Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Habari za Sasa hivi wakuu?
Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.
ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria
Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game of thrones
Sikumbuki vizuli kwasababu Sina tabia ya kuludia ludia kutazama picha niliyo kwisha kuitazama kabla
lakini Nina Imani jf hapakosi watu walio weza kuki tazama kile kipande tutankumbushana tafadhali nduguzangu
Nimegusia kipande sio picha nzima kwasababu wakati ule naitazama Ile picha kipande kile ndicho kilicho Nipa wakati wa kiufikiri zaidi
Na Katika kupitia na kuki fuatilia vizuli kipande kilekile nikaja kukutana na vitu ambacho vikani fanya nianze kuamini kile ambacho nimekuwa sikiamini kwa mda mlefu
Sasa kipande chenyewe ni hiki
Kuna sehemu kwenye Ile picha inazungumzia kuhusu ujio wa majira ya balidi Kali na yenye barafu
Naujio wa majira hayo huja na viumbe wanao ambatana na na baridi Kali ya barafu
Viumbe hao miili yao nikama barafu na miili yao nimifupa mitupu
Na mionekano yao nikama wafu walio fufuka lakini wanatokea kule kwenye barafu nzito na baridi Kali ya barafu inako tokea"
Kwenye picha hiyo kutokana na kuwapo na Imani kwamba viumbe hao huwa Wana vamia makaazi ya watu waliopo maeneo kalibu na maeneo yao
Basi serikali ilizungushia ukuta mkubwa kuzuia viumbe hao kuvunja na kuja waliko bina damu/ulimwengu wao
Saa nikajiuliza maswali haya...
kwamba Kama hii ni picha inayo husiana na history ya kweli ya watu wa huko ulaya
kwanini wali weka kile kipande kwenye Ile picha?
Na Kama picha ime kaa kihistoria je nikweli kulikuwepo na viumbe hao kule kwenye barafu?
Je! Nieneo gani hasa la barafu lililo zungumziwa kwenye picha hiyo?
Nahao viumbe watokao kwenye barafu walikuwepo kweli?
Nakama walikuwepo kweli walikuwa wanatokea sehemu gani huko nyuma ya barafau ambako ndiyo mwisho wa dunia?
Sasa baada ya kujiuliza maswali hayo kwa mda mlefu na kuanza kuta futa tafuta ndipo Nika kutana na Jambo la kushangaza kidogo Kama sio sana
Jambo lenyewe nikwamba
Kwanza dunia yetu nikama shinia sio tufe Tena
Na pia imezungukwa na barafu Kama ukuta pembezoni mwa shinia barafu hizo ndizi zilizo shikilia maji/bahari
yasi mwagike na pia kati kati ya barafu hizo/ndani ya shinia ndipo kulipo na bahari, oceans visiwa/islands,mabara/continent's na humo ndimo tunamo ishi sisi.
Hebu tazama mcholo hapo chin
👇👇

Huo mzingo wa Kwanza sawa na hapa tulipo sisi
👇👇

View attachment 3131584
Sasa kwenye huo mduara wa Kwanza ndipo ulipo ulimwengu wetu Mimi nawewe unaye Soma hapa
Na ukiangalia vizuli utaona Kuna ma bara yote saba hapo kuanzia Africa,Asia, nk
Na huo mduara mweupe ndiyo ule ukuta wa barafu unao yazunguka maji yetu/bahari zetu pamoja na mabara yetu tazama hapa👇👇
ambapo ni hapa
👇👇
Lakini ukiangalia vizuli Tena utaona Kuna mduara wa pili wa barafu nje ya ulimwengu wetu mduara wa Kwanza
Ambao ndiyo huo hapo juu
Lakini wa pili/ulimwengu wa pili ni huu hapa
👇👇
Ukitaka kwenye mduara wa Kwanza utaona mduala wa pili/ulimwengu wa pili nao utaona una bahari,visiwa na mabara yake
Lakini Tena Kuna ulimwengu wa tatu huu hapa👇👇
kwahiyo mduara wa Kwanza kwa ndani ndipo tulipo sisi
Na mduara wa pili kwa ndani ni ulimwengu mwingine
Na nje ya mduara wa pili pia ni ulimwengu mwingine
Sasa Kuna habari kwamba huko ndiko wanako ishi viumbe wengine
Wenye akili na ufahamu wa Hali ya juu/high technologies
Lakini pia Wana sema huko Kuna dragon's dinosaurs,na viumbe wengine walio toweka au kuonekana kwa nadra duniani
Na Kuna habari kwamba Kuna wazungu wanaingia huko nakuludi huku na ujuzi wa kutosha
Sasa ningeomba kujua kiundani kuhusu hili hasa kwa wajuzi wa Mambo haya ilinkwa pamoja tuambukizane maarifa ya dunia yetu
Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.
ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria
Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game of thrones
Sikumbuki vizuli kwasababu Sina tabia ya kuludia ludia kutazama picha niliyo kwisha kuitazama kabla
lakini Nina Imani jf hapakosi watu walio weza kuki tazama kile kipande tutankumbushana tafadhali nduguzangu
Nimegusia kipande sio picha nzima kwasababu wakati ule naitazama Ile picha kipande kile ndicho kilicho Nipa wakati wa kiufikiri zaidi
Na Katika kupitia na kuki fuatilia vizuli kipande kilekile nikaja kukutana na vitu ambacho vikani fanya nianze kuamini kile ambacho nimekuwa sikiamini kwa mda mlefu
Sasa kipande chenyewe ni hiki
Kuna sehemu kwenye Ile picha inazungumzia kuhusu ujio wa majira ya balidi Kali na yenye barafu
Naujio wa majira hayo huja na viumbe wanao ambatana na na baridi Kali ya barafu
Viumbe hao miili yao nikama barafu na miili yao nimifupa mitupu
Na mionekano yao nikama wafu walio fufuka lakini wanatokea kule kwenye barafu nzito na baridi Kali ya barafu inako tokea"
Kwenye picha hiyo kutokana na kuwapo na Imani kwamba viumbe hao huwa Wana vamia makaazi ya watu waliopo maeneo kalibu na maeneo yao
Basi serikali ilizungushia ukuta mkubwa kuzuia viumbe hao kuvunja na kuja waliko bina damu/ulimwengu wao
Saa nikajiuliza maswali haya...
kwamba Kama hii ni picha inayo husiana na history ya kweli ya watu wa huko ulaya
kwanini wali weka kile kipande kwenye Ile picha?
Na Kama picha ime kaa kihistoria je nikweli kulikuwepo na viumbe hao kule kwenye barafu?
Je! Nieneo gani hasa la barafu lililo zungumziwa kwenye picha hiyo?
Nahao viumbe watokao kwenye barafu walikuwepo kweli?
Nakama walikuwepo kweli walikuwa wanatokea sehemu gani huko nyuma ya barafau ambako ndiyo mwisho wa dunia?
Sasa baada ya kujiuliza maswali hayo kwa mda mlefu na kuanza kuta futa tafuta ndipo Nika kutana na Jambo la kushangaza kidogo Kama sio sana
Jambo lenyewe nikwamba
Kwanza dunia yetu nikama shinia sio tufe Tena
Na pia imezungukwa na barafu Kama ukuta pembezoni mwa shinia barafu hizo ndizi zilizo shikilia maji/bahari
yasi mwagike na pia kati kati ya barafu hizo/ndani ya shinia ndipo kulipo na bahari, oceans visiwa/islands,mabara/continent's na humo ndimo tunamo ishi sisi.
Hebu tazama mcholo hapo chin
👇👇

Huo mzingo wa Kwanza sawa na hapa tulipo sisi
👇👇

View attachment 3131584
Sasa kwenye huo mduara wa Kwanza ndipo ulipo ulimwengu wetu Mimi nawewe unaye Soma hapa
Na ukiangalia vizuli utaona Kuna ma bara yote saba hapo kuanzia Africa,Asia, nk
Na huo mduara mweupe ndiyo ule ukuta wa barafu unao yazunguka maji yetu/bahari zetu pamoja na mabara yetu tazama hapa👇👇
👇👇
Lakini ukiangalia vizuli Tena utaona Kuna mduara wa pili wa barafu nje ya ulimwengu wetu mduara wa Kwanza
Ambao ndiyo huo hapo juu
Lakini wa pili/ulimwengu wa pili ni huu hapa
👇👇
Ukitaka kwenye mduara wa Kwanza utaona mduala wa pili/ulimwengu wa pili nao utaona una bahari,visiwa na mabara yake
Lakini Tena Kuna ulimwengu wa tatu huu hapa👇👇
Na mduara wa pili kwa ndani ni ulimwengu mwingine
Na nje ya mduara wa pili pia ni ulimwengu mwingine
Sasa Kuna habari kwamba huko ndiko wanako ishi viumbe wengine
Wenye akili na ufahamu wa Hali ya juu/high technologies
Lakini pia Wana sema huko Kuna dragon's dinosaurs,na viumbe wengine walio toweka au kuonekana kwa nadra duniani
Na Kuna habari kwamba Kuna wazungu wanaingia huko nakuludi huku na ujuzi wa kutosha
Sasa ningeomba kujua kiundani kuhusu hili hasa kwa wajuzi wa Mambo haya ilinkwa pamoja tuambukizane maarifa ya dunia yetu
