Kaka sisi tuna akili zetu, tunajua tunataka nn na tunakataa nn. Lissu hapaswi kutusemea sisi bila sisi kumtuma atusemee. Kule Kenya tunawasifu Wana katiba nzuri lakini Bado wanalalamika mambo ya utekaji watu yamekidhili. Katiba ni jambo Moja lakini uwadilifu kwenye uongozi ni jambo lingine. Democracy hakuna hata ulaya na Marekani, wote tunalalamikia watawala na wanasiasa wetu.Wenye uelewa finyu wa mambo na watu dhaifu ndio wenye kumhofia na kuamua kumpakaza kama wewe lakini ambao wako honest wanahitaji mtu mwenye kunyoosha mambo kama Trump na sio wanafiki.
NI msimu wa maembe, kula maembe uka bet. Hata Marekani umeme hautoshi, sembuse SASA wapi ambako hakuna umeme ?
Kaka mm ni mtu anataka mageuzi kuliko wewe pengine. Lakini mageuzi yetu yataletwa na wakati sio mtu kama Lissu au Mbowe au kikundi. Wakati ukifika mageuzi hayatazuilika.Kabisa .
Inaonekana ako na husuda kali sana ambayo ni hatari kwa afya yake.
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.Anazo zote na za ziada!, na ndio maana uchaguzi wa 2020 tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Ila kwa uchaguzi wa 2025, niliwaomba Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo iwapo CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, TL asigombee maana itakuwa ni aibu kushindwa na Mwanamke!, hivyo nimeshauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
Unless kama sauti hii ni yake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke then TL agombee, wapambane!.
P
Tundu Lisu hana insight! Anataka siasa za mshikemshike sio dialogue. Chadema sio chama cha mshikemshike tangu kuanzishwa kwake. Lissu lazima afahamu tofauti za kati chama cha siasa cha mrengo wa kuria, mrengo wa kati na mrengo wa kushoto. Chadema ni cha mrengo wa kati kushoto sio cha mrengo wa kulia kama Likud cha netanyahu, republican cha Trump, DP cha Mtikila.au kile cha Farage kule Uingereza.Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Ndio Yeye yaan To Yeye to To GodTuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Sala yenu imejibu!.Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Sala zenu zimejibu!.Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P
Itakuwa kamaSala yenu imejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Kwani Frelimo imekuaje, Lissu atakuwa kama Mondulane?Sala zenu zimejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Inawezekana Mungu katuletea Joshua wetu. CCM hawana hofu ya kuiba kura waziwazi na wanasema mpaka wanavyoiba bila kuogopa.Sala yenu imejibu!.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
Anazo zote na za ziada!, na ndio maana uchaguzi wa 2020 tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Hili ni bandiko la chuki?.Nyie wazee wa JF wengi mna chuki na Lissu shida nini??
HafaiRais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Chuki haijengi na haisaidii. Tunaongea facts, na fact inaonekana moyoni, machoni na maskioni na wakati mwingine hata puani kwa kunusa na ulimini kwa kuonja.Hili ni bandiko la chuki?.
P
Tunamsubiri atueleze namna Tanzania itakavyokuwa tofauti kimaendeleo na nchi nyingine za Afrika ya weusi. Atakavyopata fedha, na masoko huru ya kuuza bidhaa zetu. Atakavyoweza kuboresha elimu, kilimo, afya, uchukuzi, nishati, ufugaji na uvuvi tofauti na anavyofanya Samia. Tunamsubiri alete sera za cdm ambazo ni tofauti sana na Mbowe.Lissu anafaa kuwa rais wa dunia vinginevyo
Haya ni malalamiko TU, hajatwambia yeye atafanya nini cdm ikishika dola kwenye Kodi, masoko, kilimo, ardhi, nk.Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
P