Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Mtu wa kwanza kupendekeza kuwa dunia ni duara alikuwa Pythagoras, mwanafalsafa wa Kigiriki kutoka Ugiriki ya kale, katika karne ya 6
Nani anaweza kuthibitisha uwepo wa huyo aliyeitwa PYTHAGORAS au ni hadithi tu?

Kwa mfano mimi nikisema kuna mtu alikuwa anaitwa KOMWE aliishi karne ya 13 na ndiye aliyegundua KUJAMBIA MTUNGI, kuna mtu atabisha?

Unaanzaje kubisha? Lazima umeze tu matango pori.

Cc: Mbaga Jr ndege JOHN Extrovert Kapeace Kalpana
 
Wenzetu. Historia haijifichina waliweka bidii kuitunza na walihakisha wanadimulina kwa ubora kizazi hadi kizazi.

Tofauti na jamii nyingi za Kiafrika(kuna baadhi ya maeneo mfano Ethiopia wanahistoria za mqmbo kibao na wamezitunza mpka leo).

Mfano wewe Komwe hauna historia yoyote ya Babu yake na Babu wa Babu yako, unadhani kwa wagiriki ilikuwa hivo.?

Yawezekana kweli historia yake ikawa inakosa uthibitisho mwingi ila uwepo wa wanafunzi wengi ambao walikuwa wanashare habari zake kiazi hata kizazi, na ndo maana utaona baada ya miaka mingi badae watu kama wakina Plato wanakujakuendeleza mambo kibao yaliyoaanzishwa na huyo jamaa. (sio Plato pekee wako wengi na ndo walijulikana kama Pythagoreans)
 
Historia zinakuwa TWISTED tu, au zinakuwa DOCTORED.
 
Kwani mkuu, Watu wakijua siri kuwa Dunia ni Tambarare watafaidika na nini ambacho hawakipati sasa hivi kwa kuambiwa ni duara?
 
Daaah! kuna watu bado wanaamini Dunia ni flati hadi leo hii,..na hao watu wengine wapo humu JFπŸ₯²πŸ₯²πŸ™„
 
Hii ya dunia kushikiriwa na nguzo za barafu kama kuna kiukweli. Ngoja tufuatilie na tutapata jibu.
Hizo nguzo za barafu zipo sehemu gani? Flat earthers wameshindwa kukodi hata helicopter kwenda kurekodi hizo nguzo za barafu?
 
Inawezekana mkuu, issue inakuja because we are in a 3D template lazima tuone vitu in terms of spheres, prisms and cone. Ila hayo ni wawazo yangu tu. Tutalazimika kuona uduara na ndivyo inatubidi tuamini
 
Kama dunia ni flat zikowapi north pole na south pole, sababu hizo ndio zinatumika kwenye compas na GPS tunazotumia
 
Yaani utumie kitabu cha ice and fire ku prove theory ya kufikirika,
 
Big up sana komwe. Hua nafuatilia kwa makini sana coment zako na kiuhalisia una kitu kikubwa sana.I wish siku moja nikufate pm uniongezee maarifa flani flani
 

Game thrones ina ulimwengu wake…. Ni Fantasy movie mwandshi wake katengeneza ulimwengu wake wa kufikirika…..ingawa kuhusu dunia kua tambarare kuna watu wanadai ni ukweli!!
 
Yaani utumie kitabu cha ice and fire ku prove theory ya kukufikir
Sija kurupuka mkuu ingia YouTube

Andika why they don't want to visit Antarctica?
 

Attachments

  • Screenshot_20241022-112104.png
    745.6 KB · Views: 4
Hakuna kitu kama hicho ingekuwa hivyo basi hata wale dragons ingekuwa kweli pia, mother of dragons angekuwa kweli pia, the night walkers ingekuwa kweli. Ile ni fiction movie iliyotokana na vitabu vya George R. R. Martin, song of ice and fire.
Kitu ambacho mpaka leo sielewi, ni kwanini watu wanaamini nchi zote ambazo zimefanikiwa kurusha vyombo anga za juu tena ni mahasimu mfano, China, India, US, EU, N.Korea, Japan, na vinchi vingine vyote washirikiane kukudanganya wewe kuwa the world is flat kwa faida gani.
Na kwanini iwe tu dunia halafu sayari zilizobaki zote wakubali kuwa ni mviringo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…