Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mkuu naomba ya IST please......Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
CIF inakadiriwa na TRA ndo shida inapoanzia. Unadhani wafanyabiashara wanapolalamika kodi kubwa hawajui hesabu???
Kodi kubwa kwasababu ya makadirio makubwa/yasiyo na uhalisia. TRA wamepunguza makadirio hayo na hivyo kodi imeshuka
Kwakweli,Mikumi na tanooooo
Soma komenti zingine zingine zangu hapo nimeelezea mkuuCIF za kwenye mfumo wa TRA approximate na provisional. Haingilii akilini hata kama wamepunguza estimations za CIF, iwe kwa 50%?
Kuwa gari mwanzo ilikuwa na CIF USD 26k sasa imeshuka mpaka USD 13k?
Actual price ya gari kwa FOB then CIF ndio itadetermine tax.
Akienda shwari, sio mikumi tena ila ni mpaka umauti umkute.Maza Atake asitake lazima aongezewe, akikataa alazimishwe yule. Suluhu mikumi tena.
Mie nimeona katikati ya maneno yako- hutaki Samia aendelee kuongoza na unatowa sababu kuwa watanzania tuko wengi 60m; kumbe wewe kwa tathmini yako huwezi kuchukua hata fomu ya kuomba kuwa rais wetu- safi. kwa hiyo wewe ama:-Sijawahi kuwa dalali maishani mwangu!
Acha unajimu.
Kama point ni CIF nakubaliana na wewe Mkuu.Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)
Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60
Sitaki aongoze nje ya muda uliowekwa kikatiba.Mie nimeona katikati ya maneno yako- hutaki Samia aendelee kuongoza na unatowa sababu kuwa watanzania tuko wengi 60m; kumbe wewe kwa tathmini yako huwezi kuchukua hata fomu ya kuomba kuwa rais wetu- safi. kwa hiyo wewe ama:-
1.si mtanzania
2. ni mtoto
3. unajua tu kusoma na kuandika
4. ni mwenda wazimu
5. ni dalali
Nimerekwbisha nimeweka pia na gari ile ile parameters zile zile. Angalia comment yangu #60 mkuuMjomba nawe kumbe umetuingiza chaka.. Ni gari mbili tofauti..
"Natengua kauli" zangu zoote hapo juu[emoji23]
Rwanda petroli na diesel ni faranga ngapi?Bado Mafuta haiwezekani mtu ananunua Petrol Rwanda bei Rahisi kuliko Dar
Wachane haoWasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Inategemea pia model ya gari lenyewe; usione Ford Ranger ya 2017 tu ukadhani kuwa yote yanafanana. Angalia hapaKichuguu msome black kid kaelezea tena hapa
Acha ubishi kama huelewi uliza, Msome Black kid hapo kaelezea, na nimeelezea sana humu
Kama wakishakadiria CIF ndogo manaake kazi ni kwako kutafuta gari kwa bei ndogo chini ya 13,000 utalipa kodi ya 13000 na ukipata gari labda kwa bei ya 15000 utalipa kodi ya 15,000 ila wakati ule walikadiria bei 26,000 kwahiyo hata ungenunua gar kwa 12,000 unalipa kodi ya 26,000
Pitia Uzi wote. Au soma comment #60mbona kama hayo ni magari tofauti
[emoji95]moja manufactured 2017 nyingine 2018
[emoji95]moja cc < 2500 nyingine cc > 2500
[emoji95]CIF zao hazifanani
kwahiyo sitegemei zikawa na kodi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh asee wasukuma hapana tena mweeeehh!!!Wasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Wana update DB yao maana kwasasa wameiondoa TOYOTA ,bado wana update system zao.
Ni kweli mkuu na usihamishe magoli. Nadhani umeelewa alichoelezea huyo jamaaInategemea pia model ya gari lenyewe; usione Ford Ranger ya 2017 tu ukadhani kuwa yote yanafanana. Angalia hapa
View attachment 1752844