Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Wenye uelewa finyu wa mambo na watu dhaifu ndio wenye kumhofia na kuamua kumpakaza kama wewe lakini ambao wako honest wanahitaji mtu mwenye kunyoosha mambo kama Trump na sio wanafiki.
Kaka sisi tuna akili zetu, tunajua tunataka nn na tunakataa nn. Lissu hapaswi kutusemea sisi bila sisi kumtuma atusemee. Kule Kenya tunawasifu Wana katiba nzuri lakini Bado wanalalamika mambo ya utekaji watu yamekidhili. Katiba ni jambo Moja lakini uwadilifu kwenye uongozi ni jambo lingine. Democracy hakuna hata ulaya na Marekani, wote tunalalamikia watawala na wanasiasa wetu.
 
Kabisa .
Inaonekana ako na husuda kali sana ambayo ni hatari kwa afya yake.
Kaka mm ni mtu anataka mageuzi kuliko wewe pengine. Lakini mageuzi yetu yataletwa na wakati sio mtu kama Lissu au Mbowe au kikundi. Wakati ukifika mageuzi hayatazuilika.

Kwanini? Watanzania Wana nafuu kwenye Kila kitu chao (amani, utulivu, malazi, matibabu, chakula, shule, barabara, usafiri, bamdari , ardhi, fursa) kuliko majirani wetu wanaotuzinguuka. Hatujutii Bado kuwa hivi tulivyo sasa.

Mbowe, Lissu, mtikila na wengine walipigwa na kutiwa mahabusu kwa siku kadhaa lakini hakukuwa na nguvu ya umma iliyowatetea kuonyesha kuwa umma haujawa tayari kukumbatia mageuzi na wanamageuzi; muda bado, muda bado muda bado kabisa kwakuwa watanzania Bado Wanazo options nyingi kuliko majirani zao Kenya. Hapa kwetu kiongozi wa upinzani atategemea utetezi wa wazungu zaidi kuliko umma wa watanzania pale mambo yake yatakapomwendea vibaya kisiasa.

Kifupi watanzania hawataki vurugu za kisasa Bado, maana wanavyo vingi vya kupoteza; they have properties to safeguard.

Kama mtu haamini maneno yangu Hebu ajaribu kuitisha maandamano aone wangapi watahidhiria na wangapi wako tayari kusogelea bomu za machozi.

Tusidanganyane, Lissu na familia yake wote Wanazo passport za kusafiria na kuishi ubelgiji bila shida, na watoto wake inawezekana kuwa hawako Tanzania kabisa.

Lissu atasababisha chadema kifutwe kwenye daftari la msajili wa vyama kwasababu zitakazotolewa na ofisi ya msajili na kusiwe na cha kufanya. JPM alisitisha shuguli zote za vyama vyoooote vya siasa na sikuona nguvu ya umma iliyopinga sembuse chadema TU.?
 
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Tundu Lisu hana insight! Anataka siasa za mshikemshike sio dialogue. Chadema sio chama cha mshikemshike tangu kuanzishwa kwake. Lissu lazima afahamu tofauti za kati chama cha siasa cha mrengo wa kuria, mrengo wa kati na mrengo wa kushoto. Chadema ni cha mrengo wa kati kushoto sio cha mrengo wa kulia kama Likud cha netanyahu, republican cha Trump, DP cha Mtikila.au kile cha Farage kule Uingereza.

Kama anataka siasa za mshikemshike kama Netanyahu lazima aanzishe chama chake cha mrengo wa kulia,

K
 
Vijana wanaoingia chadema lazima wapewe elimu/semina kuhusu chama cha chadema; muundo, miiko, maadili, na wajibu wao,
 
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Sala yenu imejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
 
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Sala zenu zimejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
 
Sala yenu imejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Itakuwa kama
Sala zenu zimejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Kwani Frelimo imekuaje, Lissu atakuwa kama Mondulane?
 
Sala yenu imejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Inawezekana Mungu katuletea Joshua wetu. CCM hawana hofu ya kuiba kura waziwazi na wanasema mpaka wanavyoiba bila kuogopa.
 
Hili ni bandiko la chuki?.
P
Chuki haijengi na haisaidii. Tunaongea facts, na fact inaonekana moyoni, machoni na maskioni na wakati mwingine hata puani kwa kunusa na ulimini kwa kuonja.

Kashakuwa mwenyewekiti wetu, haya tuone sasa!!
 
Lissu anafaa kuwa rais wa dunia vinginevyo
Tunamsubiri atueleze namna Tanzania itakavyokuwa tofauti kimaendeleo na nchi nyingine za Afrika ya weusi. Atakavyopata fedha, na masoko huru ya kuuza bidhaa zetu. Atakavyoweza kuboresha elimu, kilimo, afya, uchukuzi, nishati, ufugaji na uvuvi tofauti na anavyofanya Samia. Tunamsubiri alete sera za cdm ambazo ni tofauti sana na Mbowe.

Yeye hataki dialogue kama Mbowe, ni muumini wa siasa za mshikemshike kama zile za M23 kule DRC zilizowaleta sadc na eac countries hapa Tanzania.
 
HAFAI! NIULIZE KWA NINI? Nimtu wavisasi japo alikuwa akimsema Magufuli pia ni mtu Asiyekuwa na shukrani yeye MADARAKA KWANZA UTU BAADAE! SISEMI MENGI ILA Pascal Mayalla Katika uzi nyingi kaelezea mazuri na mapungufu kimsigi naunga hoja maelezo ya ndugu yangu hapa! Msingi ni kwamba Mama wasaidizi wake wamshauri vizuri na nchi itakua kiuchumi bila kuwa na wasiwasi wakuweka magar ya delaya barabarani kama yale juzi yalikuwa kila mahali wakati wa mkutano wa wakuu wanchi wanachama wa SADC! Ilo tu! Mind you siyo kila kitu tuwe na mtizamo sawa!
 
Back
Top Bottom