Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Wewe toka hapo kwenye tv.. zinakupumbaza
Tulia wewe
Itani chukua mda Sana kuku elewesha unielewe kuhusu hili Ila kwa kifupi nikwamba Mambo haya yapo Tena mengi Sana

Unaweza kuingia YouTube Kisha ukaandika yakaja na ukashuhudia jinsi tulivyo danganywa

Kwahiyo nikushauli nenda huko ukajionee

Andika hivi... what is going on behind Antarctica ice wall?

Utakutana nayo

Huko utawaona Russia kwenye tafiti zao huko

Utaona Ice wall kwamba imeizunguka dunia nzima

Lakini pia utaona shahidi nyinging kuhusiana na dunia kuwa tambalale mkuu
 
MIndishi amekuwin na lengo la movie ukiangalia uingie kwenye tafakuri
Kuna movies ilichezwa movie Ile ili zungumzia kuhusu ugonjwa unao ambukia kwa njia ya hewa na Mika kadhaa mbele ikaja covid19 unaijua
 
Kwani mkuu, Watu wakijua siri kuwa Dunia ni Tambarare watafaidika na nini ambacho hawakipati sasa hivi kwa kuambiwa ni duara?
Wata taka kujua tambalale imeishia wapi na huko watavumbua Mambo yasiyo julikana ambyo hayo hayo ndiyo msingi wa nguvu walizo nazo wenye nguvu

Wanao itawala dunia
 
" I watched the movie but missed the context"

👆🏻👆🏻 literally you my guy 😂😂😂
 
Youtube is full of crap hata wewe unaweza ukatengeneza video ukaweka hivyo ni kutumia akili. kwani wewe hujawahi kukutana na video youtube eti mtu anatmia wembe kutengeneza mtambo wa kunasa internet ya bure.
 
Imani ya kuwa dunia yetu ni kama sinia ilikuwepo kwa mababu zetu zamani. Hata mwana sayansi alie gundua kuwa dunia ni mviringo aliua na viongozi wa dini. Uigizaji wa sinema kwa sasa unaweza kutengenezewa picha au taswira yoyote tena kwa gharama ndogo. Kwa taarifa yako kama umeiona sinema ya Titanic, yote yale yaliigiziwa kwenye bwawa.
 
Tafuta kitabu kinaitwa...
Terra infinita
 
Youtube is full of crap hata wewe unaweza ukatengeneza video ukaweka hivyo ni kutumia akili. kwani wewe hujawahi kukutana na video youtube eti mtu anatmia wembe kutengeneza mtambo wa kunasa internet ya bure.
Nikweli lakini sio vds zote niza namna hiyo mkuu Kuna video za ukweli ambazo ukizi fanyia kazi zitakupa ukweli

Wewe jalibu kufanya nilivyo kuambia ufanye mkuu
 
Sijawahi kuiona ila nitaicheck , ila nakumbuka niliona movie moja nahis ni mwaka 2023 , inaitwa ''What happened to Monday''

Ukiifuaatilia hii movie utaona agenda yao ya kupunguza watu hasa wakitafuta wale mapacha saba wa kike ambao marehemu babu yao alikuwa anawaficha , kuna mmoja alitoroka akaenda kucheza nje , aliporudi akawa amepata jeraha kweny kidole yaani kimekatika ...Basi yule babu yao akawakata wale wengine wote ili vidole kama mwenzao ili wafanane .

Walipewa majina ya Siku saba yaani Monday to Friday , mtu atatoka nje kwa siku yake kulingana na jina wakati wale wengine wamejificha ...Pia wanatumia bracelet moja kama utambulisho wao , kingine niliona watu wanascan bracelet zao ili kuwatambua , watu wanaishi kweny mazingira kama yako kama kijiji fulani yaani ukiingia na kutoka kuna geti la walinzi , kuna sehemu alienda kununua kitu kama nyama hivi basi alilipa kutumia bracelet yaani full cashless .

Kuna kipengele niliona mother mmoja anaomba kura ila kuna bango limeandikwa ''2073'' kitu kama hicho , aisee jamaa wako mbele ya muda ile movie ...Mbaya zaidi kuna project ya kuua watu kabisa kama waliozaliwa macha ili kupunguza idadi ya watu .


Hizi movie ukutulia kuna movie sio kuangalia ngumi tu .​
 
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
 
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
Nakuunga mkono , kuna mengi sana yamejificha nyuma ya hizi movie.
 
Shahidi wa yehova shalom🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…