Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?


Asante sana mkuu kwa kunitakia matashi ya kuendelea kutumia Kitimoto.Hata Mtume Muhammad alikuwa anapendelea sana nyama ya Kondoo hadi wayahudi walipogundua hilo,wakaamua kumtumia mwana mama wa Kiyahudi kumumaliza kwa kumchinjia mtume Kondoo na kuipika vizuri na kisha kuipaka sumu na mtume akiisha kujiburudisha nayo ikamumaliza taratibu.Basi,acha tu na mimi Kitimoto, ikiwezekana kinimalize lakini sitakiacha.
 
Ndivyo ulivyofundishwa, sishangai. Hata kule jabal Hiraa mnafundishwa alitokewa na jini....hamuwezi kulingana kamwe.

Sent using my NOKIA torch
 

1. Kwa hiyo,sasa lawama munamtupia Mungu kwa kumpatia Muhammad mambo ambayo leo yanamfanya Muhammad apate lawama bure?

2. Lakini Muhammad anajivuaje lawama hizi? Mbona kule pangoni Hira, alipopewa kipondo na Malaika Jibrili kwa kuwa na "kichwa cha Nazi", alichukua hatua ya kwenda kuwauliza wakristu,kwa namna ya pekee, Kasisi Waraqahal,mjomba wake na Khadija,iwapo kweli yule aliyeshughulika kule pangoni, alikuwa malaika?

3. Ni kwa nini mtume hakuendelea na approach kama hiyo hasa pale alipokuwa anateremshiwa mambo mengine yaliyokuwa na ukakasi, kama hili la Roboti la Ndama anayeongea?
 
Ndivyo ulivyofundishwa, sishangai. Hata kule jabal Hiraa mnafundishwa alitokewa na jini....hamuwezi kulingana kamwe.

Sent using my NOKIA torch

Siyo, tunavyofundishwa bali ndivyo inavyosema "Postmoterm report" ya kifo chake mtume kwamba aliuawa kwa sumu.Kwani wewe unafahamu kifo cha Mtume kilitokana na nini?
 
Nimekuambia huna hoja za kustahili kujibiwa, sasa hizo lawama umezinukuu kutoka kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu huna hoja na inaonekana watu kama nyinyi Ndio mnaowaziba macho wenzenu wasione mbele.
Nasikitika uliponukuu agano la kale uliandika aya zote kama zilivyo
Chakushangaza... Uliponukuu Qur'an aya 85-96 umeishia kwenye kuwataja wasamaria tu na maneno yako ya mjazo
Ingependeza ikiwaungenukuu Qur'an aya zote 11 bila kuongeza wala kupunguza
Sisi waislamu Hua hatusomi kibubusa kama wewe. Rudi tena kaangalie zile aya vizuri kisha uje tena na hoja za robots.
85. Alisema (Mwenyezi Mungu), Basi
hapana shaka sisi hakika tumewafanyia
mtihani jamaa zako (kwa kuabudu
ndama ulipo ondoka) na kuwapoteza
wao Samiriy.
86. Basi alirudi Musa kwa jamaa zake
ilhali amekasirika mwenye huzuni nyingi.
Alisema enyi jamaa zangu, je
hakuwaahidi Mola wenu waadi mzuri
(kwa kuwateremshia Taurat) Jee!
Uliwapitia nyinyi muda mrefu (hata
mukausahau waadi) au mulitaka
iwafikie adhabu itokayo kwa Mola wenu
na mkaukhalifu waadi wangu.
Ungefanya kama hivyo ili tuone wapi Muhammad ametajwa na huo unyayo wake.

Acha kuzingua watu wameshindwa watu kweli kuchalenji juu ya Qur'an sembuse wewe. Quran sio biblia kama utafsiri utakavyo wewe na kugeuzageuza maneno.

Rudia tena uzi wako halafu ufanye km nilivyokuelekeza ili tuje na majibu ya maswali yako ambayo kimsingi yanaonesha wazi unachuki na Muhammad.

FIKIRI NDIPO UTENDE....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hapa umekosea....waislam hawategemei biblia kuthibitisha utume wa muhammad. Quran yenyewe inamueleza muhammad ni nani.

Sent using my NOKIA torch

Inaelekea Uislamu umeingia juzi juzi na hivi hata huelewi wanazuoni wa Kiislamu waliokubuhu katika Teolojia ya kiislamu, wanasema ni nini katika kuthibitisha utume wa Muhammad.
 

Wewe, mbona hujaweka hapa hiyo nukuu yote ili tuone kama haina aya ya Mtume kushikwa unyayo? Mimi sio mtu wa kutunga vitu visivyokuwepo.Ili kukata mzizi wa fitina nitaiweka hiyo nukuu nzima hapa.
 
Inaelekea Uislamu umeingia juzi juzi na hivi hata huelewi wanazuoni wa Kiislamu waliokubuhu katika Teolojia ya kiislamu, wanasema ni nini katika kuthibitisha utume wa Muhammad.
Im more than what u think bro

Sent using my NOKIA torch
 
Nimekuambia huna hoja za kustahili kujibiwa, sasa hizo lawama umezinukuu kutoka kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Lawama kwamba Muhammad hakuandika chochote, isipokuwa Mungu ndiye aliyefanya hivyo.Hivi ni kwa sababu Muhammad alifikiri Mungu haonekani kwa senses ndio kisa aliamua kumutwisha mzigo ili kukwepa maswali kama haya?
 
Wewe mpumbavu tu unayetafuta maarufu. Kuna mwenzio mgen mpaka leo hajafanikiwa lolote seuze wewe? Acheni upuuzi wenu.

Sent using my NOKIA torch

Ninakushaurini uendelee kuwa na bando tu.Bila shaka utaelewa baadaye kuna waislamu wanaona mantiki katika nyuzi hizi tofauti na wewe unavyochukulia posts hizi.
 
Huyu mtu si wa kumjibu kwasababu ni mjinga. Kama angelikuwa anasema kweli hiyo aya ya Quran aliyoirejea ange paste hapo kwenye bandiko lake kama alivyopaste aya za biblia. Kimsingi huyu mtu ana hofu kubwa kuwa kumekuwepo wimbi kubwa la watu wa dini mbalimbali kuupokea uislam, kwa hivyo anawapotosha hao wasioujua uislam ili wasiupokee. Infact yeye si wa kwanza na wala hatakuwa wa mwisho kuwa mpotoshaji kwani wamekuwepo enzi na enzi wapotoshaji kama yeye. Ni vema kusimamia haki kuliko kupotosha, mchamungu yeyote husimamia ukweli hata kama aliyembele yake ni adui yake hawezi shuhudia uongo juu yake. Mtu huyu anashuhudia uongo waziwazi kwasababu tu ana uadui na uislam, Hana taaluma yoyote ya dini bali ni mshabiki wa dini aliyejazwa ujinga wa vijiweni

Kiuhalisia biblia kamwe haiwezi kuithibitisha quran, quran inajisimamia yenyewe, inaeleza mengi ambayo kwenye biblia hayapokabisa au mengine yametofautiana. Quran inaeleza kuwa Ismail ndio aliyetakiwa kutolewa Sadaka lkn biblia inasema Isihaka ndiye aliyetakiwa, Quran inasema yesu si MUNGU biblia imeng'ang'ania yesu ni MUNGU! Hivi ni vitabu viwili tofauti kabisa na kamwe kimoja hakiwezi kuwa rejea ya kingine. Quran inajisimamia yenyewe na ina visa vingi ambavyo kwenye biblia havimo kabisa.

Tumuepuke mpotoshaji huyu asiyejua dini na imani maana yake nini na nini tofauti yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa za sanamu zinazo abudiwa kama miungu zimetajwa katika Biblia. Sasa hapa ni dhahiri huyu mtume Muhamad SAW hakuielewa hata hiyo taurati ya Mussa ndio maana akatoka na uongo.

Lakini ukisoma Biblia kuna mahali Bwana Yesu alisema yeye alikuwepo hata kabla ya huyo Ibrahimu kuwepo.

Ndiposa Muhamad SAW akataka kugeza hii kauli. Lazima kujua kuwa mungu ndama ni shetani aliye kuwa akiabudiwa kule misri na wana waisrael walijifunza hivyo wakiwa hapo utumwani. Hivyo kumuomba Haruni awatengenezee libaali la ndama hawakukosea ni kitu walicho kijua.

So Muhamad SAW na yeye alitaka kuonesha kuwa alikuwepo kabla ya mungu ndama/sanamu la shetani kutengenezwa na wana wa Israel. Lakini akamisi pointi muhimu kuwa kwenye taurati ya Musa Mwenyezi Mungu alisha sema sifa za miungu masanamu/mabaali. Moja wapo ikiwa kuwa yana vinywa lakini hayaongei.
 
1. Kwa hiyo,kwa kuwa Ismaili(Ishamaeli) ndiye aliyetakiwa kutolewa sadaka,kwa hiyo yeye ndiye aliyempa Muhammad habari za Roboti wa Ndama kuundwa na msamaria?

2. Kurani imekuja miaka 500 baada ya Biblia,je inakuwaje Kurani ndio iwe inasema ukweli katika kile inachokisema Biblia na kwa ushahidi gani hasa?Ni kwa ushahidi tu wa kule pangoni tu? Na kama ni kwa ushahidi huo tu, ni kwa nini hata Muhammad mwenyewe hakuuamini ushahidi huo hadi akaenda kwa mjomba wake,Khadija,Mchungaji wa Ki-nestorian, ku-clear doubt? Je,katika mazingira kama hayo. ina maana Muhammad alikuwa anamuamini zaidi mchungaji Waraqahal kuliko malaika Jibrili aliyekuwa ametumwa na Mungu kwake?
 
Kwa hakika wewe ndiye umesema kubainisha kitu ambacho maswali yangu yanakifunua juu ya tabia ya Muhammad.Tabia hii Muhammad ameionyesha sana katika Kurani na ndio maana mara nyingi sana alidai kuwa yeye hakuwa na tofauti yoyote na Yesu.Kwa kauli kama hiyo, baadaye wakristu walimbana kwamba kama Yeye hakuwa na tofauti yoyote ile na Yesu, basi afanye hata angalau muujiza mmoja kama alivyofanya Yesu.Katika hilo,sote tunafahamu Kurani inasemaje kama kweli Muhammad aliweza kufanya muujiza au alitoa longolongo tu.

Katika mijadala ijayo tutaonyesha jinsi Muhammad alivyokuwa ana-edit maneno ya Yesu na kuyatia katika Kurani.
 


Kwa hakika wewe ndiye umesema kubainisha kitu ambacho maswali yangu yanakifunua juu ya tabia ya Muhammad.Tabia hii Muhammad ameionyesha sana katika Kurani na ndio maana mara nyingi sana alidai kuwa yeye hakuwa na tofauti yoyote na Yesu.Kwa kauli kama hiyo, baadaye wakristu walimbana kwamba kama Yeye hakuwa na tofauti yoyote ile na Yesu, basi afanye hata angalau muujiza mmoja kama alivyofanya Yesu.Katika hilo,sote tunafahamu Kurani inasemaje kama kweli Muhammad aliweza kufanya muujiza au alitoa longolongo tu.

Katika mijadala ijayo tutaonyesha jinsi Muhammad alivyokuwa ana-edit maneno ya Yesu na kuyatia katika Kurani.
 

1. Kwa hiyo,kwa kuwa Ismaili(Ishamaeli) ndiye aliyetakiwa kutolewa sadaka,kwa hiyo yeye ndiye aliyempa Muhammad habari za Roboti wa Ndama kuundwa na msamaria?

2. Kurani imekuja miaka 500 baada ya Biblia,je inakuwaje Kurani ndio iwe inasema ukweli katika kile inachokisema Biblia na kwa ushahidi gani hasa?Ni kwa ushahidi tu wa kule pangoni tu? Na kama ni kwa ushahidi huo tu, ni kwa nini hata Muhammad mwenyewe hakuuamini ushahidi huo hadi akaenda kwa mjomba wake,Khadija,Mchungaji wa Ki-nestorian, ku-clear doubt? Je,katika mazingira kama hayo. ina maana Muhammad alikuwa anamuamini zaidi mchungaji Waraqahal kuliko malaika Jibrili aliyekuwa ametumwa na Mungu kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…