Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani TISS wawepo kwenye vijiwe vya kahawa halafu wakose TFF?Ligi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?
Kama kweny mabenki wapo TFF watakosajeLigi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?
Uzi wako bhana ,hakuna idara ,Tasisi ,mahirika ya serikali au binafsi ,kila mahali wapo ,jibu =TFF wapoLigi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?
kiusalama ni nyeti sanaInamaana tff ni nyeti kuliko sekta ya fedha mkuu be serious.
Yule kama ni TISS hahahahaYule mwanasheria shahidi kwenye ile kampuni inasadikiwa ni tiss! Itakosekana hapo tff kweli?
Kabla sijakujibu naomba tuwekane Sawa ,TFF maana yake ni majumuisho ya vilabu vyote vya mpira?Mkuu hebu fafanua tff inakuwaje nyeti kuliko sekta ya benk nchini.
Kwa kuwepo tuu... Wapo...! Hilo halina ubishi.. Mwenge hauruki kijijiLigi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?
TFF ambayo inajumuisha virabu vyote vya mpira ni rahisi MTU kupenyezwa kuliko katika mabenki mfano jiulizi ukimkuta kocha,au mchezaji ni mchina au muarabu utaona ni kawaida lakini Leo hii unaenda Benki yeyote unamkuta manager au taller ni mchina razima uumize kichwa na uweke dout,huo NI mfanoSawa endelea
mbona katika kila vilabu vikubwa unavyojua wewe kuna wachezaji n ma informer.Ligi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?
Mbona hujamaliziambona katika kila vilabu vikubwa unavyojua wewe kuna wachezaji n ma informer.
Tff kuna maofisa kabisa ambao binafsi NAWAFAHAMU
wapo wa kutosha, kwenye vijiwe vya kahawa wawepo halafu wasiwepo kwenye taasisi kubwa kama hiyo? TISS Wapo kila mahali kuhakikisha nchi ipo salamaLigi ya Tanzania imeshakuwa kubwa Sasa inapesa na Ina watu wa kutoka mataifa mbalimbali swali langu ni je serikali yetu Ina moles wake mule tff? Je maslahi ya nchi ndani ya ligi tajiri afrika mashariki na Kati Nani anayalinda?