Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

Hebu msome hapa halafu Tafakari


Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.

Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.

"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.

Mwananchi
Hekima ....busara....maarifa ya kibinadamu
....pia zingatia kitumbua .....cum mchanga ingia.
 
Hebu msome hapa halafu Tafakari


Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.

Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.

"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.

Mwananchi
Upo huru kutowa maoni yako.
 
Picha ya matundu ya risasi kwenye gari. Kuna mwenye nazo?
 
Hebu msome hapa halafu Tafakari


Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.

Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.

"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.

Mwananchi
Ulitaka awe na akili kama wale Act mwenyewe kaamua kurahisisha kazi!
 
-Anaugomvi wa muda mrefu na nani?
-Katika zama hizi zisizo na huruma nani aidha vyama gani vinanyemelea ubunge wa eneo hilo?
-Je hakuna mali ya mtu anayoikalia kwa mabavu na kujimilikisha?
-Hawezi kutuma vijana wafanye shambulio feki ili kupata huruma na kutengeneza attention kwa umma?
-SIASA INA MAMBO MENGI SANA.
 
Hebu msome hapa halafu Tafakari


Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.

Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.

"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.

Mwananchi
Hili tukio sendeka amelitengeneza,ili kupata kura za huruma 2025.

Jiandae kwenda kuchunga mbuzi 2025.
 
Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Kwa mantiki hii ina maana kuna wakati mwingine CCM hushambulia watu ila Sio kwa tukio hili la Ole Sendeka? Je, CCM ina Kikundi cha Kigaidi kinachoshambulia watu? Naita Kikundi cha kigaidi manake najua CCM kama chama hakina jeshi rasmi wala polisiπŸ€”
 
Natabiri, huenda matukio ya namna hii yakatokea baadhi ya sehemu, Naiona zaidi arusha, hasa kwa lema, atajitengenezea matukio mengi sana, kwa wakati ujao!
To be noted.
 
Back
Top Bottom