Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Kabla sijabisha ulichosema nina mashaka na basis ya proof yako yaani sababu George R. R. Martin amesema basi tuchukulie kwamba ni ukweli ingawa hata yeye amesema ni fiction (yaani tumbishie) ?

1729775079937.png
 
Kuna baadhi ya vitu vya kawaida tu vinathibitisha dunia ni duara.

1. Kivuli cha dunia wakati wa kupatwa kwa mwezi kinaonyesha dunia ni duara.

2,Kupotelea kwa meli mbali na upeo wa macho yako inaonyesha meli kama inadumbukia .

3.Kuwepo na utafauti wa muda kati ya bara moja na jingine.
 
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
hapa natia mkono na mimi angalia movie inaitwa midnight butcher train(2011)wanaonesha viumbe wanaoitwa reptiles ambao hadi gvt ya USA inawafadhili kwa kuwapa vyakula kwa nyama za watu na hii inasemekana ni secret society
kwahiyo movie zina reflect kitu hasahasa ulipoongelea ujio wa viumbe vigeni kama hivyo
 
Eboooo!!!
Karne ya 21 Bado kuna flat earthers?? 😂😂😂😂😂 vimbwanga havitaisha duniani.
 
hapa natia mkono na mimi angalia movie inaitwa midnight butcher train(2011)wanaonesha viumbe wanaoitwa reptiles ambao hadi gvt ya USA inawafadhili kwa kuwapa vyakula kwa nyama za watu na hii inasemekana ni secret society
kwahiyo movie zina reflect kitu hasahasa ulipoongelea ujio wa viumbe vigeni kama hivyo
Mkuu, unataka kuniambia hujui fictional work ni nini?
 
Habari za Sasa hivi wakuu?

Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.

ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria

Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game of thrones

Sikumbuki vizuli kwasababu Sina tabia ya kuludia ludia kutazama picha niliyo kwisha kuitazama kabla

lakini Nina Imani jf hapakosi watu walio weza kuki tazama kile kipande tutankumbushana tafadhali nduguzangu

Nimegusia kipande sio picha nzima kwasababu wakati ule naitazama Ile picha kipande kile ndicho kilicho Nipa wakati wa kiufikiri zaidi

Na Katika kupitia na kuki fuatilia vizuli kipande kilekile nikaja kukutana na vitu ambacho vikani fanya nianze kuamini kile ambacho nimekuwa sikiamini kwa mda mlefu

Sasa kipande chenyewe ni hiki

Kuna sehemu kwenye Ile picha inazungumzia kuhusu ujio wa majira ya balidi Kali na yenye barafu

Naujio wa majira hayo huja na viumbe wanao ambatana na na baridi Kali ya barafu

Viumbe hao miili yao nikama barafu na miili yao nimifupa mitupu

Na mionekano yao nikama wafu walio fufuka lakini wanatokea kule kwenye barafu nzito na baridi Kali ya barafu inako tokea"

Kwenye picha hiyo kutokana na kuwapo na Imani kwamba viumbe hao huwa Wana vamia makaazi ya watu waliopo maeneo kalibu na maeneo yao

Basi serikali ilizungushia ukuta mkubwa kuzuia viumbe hao kuvunja na kuja waliko bina damu/ulimwengu wao

Saa nikajiuliza maswali haya...
kwamba Kama hii ni picha inayo husiana na history ya kweli ya watu wa huko ulaya

kwanini wali weka kile kipande kwenye Ile picha?

Na Kama picha ime kaa kihistoria je nikweli kulikuwepo na viumbe hao kule kwenye barafu?

Je! Nieneo gani hasa la barafu lililo zungumziwa kwenye picha hiyo?

Nahao viumbe watokao kwenye barafu walikuwepo kweli?

Nakama walikuwepo kweli walikuwa wanatokea sehemu gani huko nyuma ya barafau ambako ndiyo mwisho wa dunia?

Sasa baada ya kujiuliza maswali hayo kwa mda mlefu na kuanza kuta futa tafuta ndipo Nika kutana na Jambo la kushangaza kidogo Kama sio sana

Jambo lenyewe nikwamba

Kwanza dunia yetu nikama shinia sio tufe Tena

Na pia imezungukwa na barafu Kama ukuta pembezoni mwa shinia barafu hizo ndizi zilizo shikilia maji/bahari

yasi mwagike na pia kati kati ya barafu hizo/ndani ya shinia ndipo kulipo na bahari, oceans visiwa/islands,mabara/continent's na humo ndimo tunamo ishi sisi.

Hebu tazama mcholo hapo chin
👇👇
View attachment 3131661

Huo mzingo wa Kwanza sawa na hapa tulipo sisi
👇👇
View attachment 3131610
View attachment 3131584
Sasa kwenye huo mduara wa Kwanza ndipo ulipo ulimwengu wetu Mimi nawewe unaye Soma hapa

Na ukiangalia vizuli utaona Kuna ma bara yote saba hapo kuanzia Africa,Asia, nk
Na huo mduara mweupe ndiyo ule ukuta wa barafu unao yazunguka maji yetu/bahari zetu pamoja na mabara yetu tazama hapa👇👇
View attachment 3131644ambapo ni hapa
👇👇
View attachment 3131646

Lakini ukiangalia vizuli Tena utaona Kuna mduara wa pili wa barafu nje ya ulimwengu wetu mduara wa Kwanza
Ambao ndiyo huo hapo juu

Lakini wa pili/ulimwengu wa pili ni huu hapa
👇👇
View attachment 3131650
Ukitaka kwenye mduara wa Kwanza utaona mduala wa pili/ulimwengu wa pili nao utaona una bahari,visiwa na mabara yake

Lakini Tena Kuna ulimwengu wa tatu huu hapa👇👇
View attachment 3131651kwahiyo mduara wa Kwanza kwa ndani ndipo tulipo sisi

Na mduara wa pili kwa ndani ni ulimwengu mwingine

Na nje ya mduara wa pili pia ni ulimwengu mwingine

Sasa Kuna habari kwamba huko ndiko wanako ishi viumbe wengine

Wenye akili na ufahamu wa Hali ya juu/high technologies

Lakini pia Wana sema huko Kuna dragon's dinosaurs,na viumbe wengine walio toweka au kuonekana kwa nadra duniani

Na Kuna habari kwamba Kuna wazungu wanaingia huko nakuludi huku na ujuzi wa kutosha

Sasa ningeomba kujua kiundani kuhusu hili hasa kwa wajuzi wa Mambo haya ilinkwa pamoja tuambukizane maarifa ya dunia yetu
Imagine mtu karne ya 21 anaamini dunia ni flat.
Aisee
 
Binafsi concern yangu sio flat earth au spherical earth.
Nashawishiwa zaidi na msingi wa kile tunachokitumia kujenga hoja na imani kuhusu dunia duara au dunia tambarare

Wanaosema dunia duara wana msingi wa imani na hoja katika maeneo yafuatayo.
A-maandiko ya kihistoria
B-tafiti za kisayansi
C-maoni na majaribio ya sayansi na wanasayansi
Wako sawa ila wanasahau kuwa hii dunia ni moja na suala la mabara,nchi na ukanda na migawanyiko ya kijiografia ni mahitaji ya jamii ya kawaida kisiasa ila kiuchumi na kimazingira DUNIA ni moja.
Jiulize leo kama tuna mfumo mmoja wa fedha duniani unaohodhi mabenk yote na taasisi zote za fedha inawezekana kusiwe na mfumo unao controll knowledge kweli hasa ile inayotolewa darasani na kwenye maandishi?kweli?

Kifupi inawezekana vigezo tunavyotumia kuthibitisha kuwa dunia ni duara ni vile walivyotuandalia na hata sayansi tunayojinasibu nayo kila kitu wameandaa wao.

Vitabu vya manguli wa nadharia,falsafa na sayansi vimechapwa na publishing house zao.Kipi wanashindwa kufanya.

Kifupi tunaamini kile tulichoaminishwa tu.hata hoja ya kwamba wewe ni binadamu ni watu walikwambia kwa maneno na kwa maandishi na unaamini mpaka leo.
Wangesema wewe ni kobe ungeanzia wapi kubisha wakati kila kitu kinachokuzunguka kinakutaja wewe kama kobe?.

Watu wanaoamini kuwa dunia ni flat hawa ndo hata sitaki kuwazunguzia maana base ya imani yao ni "syndicate"
Kuna upuuzi unaitwa social engineering.jiulize kwanini dunia nzima inaongelea mambo haya tu
1-mpira
2-sex
3-betting
4-music
5-fashion
Uploads na downloads kwenye data base za social media na platforms zimetawaliwa na hivi vitu kwa asilimia 90.
Watu wako busy na mpira,kama sio mpira ni sex iwe ni normal,gay au Lesbos.
Kama sio hapo ni music,fashion au janga jipya la betting.

Sio ajali hayo mambo matano ila ni well calculated social engineering na dunia inaenda walivyopanga.

Ukitaka kuona kitu kwa usawa.
Empty your mind then start thinking.utashangaa
 
Back
Top Bottom