minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Wanapiga pesa zote kwani wanajua uchaguzi mwakani tu 2022CCM wameanza kuweweseka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapiga pesa zote kwani wanajua uchaguzi mwakani tu 2022CCM wameanza kuweweseka
Acha utani mkuu unasema kwel?Dikteta yupo hoi ni wakugeuza
Historia si unaijua lakini!Marais wanaotokana na chama Cha wananchi ,ccm kwa kawaida wanakaa misimu mingapi!Rudi kwenye historia nadhani ,huo usingizi utakutoka mkuu.Mbali sana huko na hata wewe unalijua hilo
Wananchi walichagua wabunge wengi wa chadema na upinzani lakini wakurugenziccm Tumeccm Polisiccm wakawasimika wabunge wa CCM kwa njia haramu za kishetani , moyoni wanajua upinzani ulishinda ingawa machoni mnajidai kushindaHuyu alikuta wabunge 70+ kaacha mmoja, Sasa kukuta 1 ataacha Nini?
Hata 2020 mlisema kwamba hawezi kurudi lakini mnajua kilichotokea.Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Na huko mnakohamishia ,uchumi hakuna!corona imefanya yake.mtarudi tu.Kitendo Cha ww kuhamisha ,unapunguza competition watu wanapiga kazi.acheni uoga pambana.Tuna Hamisha mitaji wewe anaye jua ana jua tu!
Akili ya kuzaliwa huwezi kuihujumu tambua ilo kwanza!
Utajua ha mjue mda ni mwalimu mzuri!
Historia imebadilika sasa hata Doto magufuli kaanza kuchukua chake mapema huko BOT maana amejua mwakani kuna uchaguzi na endapo utaingia utawala mwingine lazima atolewe kafara hapo wizara ya fedhaHistoria si unaijua lakini!Marais wanaotokana na chama Cha wananchi ,ccm kwa kawaida wanakaa misimu mingapi!Rudi kwenye historia nadhani ,huo usingizi utakutoka mkuu.
Sure mkuu lakini ataponaAcha utani mkuu unasema kwel?
Mpaka Sasa huyu mtz mwenzetu tunamashaka nae.maana huwezi pewa cheo,ambacho huwezi kukimudu.tumedhalilishwa Sana na huyu mtz mwenzetu tundu.The great aliyepewa cheo cha kutetea mashoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] the great
Hatari sana.Historia imebadilika sasa hata Doto magufuli kaanza kuchukua chake mapema huko BOT maana amejua mwakani kuna uchaguzi na endapo utaingia utawala mwingine lazima atolewe kafara hapo wizara ya fedha
Ya Lissu tuyaache; sasa hivi Taifa lipo kwemye taharuku alipo rais wa Jamhuri yetu.. siku ya 18 leo kimyaa!!Najiuliza tu kama CHADEMA wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lissu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Huko mbali sana
Anafanyaje hapoKwangu mimi Lissu hana credibility. Yaani nimemshusha kipindi hiki cha issue ya Magufuli. Yaani anaandika uzushi mtandaoni. Mara Magu yupo Nairobi mara India,wakati Magu yupo hapo Mzena Kijitonyama.
The great aliyepewa cheo cha kutetea mashoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] the great
In two weeks subirini mtamuona tena,anatibiwa Corona.Anafanyaje hapo
Watanzania wanafki sana mm nawazoom tu sasa hivi tunajifanya tunaupendo na jiwe lakn siku ikitangazwa jini mkata kamba kapita hilo shangwe lake sio la nchi hii moyon tunamamivu uson tunafraha tatiz ndio linaanzia hapo tofaut na JK alipoenda kufanyiwa upasuaj wa tezi dumeSure mkuu lakini atapona
Na bado kujenga wameshindwa! pamoja na kupewa msaada wa kupangishwa bure.Mwenyewe ni mjane wa Bob Makani Chadema wanakaa bure!
Hata nkurunzinza si alitibiwa NairobiIn two weeks subirini mtamuona tena,anatibiwa Corona.