Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sendeka alikoswakoswa Lumumba street?Wewe ukikoswakoswa hapo Ufipa st unaweza kusema Chadema oyeee? 🐼😂
Hajakoswakoswa Lumumba st ndio sababu anasema CCM OyeeeeeKwani sendeka alikoswakoswa Lumumba street?
Huyu Sendeka nae ni mzushi na msanii tu anaetafuta millage. Kama kweli alishambuliwa na hajui aliyefanya hivyo, kwann anaconclude kuwa si serikali wala CCM? Atuambie aliyemshambulia ni nani, anataka kuiingilia polisi hisifanye kazi yake?Mbunge wa Simanjiro mh Ole sendeka amesema waliotaka kumuuwa siyo Serikali ya Rais Samia wala CCM Watanzania waelewe hivyo
" Kwani Mimi sina akili eti Serikali ya Rais Samia itake kuniua halafu nisimame mbele yenu niseme CCM oyee?"
Source: Ayo TV
Mlale Unono [emoji3][emoji3]
Huyu Profesa Mhongo alituambia kapata Div 0 yaani sifuri kabisaaaMbunge wa Simanjiro mh Ole sendeka amesema waliotaka kumuuwa siyo Serikali ya Rais Samia wala CCM Watanzania waelewe hivyo
" Kwani Mimi sina akili eti Serikali ya Rais Samia itake kuniua halafu nisimame mbele yenu niseme CCM oyee?"
Source: Ayo TV
Mlale Unono 😀😀
Usishangae hatimaye akiwaangushia CHADEMA zigo. Nchi hii sasa imejaa kila aina ya umafia, toka juu kabisa hadi kwa kina hohehahe tunaowaona humu humu JF siku hizi. Nchi imegeuka kuwa ya kitapeli, uongo mwingi na hadaa chungu nzima.Kabisa yaani !