johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #201
Bado sana!inamaana hawajajiandaa kuchukua nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sana!inamaana hawajajiandaa kuchukua nchi?
Huyu hata akigombea mwaka 3000 hashindiNajiuliza tu kama CHADEMA wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lissu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
swa mkuu lakini nasikia Tundu Lisu anataka kuhamia CCM kuna wafuasi wake kule amabao ni siri kubwa.Bado sana!
Nilijiunga na Chadema mwaka 1993 pale kisutu majamatini kwa mzee Ndesamburo.
Nikagundua wanatumia katiba ya Nccr mageuzi hivyo 1994 nikaenda Nccr bwashee.
Mtei, Ndesamburo, Ngaiza, Bob Makani na Tuntemeke Sanga waliunda Chadema kama Club ya mabwanyenye siyo kwa ajili ya siasa za kiuongozi ndio maana hawakuwa na muda wa kutengeneza katiba walicopy na kupaste ile ya Nccr
CCM ni chama bora kabisa cha siasa hata kama kinapungukiwa watu bora.