Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kashambuliwa yeye na kafanya upepelezi yeye, Hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri Sana 🐼kwani ni nani aliyesema alitaka kuuliwa na CCM?
Wewe ukikoswakoswa hapo Ufipa st unaweza kusema Chadema oyeee? 🐼😂Huyu kajipiga mtama mwenyewe
Ova
Bila shakaAu Mzee kutengeneza tukio kwasababu Uchaguzi hauko mbali ati.
😀😀Baba sendeka uliyekoswakoswa ni wewe taarifa ulituletea mwenyewe mbona unatufokea!
Hamjajua tu janja ya ccm? Hili tukio ni la kutengenezwa! Embu kwanza niulize habari za ripoti ya siii ei jiiii imefikia wapi?Yeye ndo majeruhi, yeye ndio polisi, yeye ndio hakimu.....
Basi sawa, itoshe kusema mlengaji hana shabaha
Na utakuwa huna akili kweli umetengeza igizo la kitoto kabisa hiliMbunge wa Simanjiro mh Ole sendeka amesema waliotaka kumuuwa siyo Serikali ya Rais Samia wala CCM Watanzania waelewe hivyo
" Kwani Mimi sina akili eti Serikali ya Rais Samia itake kuniua halafu nisimame mbele yenu niseme CCM oyee?"
Source: Ayo TV
Mlale Unono [emoji3][emoji3]