Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
π π π π π π πMajini ya Uto wanataka kutuulia mzee wetu, astagafilullah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π π πMajini ya Uto wanataka kutuulia mzee wetu, astagafilullah!
Hekima ....busara....maarifa ya kibinadamuHebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Asingesema!Wangemuua
Upo huru kutowa maoni yako.Hebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Ulitaka awe na akili kama wale Act mwenyewe kaamua kurahisisha kazi!Hebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Atasemaje zaidi ya alichoambiwwaMbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
CHADEMA imeingiaje wewe chawa?Punguza kupost habari ambazo hata hazikuhusu Wewe na Chama chako. Unajidhalilisha na kushusha credibility yako.
Hili tukio sendeka amelitengeneza,ili kupata kura za huruma 2025.Hebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Hachana na huyu Pimbi hajui asemalo.Kwani ya Dodoma alikuwa amehamishiwa huko?
Gari lilipelekwa garage baada ya tukio.Picha ya matundu ya risasi kwenye gari. Kuna mwenye nazo?
Kwa mantiki hii ina maana kuna wakati mwingine CCM hushambulia watu ila Sio kwa tukio hili la Ole Sendeka? Je, CCM ina Kikundi cha Kigaidi kinachoshambulia watu? Naita Kikundi cha kigaidi manake najua CCM kama chama hakina jeshi rasmi wala polisiπ€Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Yawezekana amekwishaona ubunge kwake litakuwa suala gumu sana kwa wakati ujao, kila njia ya kupata sympathy lazima itumike!Mwongo huyu
Amejitengenezea shambulio