Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi sana kumfuatilia Mtu, labda Kama ni mfanyakazi wa vyombo vya Ulinzi na usalama. Hii habari kwa Mtu kama Wewe wala ulikuwa haupaswi kuileta hapa. Kubali kurekebishwa nashangaa Kuna siku unapost uzi hapa unamuita Lema Nabii wa Mungu n nilikukosoa.Kwanza JF siyo Jukwaa la Chadema , kwahiyo ni halali kupost chochote kuhusu lolote , la pili ni hili , hapa jf hatuleti taarifa ili kutafuta sifa, itakuwa maajabu kutafuta sifa kwa ID FAKE , kingine ni hiki , wewe huna mamlaka ya kupangia watu cha kuandika hapa JF na unapaswa kukoma mara moja kuhusu hilo , hata hivyo tayari nishaanza uchunguzi juu yako na nitakubaini tu .
Mimi sio Chawa Mkuu, huyu Jamaa anajulikana ni Pro Chadema, ambacho huwa kinakera ni uwasilishaji wake wa taarifa ni WA kukurupuka sana. Na ndio maana nimemwambia kama vipi awe ana base kwenye habari za CHADEMA tu. Maana hii habari ya Ole Sendeka kukurupuka tu kuibandika hapa.CHADEMA imeingiaje wewe chawa?
Kaishafanya uchunguzi na majibu yake ndio hayo aliyotoa.Ya nini hiyo kauli ikiwa Polisi wanachunguza?
Mbona unapuyanga sana siku hizi? its too low for u aise....Lema ni nabii kwani hujui?Kazi sana kumfuatilia Mtu, labda Kama ni mfanyakazi wa vyombo vya Ulinzi na usalama. Hii habari kwa Mtu kama Wewe wala ulikuwa haupaswi kuileta hapa. Kubali kurekebishwa nashangaa Kuna siku unapost uzi hapa unamuita Lema Nabii wa Mungu n nilikukosoa.
Yuko sahihiHebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Kwani ulilazimishwa upitie uzi wakeMimi sio Chawa Mkuu, huyu Jamaa anajulikana ni Pro Chadema, ambacho huwa kinakera ni uwasilishaji wake wa taarifa ni WA kukurupuka sana. Na ndio maana nimemwambia kama vipi awe ana base kwenye habari za CHADEMA tu. Maana hii habari ya Ole Sendeka kukurupuka tu kuibandika hapa.
Boss huna kazi ad uanze kuchunguza wenzakoKwanza JF siyo Jukwaa la Chadema , kwahiyo ni halali kupost chochote kuhusu lolote , la pili ni hili , hapa jf hatuleti taarifa ili kutafuta sifa, itakuwa maajabu kutafuta sifa kwa ID FAKE , kingine ni hiki , wewe huna mamlaka ya kupangia watu cha kuandika hapa JF na unapaswa kukoma mara moja kuhusu hilo , hata hivyo tayari nishaanza uchunguzi juu yako na nitakubaini tu .
Huyu mleta mada alisema Lema ni Nabii wa Mungu, Mimi hili nalikataa Lema ni Mwanasiasa/Mfanyabiashara hayo mambo ya Unabii siyajui aisee.Mbona unapuyanga sana siku hizi? its too low for u aise....Lema ni nabii kwani hujui?
Kwa hili la kumwita Lema nabii wa Mungu nakuunga mkono kijana wa kwayu😁 ila ni dada yako huyo alivaa sketi za kijana pale azania miaka fulani,nemda naye polepole itikadi ya CHADEMA imemuharibuKazi sana kumfuatilia Mtu, labda Kama ni mfanyakazi wa vyombo vya Ulinzi na usalama. Hii habari kwa Mtu kama Wewe wala ulikuwa haupaswi kuileta hapa. Kubali kurekebishwa nashangaa Kuna siku unapost uzi hapa unamuita Lema Nabii wa Mungu n nilikukosoa.
Amesema kwamba ana IMANI kwamba serikali ya awamu ya site haihusiki na shambulizi lile.Hebu msome hapa halafu Tafakari
Hawa wazee hata tukiamua kuwasaidia kwa hali hii tunafanyaje ikiwa yeye mwenyewe anadhani ameshambuliwa na Majini?
---
Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haihusiki na kushambuliwa kwa risasi akiwa kwenye gari lake.
Ole Sendeka akizungumza mji mdogo wa Orkesumet leo Jumatatu ya Aprili mosi amesema anaiunga mkono Serikali inayoongozwa na CCM, hivyo haihusiki na jaribio la kutaka kupoteza maisha yake.
"Siwezi kusema CCM imenishambulia kwa risasi, nina imani nayo, hivyo Serikali hii haiwezi kunishambulia kisha niiunge mkono," amesema.
Mwananchi
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Kabisa yaaniEnzi zinaisha
Sisi Wenyewe ni CHADEMA kindaki ndaki na gwanda tumevaa sana lakini haya mahaba kwa huyu mleta uzi yamekuwa too much mpaka kero. Yeah ni Kijana wa Kwayu Red label 2005 😂Kwa hili la kumwita Lema nabii wa Mungu nakuunga mkono kijana wa kwayu😁 ila ni dada yako huyo alivaa sketi za kijana pale azania miaka fulani,nemda naye polepole itikadi ya CHADEMA imemuharibu
lema hawezi kuwa nabii,Kwa sifa zake na matendo yake,lema alitonywa na wahusika wa matukio yote aliyotabiri Kwa kumjua roho yake.Huyu mleta mada alisema Lema ni Nabii wa Mungu, Mimi hili nalikataa Lema ni Mwanasiasa/Mfanyabiashara hayo mambo ya Unabii siyajui aisee.