Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

Mbunge wa Simanjiro mh Ole sendeka amesema waliotaka kumuuwa siyo Serikali ya Rais Samia wala CCM Watanzania waelewe hivyo

" Kwani Mimi sina akili eti Serikali ya Rais Samia itake kuniua halafu nisimame mbele yenu niseme CCM oyee?"

Source: Ayo TV

Mlale Unono [emoji3][emoji3]
Huyu Sendeka nae ni mzushi na msanii tu anaetafuta millage. Kama kweli alishambuliwa na hajui aliyefanya hivyo, kwann anaconclude kuwa si serikali wala CCM? Atuambie aliyemshambulia ni nani, anataka kuiingilia polisi hisifanye kazi yake?
 
Mbunge wa Simanjiro mh Ole sendeka amesema waliotaka kumuuwa siyo Serikali ya Rais Samia wala CCM Watanzania waelewe hivyo

" Kwani Mimi sina akili eti Serikali ya Rais Samia itake kuniua halafu nisimame mbele yenu niseme CCM oyee?"

Source: Ayo TV

Mlale Unono 😀😀
Huyu Profesa Mhongo alituambia kapata Div 0 yaani sifuri kabisaaa
 
Kabisa yaani !
Usishangae hatimaye akiwaangushia CHADEMA zigo. Nchi hii sasa imejaa kila aina ya umafia, toka juu kabisa hadi kwa kina hohehahe tunaowaona humu humu JF siku hizi. Nchi imegeuka kuwa ya kitapeli, uongo mwingi na hadaa chungu nzima.
Hata watu uliodhana hawawezi kuhadaiwa, sasa tunawaona wakihaha kujivua uchafu uliowanasa na kuwaharibia heshima zao nyingi walizokuwa wamejijengea kwa gharama kubwa!
 
Huenda aliratibu mwenyewe Hilo Shambulio..
 
Back
Top Bottom