Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Hivi yule aliopanda jukwaa la kanisani akawaponda wa Zanzibari yuko wapi? Unamkumbuka?

Mwenyezi Mungu hafanyiwi utani, haikupita muda Mzanzibari akaoa binti yake, haikupita muda, Mzanzibari akawa Rais wake.


Yuko wapi? Au umemsahau?
Yupo anabana bana pua tu,alichezewa karata tatu hana hamu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Yule alikuwa shetani katika umbile la binadamu. Mungu aepushie mbali tusijepata mtawaza sampuli ile tena.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hilo ni neno la kibaguzi,kikabila hasa.In fact nashangaaa wanasiasa na mashabiki wao badala ya kusimama na walio hai,wanadeal na waliokufa.

Kila ukiongea hoja ya kukemea mabaya ya serikali ya sasa utaitwa hilo jina,ukionekana ni wa kanda ya ziwa utaitwa hilo jina,binafsi siamini kama kuna mwanasiasa ana nia njema na nchi hii tofauti na maslahi binafsi kwanza.

Sio kuwa serikali hii ina mabaya tu,ina mazuri mengi,lakini kama taifa hatuko sawa tukiendelea na vimaneno vya hivyo.Hivi hao wasukuma wanajisikiaje ndani ya nchi yao kwa kuitwa jina jina hilo au lenye maana mbaya kwa mlengo wao?.
 
Tuwaite BANYAMULENGE

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nani hao wakosoaji wa Samia na wakosoaji wa maridhiano ya Samia na Chadema? Maana kuna member ni chadema kindakindaki ila utofauti wao wa mawazo kwenye maridhiano ya Samia na Chadema inafanya aitwe Sukuma gang.

Siku hizi wakosoaji wamekuwa wanaitwa sukuma gang.
 
Hawapondwi Wasukuma bali wanapondwa wafuasi wa yule Mhutu ndiyo maana nimependekeza waitwe BANYAMULENGE.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hilo neno sukuma hapo halipo kwa bahati mbaya, haingii akilini et wafuasi wa Magufuli ufikirie kuwaita sukuma halafu useme haihusiani na kabila la wasukuma. Yani mie niwaite mashoga wote kuwa ni wapemba gang halafu niseme haihusiani na wapemba nitaeleweka?
 
Mkuu umestuka muda huu?
===
Nilikemea jambo hili humu (JF) mara tu baada ya kuanza kukubaliwa na moderators!!! Wakati huo nadhani nilionekana kituko kwa walio wengi!
 

Aisee kwa hapa nilipoku quote umenishangaza sana,hivi kwa akili yako unaamini kila mtu anafahamu kiswahili? Kuna ubaya gani kwa huyo Mama kuongea Kisukuma? Bibi na Babu yangu wote hawafahamu Kiswahili,ingetokea wamekutana na JPM na wanafahamu ni Msukuma wangeongea nae kwa lugha ipi? So unawahukumu Wasukuma kuwa ni watu wabaguzi kwakuwa tu yule Mama aliongea na Rais kwa kisukuma?

Kwamba matendo ya JPM ni pamoja na kuongea na yule Mama kwa kisukuma kwako wewe ilikukera sana? Mnajaribu kujificha kwa kuzunguka zunguka lakini deep down mna chuki na ubaguzi mkubwa na Wasukuma.
 
Magufuli alikuwa nafanya Serikali kama Mtei alivyo kuwa Boss wa CRDB.Mtei amejaza wachaga CRDB unaweza ukahisi ni Bank ya Wachaga-kati ya Wafanyakazi 10 wa CRDB 8 ni Wachaga.
Samahani mkuu waweza kunitajia Full Ministries achana na Manaibu wa5 tu ambao walikuwa wasukuma kipindi cha JPM ili tulipe uhalali bandiko lako mkuu
 
Elewa kinachojadiliwa, mie nazungumzia hayo madai yenu ya kusema hamna tatizo na kabila la wasukuma wakati huo huo mmewabatiza watu jina la sukuma gang mkikusudia ni watu wabaya.
Kwa sababu huna akili hebu kwanza tupe uthibitisho kuwa asilimia kubwa ya mashoga Tanzania ni wapemba?

Pili hii yako siyo ubaguzi ila inakukera tu sukumagang? Sukumagang ni kundi wanufaika wa matendo ya dikteta Magufuli aliyeamua kuwajaza wasukuma wenzake kwenye nafasi za uongozi serikalini.

Mwisho kwa matendo ya Magufuli na kundi lake maarufu sukumagang bila shaka ni watu wabaya. Hakuna walioumizwa na utawala wake na wateule wake kama akina Sabaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…