Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

Ndio maana nasema anajidanganya..maxda rx 8 ni mfano mzuri na amarock pia..tena zaidi ni kwenye mazda..rx 8 subaru yenyewe ikasome..
 
kuna mtu kasema piston atazikuta kwenye bonet, namuunga mkono
Unamuunga mkono kwa kuwa huyajui magari. Watu wanatoka na IST za IT (transit) kwenda Malawi na Zambia na wanafika nazo Tunduma na Kyela salama kabisa na zinaendelea na safari kwenda Zambia na Malawi, sembuse Mwanza hapo?
 
Na zote izo hazina exceptional after market modiification...as amarock huwa ni stock for twin turbo..wanaoijua nadhani wanaelewa namaanisha nn na watasema experience yao kuhusu izi gari mbili zikiwa road.
 
Tuambie inakula lita ngapi kwa kilometa . Then Mwanza ni kilometa 120, na utueleze ujazo wa tank lako la mafuta, hapo ndo utajua kama utatoboa ama hutatoboa ukiweka mafuta kiasi gani. Kama ni masuala ya mechanical mcheki fundi kwanza akufanyie safari checkup. Otherwise sijui kama una uzoefu wa sfari ndefu pia.
Lakini la mwisho jiuluze hizo IST zilizopo mwanza zilibebwa ama zilipaa? Fikiri kabla hujauliza.
Mwanza ni kilomita 120 kutoka Dar au wapi?
 
Raum vipi ni mpya nini nizingatie nategemea kutoboa nayo moshi
 
Sasa roho ngumu inasaidia nini kwenye suala hili alilouliza mtoa mada?

Kuna baadhi ya magari kufanya nayo safari ndefu inahitajika ushujaa na roho ya kujiamini. Hizi gari zinafaa Kwa mishe ya town Ila no wazi kila mmoja wetu anapenda kusafiri Kwa usafiri wake. Kitu kinachokupa nafas ya kupangilia ratiba yako na Uhuru
 
Kama gari lako halina shida, basi safiri tu, huo ni umbali mdogo tu. Maana gari kwa highway, gari linapata stress kidogo kuliko linapotumika mjini. Hili watu wengi hawalijui. Gari likiwa highway, engine inapumua vizuri zaidi maana hewa inakuwa na mgandamizo mkubwa, inaingia yenyewe kwenye engine kiurahisi. Gearbox haichoki, sababu unatembelea gear ndogo kwa muda mrefu tofauti na mjini ambapo mara nyingi ni gear kubwa tena zinabadilika mara kwa mara hivyo kufanya transmission iwe stressed saana kuliko highway.

Hakikisha engine na gearbox ziko vizuri, uko ndani ya muda wa service. Tairi ziko vizuri. Una vibali vyote etc.
 
Ushauri wa bure kwa gari ambayo injini capacity au wengine wanaita cc ni chini ya 1500 sio gari nzuri kwa safari ndefu. Na haswa ambazo zina kuwa na piston 3. Ndio hazifai kabisa. Ist ina cc 1400. Hivyo sio nzuri kwa safari ndefu. Unashauriwa uiitembeze maximum km 800 kwa siku tu. Na katika hizo km hakikisha unazigawa nusu km 400 unaiweka sehemu gari ipumzike ili oil ipoe ishuke kwenye sample na block ipoe Kwa 30 min. gari ikiwa inanguruma tu kisha ndio uendelee na safari. Hii inatokana na kuwa injini zote za gari za kisasa zimetengenezwa na cast na sio chuma kama injini za zamani na cast kwa kawaida ni madini ya udongo yakipata moto sana huwa yanapasuka ghafla hivyo kwa ist sio nzuri kusafiri nayo umbali mrefu wa km 120 ikiwa ni dar hadi mwanza. NB utafika mwanza ndio ila durability ya injini itakuwa imeshuka kwani injini itapata moto sana na oil italainika sana na kuwa kama maji kisha oil itapoteza ile lubriant yake ya kulainisha piston au itapoteza ile kilainishi chake kutokana na joto kali la injini kisha piston zitakuwa zinasagana na piston ringi kwenye block kwa haraka hutaona madhara ila ile combastion ya injini kwenye piston itashuka na utajikuta unapowasha gari yako kesho yake utasikia mlio tofauti kidogo kwenye injini yako kama ni msikilizaji wa mngurumo vizuri na hutaona tena maji yanayotoka kwenye exhaust nyuma ukiwasha gari yako ambayo ni ishara moja ya kuonyesha kuwa njini yako iko intact kwani kianzia kwenze nozel hadi kwenyw plug zikipata moto sana bila lupoozwa kwa wakati hupoteza ule ufanisi wake wa awali.ijapokuwa utaendelea kuitumia gari vizuri lakini durability inakiwa imeshapungua sana. Mwisho ni kuwa sio vyema kuendesha gari yenye cc chini ya 1500 kwa safari ndefu ya zaidi km 800 kwa siku .na zaidi kipimo cha kawaida kwa kama sio mtaalam wa gari ukitaka kujua kuwa inatakiwa uipumzishe gari sasa ni pale utakapoona feni za gari yako kwenye rejeta zinafungua kila saa na hazizimi kwa dakika 5 au zaidi unakuta feni zikizima ni sekunde 3 zinajiwasha tena. Jua unatakiwa kuipumzisha gari yako kwa nusu saa hadi uone feni zinajizima kama kwa dakika 5 au zaidi hapo unaweza kuendelea na safari. Kama hujaelewa nakaribisha maswali zaidi nitajibu
mkuu gari corona (ED) niliipaki kwa miaka mitano.ilikuwa haina tatizo.juzi nimeweka bettry imewaka na imetembea bila tatizo.je kiusalama gari haina tatizo?au niifanyie service kwa kubadilisha kitu gani?

mkuu nisaidie kwasababu sina elimu ya magari.
 
Mimi nauliza kama injini imeacha kutoa maji kwenye bomba la moshi unaweza kurekebisha ikawa inatoa maji, kama ndio unafanyaje? handsome84
 
From saa tisa alasiri mpaka saa 2 usiku kutokea dar ukawa ushafika pande za nyegezi,uko vizuri mkuu
Mpumbavu una kichwa kigumu kisenge.
Mwenzio anakwambia saa Tisa alfajiri wewe umekaza shingo alasiri.
 
Usimwogopeshe. Ist kwa safari ndefu ndio mahala pake. Nimeenda Mwanza na kurudi na Ist zaidi ya mara 20 haina kuchemsha wala pancha.
Gari ni service tu. Hizo ulizotolea mifano zilikuwa hazipo sawa kwa sababu zingine za kiufundi lakini sio sababu ya aina ya gari.

Nimezunguka na Ist katika njia mbaya za migodini lakini imehimili.
Uimara wa gari ni service tu.

Kwa upande wa matumizi ya mafuta Ist zinatumia vizuri sana. Mfano mie nikijaza hapa Dar lita 42(full tank ya Ist cc1498) huwa yanafikisha Dodoma. Muda ninaotumia huwa natoka Dar saa 9 alfajiri na ninafika Dom 1.30 asubuhi.
Nikijaza Mafuta Dom lita 35(kwa sababu kunakuwa kuna mafuta kidogo kwenye tank) yananifikisha Shinyanga. Hapo naongeza lita 10 tu na yananifikisha Mwanza na mizunguko ya siku inayofuata bila wasiwasi.
Yaani mtu anatumia 250,000 kwa ajili ya mafuta kisa tu atumie private car. Kwanini usitumie mabasi? 40,000 tu. Na 5000 ya kula njiani
 
Inatobo vizuri Sana. Mie nina Kavits. Napiga nako safari balaa. Dom to dar afu nageuza nako kesho yake. Dar to arusha kama Kawa. Haina shida
Kwanini usiwe unatumia public transport kupunguza unnecessary costs? Sasa hapo petrol, oil, lubricant, upepo...
 
Back
Top Bottom