwenda kwa yeyote kuuliza kwamba hivi kweli manenon aliyoambiwa na Malaika Gabrieli yalikuwa yana maana gani.Pili,ni Zakaria, Abrahamu na Sara.
 
Hivi wewe Mohammad hakuwai kumuona malaika halafu kwanini asiwe na wasiwasi wakati ndio mara ya kwanza kumuona hata hili nalo kwako ni mada

Kwa hiyo, mjomba wa mke Khadija,kasisi Waraqahal, ndiye aliwahi kumuona malaika na hivi ndio maana Muhammad alienda huko ili kupata uthibitisho? Unawezaje kutaka uthibitisho wa namna Kenge toka kwa mtu ambaye naye hajawahi kumuona?
 
Zingatia maelezo yangu. Alikua mtu wa kawaida kabla hajapewa Utume. Kutoka kwa Muhammad na kwenda kuuliza hakunullify utume wake. Si sababu ya msingi......Quran inasema Ibrahim alipoambiwa jambo na Mwenyezimungu alimuomba ampe ayah (yaani ishara) hii haina maana Ibrah hakumuamini Mwenyezimungu. Kila Mtume alikua na namna yake.

Sent using my NOKIA torch
 
New International Version
the son of Amzi, the son of Bani, the son
of Shemer,
New American Standard Bible
the son of Amzi, the son of Bani, the son
of Shemer,
King James Bible
The son of Amzi, the son of Bani, the son
of Shamer,
Holman Christian Standard Bible
son of Amzi, son of Bani, son of Shemer,
International Standard Version
who had been fathered by Amzi, who
had been fathered by Bani, who had
been fathered by Shemer,
American Standard Version
the son of Amzi, the son of Bani, the son
of Shemer,
Douay-Rheims Bible
The son of Amasai, the son of Boni, the
son of Somer,
Darby Bible Translation
the son of Amzi, the son of Bani, the son
of Shemer,
Young's Literal Translation
son of Amzi, son of Bani, son of Shamer,
 
Mkuu umezungumzia ROBOT ebu tuambie ni kitu gani hili tujue lile sanamu la ndama ni ROBOT au lah mbona rahisi

Nimepuuza kukujibu kwa sababu kwa kiwango chako cha uelewa hukustahili kuuliza swali la kitoto kama hilo.Kama wewe unajiita Great Thinker na bado hujui maana ya Roboti, basi Uanazuoni wako wa kiislamu ungali bado na safari ndefu sana.
 

Sasa huoni tofauti bado kati ya Abrahamu na Muhammad? Abrahamu alikuwa anaomba aya toka kwa wanadamu au toka kwa Mungu? Je,Muhammad alienda kuomba confirmation ya utume wake toka kwa Mungu (aliyekuwa amemtuma Malaika Gabrieli) au toka kwa kasisi Waraqahal?
 
Write your reply...shamer maana yake mlinzi,ulinzi,imelindwa pia samaria ina maana hiyohiyo,kwahiyo wasamaria nii waisrael na walikuwepo tangu enzi za moses
 
Nimepuuza kukujibu kwa sababu kwa kiwango chako cha uelewa hukustahili kuuliza swali la kitoto kama hilo.Kama wewe unajiita Great Thinker na bado hujui maana ya Roboti, basi Uanazuoni wako wa kiislamu ungali bado na safari ndefu sana.
Ni kwasababu hujui maana ya ROBOT ndio maana unakimbia sisi watu wa ARTIFICIAL INTELLIGENCE tunajua ww umekariri na uwezi kutetea ulichokariri
 
Write your reply...mleta uzi pia kadanganya eti alietengeza sanamu kachota unyayo wa mtume,kwamba anashangaa mtume awezaje kuwepo kipindi cha moses,anaeongelewa hapo sio mohamed SAW,awezakua anamanisha moses,sasa kama hata mimi sikusomea dini naweza kuona uongo wa huyu mtu,hivi nyie mliosemea dini hamkuona?
 
Hivi umekisoma vizuri kile kisa?
Muhammad alishikwa na woga akawa anatetemeka mno.....ndo mkewe akamshauri twende huku tukapate ushauri. Kumbuka kasisi Waraqahal hakuwa anamkufuru Mungu kama nyie makafiri wa sasa mnavyofanya. Kuna tatizo gani kumfuata na kumuuliza mtu mwenye ufaham aliyekuwa akiabudu kwa ikhlasi? (Sio ibada yenu nyinyi ya kumfanya Yesu Mungu)

Sent using my NOKIA torch
 
Kwa hiyo, mjomba wa mke Khadija,kasisi Waraqahal, ndiye aliwahi kumuona malaika na hivi ndio maana Muhammad alienda huko ili kupata uthibitisho? Unawezaje kutaka uthibitisho wa namna Kenge toka kwa mtu ambaye naye hajawahi kumuona?
Hata asingemthibitisha hiyo aitengui kuwa Mohammad sio mtume ,kwasababu Waragahal hakumpa Mohammad utume ila mwenyezi Mungu kupitia Jibril kwahiyo sioni kama kuna hoja ya msingi hapo
 
Nafikir ata mwenyewe alijigundua ana matatizo ndio maana kaamia mapangoni kwenye utume sasa huku kwengine pagumu
 

1. Kwa hiyo, sasa taratibu munaanza kukubali kwamba Muhammad naye ana mkono wake katika uandishi wa Kurani! Kama Muhammad alihusika katika Compilation,ni kitu gani kinaondoa uwezekano wa yeye kuongeza maneno yake mwenyewe tofauti na yale aliyokuwa amempatia Mungu?

2. Nani ana uhakika na Fidelity ya Muhammad kwa asilimia 100% kwamba hakuweza kufanya manipulation yoyote katika Kurani? Je,ni nani atatoa uhakikisho kwamba idadi ya vitabu vilivyomo katika Kurani ndio idadi ambayo Muhammad alipewa na Mungu na kwamba yeye Muhammad hakupunguza au hakuongeza na vya kwake?

3. Je,mpaka Mungu ampe Muhammad kazi ya compilation ya Kurani ina maana Mungu hakuwa na uwezo wa kufanya hiyo compilation na kisha kumkabidhi Muhammad Kurani ikiwa tu imekamilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…