Uchaguzi 2020 Je, Tundu Lissu anaendelea na kampeni?

SPANA ZINAWAINGIA SAWASAWA
 
Hapa ni Nachingwea, kusini mwa Tanzania. Hawaitaki kabisa takataka iitwayo Meko.
Your browser is not able to display this video.
 
Umeandika nini hiki ambacho hakina main theme?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hicho kinachoitwa adhabu aliyopewa na Tume, ni ujinga mtupu. Ndiyo maana hata ile kamati ya mambo ya nchi za nje ya senate kule US, wameiita bogus punishment.

Ile adhabu ni ya kijinga, na walioitoa ni wajinga pia. Ni wachumia tumbo, watu wanafiki, waliohaa roho za kishetani maana kila wanachokifanya kina nia ovu, na uovu ndiyo baba wa ibilisi.

Kama siyo upumbavu, ni nini? Unaenda kumpa adhabu eti unayesema amesema uwongo lakini huthubutu hata kukemea mtu anayefanya kampeni zenye misingi ya ubaguzi wa kikabila na kikanda. Mtu anayetamka wazi mbele ya watu kuwa amekuwa akiwaongoza watu kwa kuwabagua, na akichaguliwa atawabagua watu. Ni kosa linalozidi hili la mtu kuwa mbaguzi na ilihali aliapa kuwa atawaongoza watanzania wote bila ubaguzi?

Kutokana na ubaguzi alionao, kutokana na kuwateka, kuwaua na kuwapoteza watu, nasema yalifanyika makosa makubwa mwaka 2015. Kosa siyo kufanya kosa bali ni kurudia kosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Usitupotezee muda tuko busy sana, kaa ulivyo wanaojua tunajua hatuhitaji uchambuzi mbuzi hapa we are very busy, subiri 28/10/2020 utaelewa!
 
Kuna jambo kubwa linapangwa sirini dhidi ya wapinzani wenye nguvu hasa Tundu A. Lissu...
ccm, tanpol, tume, tiss, serikali, wakurugenzi, msajili wa vyama kwa uchache wanahusika kwenye usiri huo
Lissu ana akili sana. 1 Lissu = 1,000,000 CCMs!
 
Mbona vijana wa ccm wanazidi kuwehuka namna hii?

Si heri babaako angemwaga nje tu
 
Usitupotezee muda tuko busy sana, kaa ulivyo wanaojua tunajua hatuhitaji uchambuzi mbuzi hapa we are very busy, subiri 28/10/2020 utaelewa!
Uchambuzi ni muhimu sana katika kutu wezesha kufanya maamuzi sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…