Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Wewe toka hapo kwenye tv.. zinakupumbaza
Tulia wewe
Hakuna kitu kama hicho ingekuwa hivyo basi hata wale dragons ingekuwa kweli pia, mother of dragons angekuwa kweli pia, the night walkers ingekuwa kweli. Ile ni fiction movie iliyotokana na vitabu vya George R. R. Martin, song of ice and fire.
Kitu ambacho mpaka leo sielewi, ni kwanini watu wanaamini nchi zote ambazo zimefanikiwa kurusha vyombo anga za juu tena ni mahasimu mfano, China, India, US, EU, N.Korea, Japan, na vinchi vingine vyote washirikiane kukudanganya wewe kuwa the world is flat kwa faida gani.
Na kwanini iwe tu dunia halafu sayari zilizobaki zote wakubali kuwa ni mviringo?
Itani chukua mda Sana kuku elewesha unielewe kuhusu hili Ila kwa kifupi nikwamba Mambo haya yapo Tena mengi Sana

Unaweza kuingia YouTube Kisha ukaandika yakaja na ukashuhudia jinsi tulivyo danganywa

Kwahiyo nikushauli nenda huko ukajionee

Andika hivi... what is going on behind Antarctica ice wall?

Utakutana nayo

Huko utawaona Russia kwenye tafiti zao huko

Utaona Ice wall kwamba imeizunguka dunia nzima

Lakini pia utaona shahidi nyinging kuhusiana na dunia kuwa tambalale mkuu
 
Kwani mkuu, Watu wakijua siri kuwa Dunia ni Tambarare watafaidika na nini ambacho hawakipati sasa hivi kwa kuambiwa ni duara?
Wata taka kujua tambalale imeishia wapi na huko watavumbua Mambo yasiyo julikana ambyo hayo hayo ndiyo msingi wa nguvu walizo nazo wenye nguvu

Wanao itawala dunia
 
Habari za Sasa hivi wakuu?

Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.

ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria

Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game of thrones

Sikumbuki vizuli kwasababu Sina tabia ya kuludia ludia kutazama picha niliyo kwisha kuitazama kabla

lakini Nina Imani jf hapakosi watu walio weza kuki tazama kile kipande tutankumbushana tafadhali nduguzangu

Nimegusia kipande sio picha nzima kwasababu wakati ule naitazama Ile picha kipande kile ndicho kilicho Nipa wakati wa kiufikiri zaidi

Na Katika kupitia na kuki fuatilia vizuli kipande kilekile nikaja kukutana na vitu ambacho vikani fanya nianze kuamini kile ambacho nimekuwa sikiamini kwa mda mlefu

Sasa kipande chenyewe ni hiki

Kuna sehemu kwenye Ile picha inazungumzia kuhusu ujio wa majira ya balidi Kali na yenye barafu

Naujio wa majira hayo huja na viumbe wanao ambatana na na baridi Kali ya barafu

Viumbe hao miili yao nikama barafu na miili yao nimifupa mitupu

Na mionekano yao nikama wafu walio fufuka lakini wanatokea kule kwenye barafu nzito na baridi Kali ya barafu inako tokea"

Kwenye picha hiyo kutokana na kuwapo na Imani kwamba viumbe hao huwa Wana vamia makaazi ya watu waliopo maeneo kalibu na maeneo yao

Basi serikali ilizungushia ukuta mkubwa kuzuia viumbe hao kuvunja na kuja waliko bina damu/ulimwengu wao

Saa nikajiuliza maswali haya...
kwamba Kama hii ni picha inayo husiana na history ya kweli ya watu wa huko ulaya

kwanini wali weka kile kipande kwenye Ile picha?

Na Kama picha ime kaa kihistoria je nikweli kulikuwepo na viumbe hao kule kwenye barafu?

Je! Nieneo gani hasa la barafu lililo zungumziwa kwenye picha hiyo?

Nahao viumbe watokao kwenye barafu walikuwepo kweli?

Nakama walikuwepo kweli walikuwa wanatokea sehemu gani huko nyuma ya barafau ambako ndiyo mwisho wa dunia?

Sasa baada ya kujiuliza maswali hayo kwa mda mlefu na kuanza kuta futa tafuta ndipo Nika kutana na Jambo la kushangaza kidogo Kama sio sana

Jambo lenyewe nikwamba

Kwanza dunia yetu nikama shinia sio tufe Tena

Na pia imezungukwa na barafu Kama ukuta pembezoni mwa shinia barafu hizo ndizi zilizo shikilia maji/bahari

yasi mwagike na pia kati kati ya barafu hizo/ndani ya shinia ndipo kulipo na bahari, oceans visiwa/islands,mabara/continent's na humo ndimo tunamo ishi sisi.

Hebu tazama mcholo hapo chin
👇👇
View attachment 3131661

Huo mzingo wa Kwanza sawa na hapa tulipo sisi
👇👇
View attachment 3131610
View attachment 3131584
Sasa kwenye huo mduara wa Kwanza ndipo ulipo ulimwengu wetu Mimi nawewe unaye Soma hapa

Na ukiangalia vizuli utaona Kuna ma bara yote saba hapo kuanzia Africa,Asia, nk
Na huo mduara mweupe ndiyo ule ukuta wa barafu unao yazunguka maji yetu/bahari zetu pamoja na mabara yetu tazama hapa👇👇
View attachment 3131644ambapo ni hapa
👇👇
View attachment 3131646

Lakini ukiangalia vizuli Tena utaona Kuna mduara wa pili wa barafu nje ya ulimwengu wetu mduara wa Kwanza
Ambao ndiyo huo hapo juu

Lakini wa pili/ulimwengu wa pili ni huu hapa
👇👇
View attachment 3131650
Ukitaka kwenye mduara wa Kwanza utaona mduala wa pili/ulimwengu wa pili nao utaona una bahari,visiwa na mabara yake

Lakini Tena Kuna ulimwengu wa tatu huu hapa👇👇
View attachment 3131651kwahiyo mduara wa Kwanza kwa ndani ndipo tulipo sisi

Na mduara wa pili kwa ndani ni ulimwengu mwingine

Na nje ya mduara wa pili pia ni ulimwengu mwingine

Sasa Kuna habari kwamba huko ndiko wanako ishi viumbe wengine

Wenye akili na ufahamu wa Hali ya juu/high technologies

Lakini pia Wana sema huko Kuna dragon's dinosaurs,na viumbe wengine walio toweka au kuonekana kwa nadra duniani

Na Kuna habari kwamba Kuna wazungu wanaingia huko nakuludi huku na ujuzi wa kutosha

Sasa ningeomba kujua kiundani kuhusu hili hasa kwa wajuzi wa Mambo haya ilinkwa pamoja tuambukizane maarifa ya dunia yetu
" I watched the movie but missed the context"

👆🏻👆🏻 literally you my guy 😂😂😂
 
Tulia wewe

Itani chukua mda Sana kuku elewesha unielewe kuhusu hili Ila kwa kifupi nikwamba Mambo haya yapo Tena mengi Sana

Unaweza kuingia YouTube Kisha ukaandika yakaja na ukashuhudia jinsi tulivyo danganywa

Kwahiyo nikushauli nenda huko ukajionee

Andika hivi... what is going on behind Antarctica ice wall?

Utakutana nayo

Huko utawaona Russia kwenye tafiti zao huko

Utaona Ice wall kwamba imeizunguka dunia nzima

Lakini pia utaona shahidi nyinging kuhusiana na dunia kuwa tambalale mkuu
Youtube is full of crap hata wewe unaweza ukatengeneza video ukaweka hivyo ni kutumia akili. kwani wewe hujawahi kukutana na video youtube eti mtu anatmia wembe kutengeneza mtambo wa kunasa internet ya bure.
 
Habari za Sasa hivi wakuu?

Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.

ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria

Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game of thrones

Sikumbuki vizuli kwasababu Sina tabia ya kuludia ludia kutazama picha niliyo kwisha kuitazama kabla

lakini Nina Imani jf hapakosi watu walio weza kuki tazama kile kipande tutankumbushana tafadhali nduguzangu

Nimegusia kipande sio picha nzima kwasababu wakati ule naitazama Ile picha kipande kile ndicho kilicho Nipa wakati wa kiufikiri zaidi

Na Katika kupitia na kuki fuatilia vizuli kipande kilekile nikaja kukutana na vitu ambacho vikani fanya nianze kuamini kile ambacho nimekuwa sikiamini kwa mda mlefu

Sasa kipande chenyewe ni hiki

Kuna sehemu kwenye Ile picha inazungumzia kuhusu ujio wa majira ya balidi Kali na yenye barafu

Naujio wa majira hayo huja na viumbe wanao ambatana na na baridi Kali ya barafu

Viumbe hao miili yao nikama barafu na miili yao nimifupa mitupu

Na mionekano yao nikama wafu walio fufuka lakini wanatokea kule kwenye barafu nzito na baridi Kali ya barafu inako tokea"

Kwenye picha hiyo kutokana na kuwapo na Imani kwamba viumbe hao huwa Wana vamia makaazi ya watu waliopo maeneo kalibu na maeneo yao

Basi serikali ilizungushia ukuta mkubwa kuzuia viumbe hao kuvunja na kuja waliko bina damu/ulimwengu wao

Saa nikajiuliza maswali haya...
kwamba Kama hii ni picha inayo husiana na history ya kweli ya watu wa huko ulaya

kwanini wali weka kile kipande kwenye Ile picha?

Na Kama picha ime kaa kihistoria je nikweli kulikuwepo na viumbe hao kule kwenye barafu?

Je! Nieneo gani hasa la barafu lililo zungumziwa kwenye picha hiyo?

Nahao viumbe watokao kwenye barafu walikuwepo kweli?

Nakama walikuwepo kweli walikuwa wanatokea sehemu gani huko nyuma ya barafau ambako ndiyo mwisho wa dunia?

Sasa baada ya kujiuliza maswali hayo kwa mda mlefu na kuanza kuta futa tafuta ndipo Nika kutana na Jambo la kushangaza kidogo Kama sio sana

Jambo lenyewe nikwamba

Kwanza dunia yetu nikama shinia sio tufe Tena

Na pia imezungukwa na barafu Kama ukuta pembezoni mwa shinia barafu hizo ndizi zilizo shikilia maji/bahari

yasi mwagike na pia kati kati ya barafu hizo/ndani ya shinia ndipo kulipo na bahari, oceans visiwa/islands,mabara/continent's na humo ndimo tunamo ishi sisi.

Hebu tazama mcholo hapo chin
👇👇
View attachment 3131661

Huo mzingo wa Kwanza sawa na hapa tulipo sisi
👇👇
View attachment 3131610
View attachment 3131584
Sasa kwenye huo mduara wa Kwanza ndipo ulipo ulimwengu wetu Mimi nawewe unaye Soma hapa

Na ukiangalia vizuli utaona Kuna ma bara yote saba hapo kuanzia Africa,Asia, nk
Na huo mduara mweupe ndiyo ule ukuta wa barafu unao yazunguka maji yetu/bahari zetu pamoja na mabara yetu tazama hapa👇👇
View attachment 3131644ambapo ni hapa
👇👇
View attachment 3131646

Lakini ukiangalia vizuli Tena utaona Kuna mduara wa pili wa barafu nje ya ulimwengu wetu mduara wa Kwanza
Ambao ndiyo huo hapo juu

Lakini wa pili/ulimwengu wa pili ni huu hapa
👇👇
View attachment 3131650
Ukitaka kwenye mduara wa Kwanza utaona mduala wa pili/ulimwengu wa pili nao utaona una bahari,visiwa na mabara yake

Lakini Tena Kuna ulimwengu wa tatu huu hapa👇👇
View attachment 3131651kwahiyo mduara wa Kwanza kwa ndani ndipo tulipo sisi

Na mduara wa pili kwa ndani ni ulimwengu mwingine

Na nje ya mduara wa pili pia ni ulimwengu mwingine

Sasa Kuna habari kwamba huko ndiko wanako ishi viumbe wengine

Wenye akili na ufahamu wa Hali ya juu/high technologies

Lakini pia Wana sema huko Kuna dragon's dinosaurs,na viumbe wengine walio toweka au kuonekana kwa nadra duniani

Na Kuna habari kwamba Kuna wazungu wanaingia huko nakuludi huku na ujuzi wa kutosha

Sasa ningeomba kujua kiundani kuhusu hili hasa kwa wajuzi wa Mambo haya ilinkwa pamoja tuambukizane maarifa ya dunia yetu
Imani ya kuwa dunia yetu ni kama sinia ilikuwepo kwa mababu zetu zamani. Hata mwana sayansi alie gundua kuwa dunia ni mviringo aliua na viongozi wa dini. Uigizaji wa sinema kwa sasa unaweza kutengenezewa picha au taswira yoyote tena kwa gharama ndogo. Kwa taarifa yako kama umeiona sinema ya Titanic, yote yale yaliigiziwa kwenye bwawa.
 
Imani ya kuwa dunia yetu ni kama sinia ilikuwepo kwa mababu zetu zamani. Hata mwana sayansi alie gundua kuwa dunia ni mviringo aliua na viongozi wa dini. Uigizaji wa sinema kwa sasa unaweza kutengenezewa picha au taswira yoyote tena kwa gharama ndogo. Kwa taarifa yako kama umeiona sinema ya Titanic, yote yale yaliigiziwa kwenye bwawa.
Tafuta kitabu kinaitwa...
Terra infinita
 
Youtube is full of crap hata wewe unaweza ukatengeneza video ukaweka hivyo ni kutumia akili. kwani wewe hujawahi kukutana na video youtube eti mtu anatmia wembe kutengeneza mtambo wa kunasa internet ya bure.
Nikweli lakini sio vds zote niza namna hiyo mkuu Kuna video za ukweli ambazo ukizi fanyia kazi zitakupa ukweli

Wewe jalibu kufanya nilivyo kuambia ufanye mkuu
 
Sijawahi kuiona ila nitaicheck , ila nakumbuka niliona movie moja nahis ni mwaka 2023 , inaitwa ''What happened to Monday''

Ukiifuaatilia hii movie utaona agenda yao ya kupunguza watu hasa wakitafuta wale mapacha saba wa kike ambao marehemu babu yao alikuwa anawaficha , kuna mmoja alitoroka akaenda kucheza nje , aliporudi akawa amepata jeraha kweny kidole yaani kimekatika ...Basi yule babu yao akawakata wale wengine wote ili vidole kama mwenzao ili wafanane .

Walipewa majina ya Siku saba yaani Monday to Friday , mtu atatoka nje kwa siku yake kulingana na jina wakati wale wengine wamejificha ...Pia wanatumia bracelet moja kama utambulisho wao , kingine niliona watu wanascan bracelet zao ili kuwatambua , watu wanaishi kweny mazingira kama yako kama kijiji fulani yaani ukiingia na kutoka kuna geti la walinzi , kuna sehemu alienda kununua kitu kama nyama hivi basi alilipa kutumia bracelet yaani full cashless .

Kuna kipengele niliona mother mmoja anaomba kura ila kuna bango limeandikwa ''2073'' kitu kama hicho , aisee jamaa wako mbele ya muda ile movie ...Mbaya zaidi kuna project ya kuua watu kabisa kama waliozaliwa macha ili kupunguza idadi ya watu .


Hizi movie ukutulia kuna movie sio kuangalia ngumi tu .​
 
Sijawahi kuiona ila nitaicheck , ila nakumbuka niliona movie moja nahis ni mwaka 2023 , inaitwa ''What happened to Monday''

Ukiifuaatilia hii movie utaona agenda yao ya kupunguza watu hasa wakitafuta wale mapacha saba wa kike ambao marehemu babu yao alikuwa anawaficha , kuna mmoja alitoroka akaenda kucheza nje , aliporudi akawa amepata jeraha kweny kidole yaani kimekatika ...Basi yule babu yao akawakata wale wengine wote ili vidole kama mwenzao ili wafanane .

Walipewa majina ya Siku saba yaani Monday to Friday , mtu atatoka nje kwa siku yake kulingana na jina wakati wale wengine wamejificha ...Pia wanatumia bracelet moja kama utambulisho wao , kingine niliona watu wanascan bracelet zao ili kuwatambua , watu wanaishi kweny mazingira kama yako kama kijiji fulani yaani ukiingia na kutoka kuna geti la walinzi , kuna sehemu alienda kununua kitu kama nyama hivi basi alilipa kutumia bracelet yaani full cashless .

Kuna kipengele niliona mother mmoja anaomba kura ila kuna bango limeandikwa ''2073'' kitu kama hicho , aisee jamaa wako mbele ya muda ile movie ...Mbaya zaidi kuna project ya kuua watu kabisa kama waliozaliwa macha ili kupunguza idadi ya watu .


Hizi movie ukutulia kuna movie sio kuangalia ngumi tu .​
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
 
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
Nakuunga mkono , kuna mengi sana yamejificha nyuma ya hizi movie.
 
Sayari, nyota, vipande vya teluji, na mimea—vitu vya asili ambavyo wanasayansi wanajifunza

Sayansi Inapatana na Biblia?​


Jibu la Biblia​

Ni ndiyo. Hata ikiwa Biblia haiko kitabu cha sayansi inasema kweli inapozungumuzia mambo ya sayansi. Fikiria mifano fulani inayoonyesha kwamba sayansi na Biblia vinapatana na kwamba Biblia ina mawazo fulani ya kweli yanayopatana na sayansi ambayo yanatofautiana kabisa na mawazo ya watu wengi ambao waliishi wakati iliandikwa.
  • Ulimwengu ulikuwa na mwanzo. (Mwanzo 1:1) Hata hivyo, hadisi za uongo za zamani zilionyesha kwamba ulimwengu haukuumbwa, lakini ulijitokeza wenyewe kutokana na muchafuko mukubwa uliokuwa wakati huo. Wababiloni waliamini kwamba miungu iliyozaa ulimwengu ilitoka katika bahari mbili. Hadisi zingine za uongo zilionyesha kwamba ulimwengu ulitoka katika yai moja kubwa.
  • Ulimwengu unaongozwa na sheria za asili zilizowekwa na mutu mwenye akili, haiongozwe na mawazo ya miungu. (Ayubu 38:33; Yeremia 33:25) Hadisi za uongo katika dunia yote zinaonyesha kwamba wanadamu hawawezi kuepuka matendo yasiyotazamiwa na yasiyo na huruma ya miungu.
  • Dunia imetundikwa katika anga. (Ayubu 26:7) Zamani, watu wengi waliamini kwamba dunia ilikuwa diske iliyoshikiliwa na kiumbe fulani kikubwa sana ao munyama mukubwa kama vile, tembo ao kasa wa bahari.
  • Maji ya mito na chemichemi yanatokana na maji ya bahari ambayo yamegeuka kuwa muvuke ao inatokana na vyanzo vingine, na kisha yananyesha kama mvua, teluji ao mvua wa majiwe. (Ayubu 36:27, 28; Muhubiri 1:7; Isaya 55:10; Amosi 9:6) Wagiriki wa zamani walifikiri kwamba maji ya mito yanatoka katika bahari iliyo chini ya udongo, na wazo hili liliendelea mupaka miaka ya 1701-1800.
  • Milima inainuka na kuzama, na milima ya leo ilikuwa siku moja inafunikwa na bahari. (Zaburi 104:6, 8) Lakini, hadisi nyingi za uongo zinasema kwamba milima iliumbwa na miungu katika hali yake ya leo.
  • Usafi unasaidia kuwa na afya nzuri. Sheria ambayo Waisraeli walipewa ilizungumuzia mambo kama vile kufua nguo kisha kugusa maiti, kutenga wale walio na magonjwa ya kuambukiza, na kufunika vizuri mavi ya mutu. (Walawi 11:28; 13:1-5; Kumbukumbu la Torati 23:13) Lakini, sheria hizo zilipotolewa kulikuwa njia moja ya matunzo katika Misri iliyowaomba watu watunze vidonda kwa kutumia dawa fulani iliyochanganywa na mavi ya mutu.

Biblia Inafundisha Mambo Fulani Ambayo Hayapatane na Sayansi?​

Uchunguzi muzuri wa Biblia unaonyesha kwamba jibu ni hapana. Ona mawazo fulani ya uongo ambayo yameenea juu ya Biblia:
Uongo: Biblia inasema kwamba ulimwengu uliumbwa kwa siku sita, kila siku ilikuwa na saa 24.
Ukweli: Biblia inaonyesha kwamba Mungu aliumba ulimwengu zamani, lakini haijulikane ilikuwa wakati gani. (Mwanzo 1:1) Pia, siku za uumbaji zinazozungumuziwa katika sura ya 1 ya Mwanzo zilikuwa vipindi vya wakati, urefu wa vipindi hivyo haujulikane. Vilevile, muda wote ambao uumbaji wa dunia na mbingu ulichukua unaitwa pia “siku” moja.—Mwanzo 2:4.
Uongo: Biblia inasema kwamba mimea iliumbwa mbele ya jua kuumbwa ili ifanye kazi na mufumo unaoitwa usanidimwanga (photosynthèse).—Mwanzo 1:11, 16.
Ukweli: Biblia inaonyesha kwamba jua, ambayo ni moja ya nyota zilizo katika “mbingu,” iliumbwa mbele ya mimea. (Mwanzo 1:1) Katika “siku” (ao kipindi) ya kwanza ya uumbaji, mwangaza wenye kufifia wa jua ulifika kwenye dunia. Kama vile angahewa ilivyoendelea kuwa wazi mwishoni mwa “siku” ya tatu ya uumbaji, mwangaza wa jua ulikuwa nguvu ili kuendesha mufumo wa usanidimwanga. (Mwanzo 1:3-5, 12, 13) Ni muda fulani baadaye tu ndipo mutu aliye kwenye dunia angeweza kuona jua waziwazi.—Mwanzo 1:16.
Uongo: Biblia inasema kwamba jua inazunguka juu ya dunia.
Ukweli: Muhubiri 1:5 inasema hivi: “Jua limechomoza, na kushuka, nalo linajitahidi kwa nguvu kwenda mahali pake ambapo litachomoza tena.” Lakini, maneno hayo yanazungumuzia tu mwendo wa jua namna unavyoonwa na mutu aliye kwenye dunia. Hata leo, mutu anaweza kusema “jua linaamuka” na “jua linalala,” lakini anajua kwamba dunia ndiyo inazunguka juu ya jua.
Uongo: Biblia inasema kwamba dunia ni tambarare.
Ukweli: Biblia inatumia maneno kama vile “mwisho wa dunia” ili kumaanisha “sehemu ya mbali zaidi ya dunia”; maneno hayo hayaonyeshe kwamba dunia ni tambarare. (Matendo 1:8) Vile vile, maneno “miisho minne ya dunia” ni usemi wa mufano unaohusu eneo lote la dunia; leo mutu anaweza kutumia kwa njia ya mufano maneno kama vile Mashariki, Mangaribi, Kaskazini, na Kusini.—Isaya 11:12; Luka 13:29.
Uongo: Biblia inasema kwamba duara la miviringo ni mara tatu kipenyo ao diametre yake, lakini kwa kweli ni pi (π), ao karibu 3.1416.
Ukweli: Vipimo vya “Bahari ya kuyeyushwa” vilivyo kwenye 1 Wafalme 7:23 na 2 Mambo ya Nyakati 4:2 vinaonyesha kwamba bahari hiyo ilikuwa na kipenyo cha mikono 10 na “kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.” Inawezekana vipimo hivyo vilikuwa tu nambari kamili zenye kukaribiana. Pia, inawezekana duara na kipenyo zilionyesha vipimo vya ndani na vya inje vya bahari hiyo.
Shahidi wa yehova shalom🤣
 
Back
Top Bottom