Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

Kabla sijabisha ulichosema nina mashaka na basis ya proof yako yaani sababu George R. R. Martin amesema basi tuchukulie kwamba ni ukweli ingawa hata yeye amesema ni fiction (yaani tumbishie) ?

 
Kuna baadhi ya vitu vya kawaida tu vinathibitisha dunia ni duara.

1. Kivuli cha dunia wakati wa kupatwa kwa mwezi kinaonyesha dunia ni duara.

2,Kupotelea kwa meli mbali na upeo wa macho yako inaonyesha meli kama inadumbukia .

3.Kuwepo na utafauti wa muda kati ya bara moja na jingine.
 
Movies Zina zungumzia maisha harisi/maisha tunayo yaishi mkuu

Kuna habari kwamba dunia kwa Sasa imeingiliwa na viumbe wasio wenyeji wa dunia na viumbe hao wanatokea nje ya dunia yetu unazijua hizi habari?
hapa natia mkono na mimi angalia movie inaitwa midnight butcher train(2011)wanaonesha viumbe wanaoitwa reptiles ambao hadi gvt ya USA inawafadhili kwa kuwapa vyakula kwa nyama za watu na hii inasemekana ni secret society
kwahiyo movie zina reflect kitu hasahasa ulipoongelea ujio wa viumbe vigeni kama hivyo
 
Eboooo!!!
Karne ya 21 Bado kuna flat earthers?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vimbwanga havitaisha duniani.
 
Mkuu, unataka kuniambia hujui fictional work ni nini?
 
Imagine mtu karne ya 21 anaamini dunia ni flat.
Aisee
 
Binafsi concern yangu sio flat earth au spherical earth.
Nashawishiwa zaidi na msingi wa kile tunachokitumia kujenga hoja na imani kuhusu dunia duara au dunia tambarare

Wanaosema dunia duara wana msingi wa imani na hoja katika maeneo yafuatayo.
A-maandiko ya kihistoria
B-tafiti za kisayansi
C-maoni na majaribio ya sayansi na wanasayansi
Wako sawa ila wanasahau kuwa hii dunia ni moja na suala la mabara,nchi na ukanda na migawanyiko ya kijiografia ni mahitaji ya jamii ya kawaida kisiasa ila kiuchumi na kimazingira DUNIA ni moja.
Jiulize leo kama tuna mfumo mmoja wa fedha duniani unaohodhi mabenk yote na taasisi zote za fedha inawezekana kusiwe na mfumo unao controll knowledge kweli hasa ile inayotolewa darasani na kwenye maandishi?kweli?

Kifupi inawezekana vigezo tunavyotumia kuthibitisha kuwa dunia ni duara ni vile walivyotuandalia na hata sayansi tunayojinasibu nayo kila kitu wameandaa wao.

Vitabu vya manguli wa nadharia,falsafa na sayansi vimechapwa na publishing house zao.Kipi wanashindwa kufanya.

Kifupi tunaamini kile tulichoaminishwa tu.hata hoja ya kwamba wewe ni binadamu ni watu walikwambia kwa maneno na kwa maandishi na unaamini mpaka leo.
Wangesema wewe ni kobe ungeanzia wapi kubisha wakati kila kitu kinachokuzunguka kinakutaja wewe kama kobe?.

Watu wanaoamini kuwa dunia ni flat hawa ndo hata sitaki kuwazunguzia maana base ya imani yao ni "syndicate"
Kuna upuuzi unaitwa social engineering.jiulize kwanini dunia nzima inaongelea mambo haya tu
1-mpira
2-sex
3-betting
4-music
5-fashion
Uploads na downloads kwenye data base za social media na platforms zimetawaliwa na hivi vitu kwa asilimia 90.
Watu wako busy na mpira,kama sio mpira ni sex iwe ni normal,gay au Lesbos.
Kama sio hapo ni music,fashion au janga jipya la betting.

Sio ajali hayo mambo matano ila ni well calculated social engineering na dunia inaenda walivyopanga.

Ukitaka kuona kitu kwa usawa.
Empty your mind then start thinking.utashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…