Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Chonde chonde ya chaani wako?Chonde chonde mwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chonde chonde ya chaani wako?Chonde chonde mwepo
Akikujibu chinja bata ufurahie maishaMeko yuko wapi bwashee?
Vizuri sana...ila mmepata kuelewa somo the hardest wayMbona hata Sumaye analijua hilo akatoka nduki Ufipa asije kuvunjwa miguu na mkaza mwana!
Usitutishe.Najiuliza tu kama CHADEMA wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lissu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Aaaaah wapiiiiii !!!!!!2025 Hakuta kuwa na uchaguzi maana katiba itabadilishwa na
Akina ndugai kwahiyo mawazo uchaguzi futa kabaisa mzee wa lockdown ataapishwa kuwa rais wa maisha.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
OkWatanzania wanafki sana mm nawazoom tu sasa hivi tunajifanya tunaupendo na jiwe lakn siku ikitangazwa jini mkata kamba kapita hilo shangwe lake sio la nchi hii moyon tunamamivu uson tunafraha tatiz ndio linaanzia hapo tofaut na JK alipoenda kufanyiwa upasuaj wa tezi dume
Mlizani mlipokuwa mnazila zila kuhudhuria vikao muhimu vya bunge itawapa credit?ndo kwanza mlikuwa mnajiharibia.watanzania hawakuwatuma muende bungeni muwe mnatorokatoroka vikao vya bunge.Wananchi wanataka siasa za hoja sio kukimbia bunge,na vurugu hamkutumwa hayo na wananchi.Wananchi wamewapa adhani inayoendana na akili zenu,kaeni pembeni kwanza watu wapige kazi.Mbunge wenu mmoja anatosha kabisaa kuwa wakilisha maana the least hamjielewi mlienda bungeni kumuwakilisha Nani.Hamkuwa serious badala ya kuwawakilisha wananchi na changamoto zao,mkaanza kumuwakilisha mbowe na tundu,na magenge yao ya majambazi.Kaeni pembeni ili akili zenu ziwarudie.
Sumu haionjwi by Sumaye!Majibu ya uchunguzi wa sumu ya Mangula unayo ? ukipewa utagundua kwamba ndani ya ccm wewe ni dagaa mchele
Unataka umfanyeje? Ni siri ya chama ...Najiuliza tu kama CHADEMA wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lissu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema ina wabunge 20!Hakuna bunge Tanzania, bali kuna kundi la wahuni wa ccm ndani ya jengo la bunge la Tanzania. Watanzania wa kweli hata kwenye huo uchaguzi wenyewe waliuupuuza. Na kwa taarifa yako ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Chadema ina wabunge 20!
Nyarandu angeweza ku finance kampeni ila Lisu alichemka bwashee.Kwa akili yako unadhani magufuli ndo alitoa pesa za vipeperushi na gharama za mafuta ya kuzungukia nchi nzima?
Ni vile hujui mzuka tulio nao na Lissu mimi ni mdogo Sana na uchumi usio stable Sana lakini nilijitolea diesel Lita zaidi ya 2000 na cash tsh. 3.3 mil. Je wenye hela zao na wana mzuka kama wangu au zaidi watatoa tsh ngapi?Nyarandu angeweza ku finance kampeni ila Lisu alichemka bwashee.
Lisu ni mzigo hana pesa za kampeni Mbowe mwenye chama awezi kubali tena kubeba zigo kwa mara ya pili.
Watu wa CCM Lowasa na Turkey R.I.P ndo walidhamini show.Ni vile hujui mzuka tulio nao na Lissu mimi ni mdogo Sana na uchumi usio stable Sana lakini nilijitolea diesel Lita zaidi ya 2000 na cash tsh. 3.3 mil. Je wenye hela zao na wana mzuka kama wangu au zaidi watatoa tsh ngapi?
Fikiria matibabu Kenya alikaa zaidi ya 4 months na kila siku kitanda pekee ni more than 2 mil bado matibabu akachukuliwa hadi Belgium akatibiwa muda mrefu Sana wakati huo kafukuzwa ubunge na serikali imegoma kumgharamia unadhani ni nani alitoa?
Labda hujui lakini watu tunaweza uza hadi bata ili kumsapoti.
Watu wa CCM Lowasa na Turkey R.I.P ndo walidhamini show.
Dah...ulijuaje?Huko mbali sana
Acha upuuzi wako tuko kwenye maombolezoNajiuliza tu kama CHADEMA wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lissu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
inamaana hawajajiandaa kuchukua nchi?Chadema hii hii isiyo na jengo la makao makuu kwa miaka 30?