minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mwakani 20222025 mbali sana. TL to become president by 2023.
Mark this post!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani 20222025 mbali sana. TL to become president by 2023.
Mark this post!
Getoni kwa asmterdam labda, huko ndio atakuwa rais2025 mbali sana. TL to become president by 2023.
Mark this post!
Uhuni unao wewe binafsi usiyejua kuwa kama siyo Bashite na akina Le mutuz cyprian Musiba kwenda Dodoma kumpiga risasi mda huu asingekuwa huko ubelgiji, bila njama zako za kutaka kumuua hakika Lisu asingekuwa huko alipo sasaPorojo zako hizi haziondoi uhuni wa huyo mbelgiji
Kwa hichi kichambo huko alipo atakuwa anaugulia maumivu!Wewe ndiyo debe tupu uhuni wako ndiyo umekukosesha uteuzi, kama Lisu angekuwa hivyo CCM wasingekuwa wanatumia mabilioni kumwangamiza kuanzia kumbambikia kesi, kumpiga risasi mpaka kumpora kura uchakachuaji wa njia haramu za kishetani, wewe huna Ubongo unawezaje kujua debe tupu?
Huko alienda mwenyewe? Kama wewe usingetaka kumuua kumbambikia kesi kesi za uonevu angefikaje huko?Getoni kwa asmterdam labda, huko ndio atakuwa rais
2022 ni uchaguzi wa ndani wa chama!Uchaguzi ni mwakani 2022 huko 25 ni Mbati sana
Kwahiyo alipokuwa anataka urais angeongoza tz kutokea ubelgiji?Uhuni unao wewe binafsi usiyejua kuwa kama siyo Bashite na akina Le mutuz cyprian Musiba kwenda Dodoma kumpiga risasi mda huu asingekuwa huko ubelgiji, bila njama zako za kutaka kumuua hakika Lisu asingekuwa huko alipo sasa
Mwingulu Nchemba alimshauri waache kutumia barakoa vitakasa mikono na aendelee kusalimiana na watu kwa kushikana mikono, endapo atakwenda itabidi wananchi kuandamana kwenda nyumbani kwa mwingulu Nchemba kudai alitoa wapi mamlaka ya kuzuia Tanzania kutoa takwimu za watu wanaokufa kwa Coronachuma kimeyeyuka kama soldering wire [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], korona haijawah kudanganya kudadeki.
Sijui atashukia KIA?Badala umuombee Bakayoko Afya Njema wewe unaleta taharuki.
Bwashee weka kiporo swali lako angalau uliulize 2024. Sasa ni mapema sana. Hujui kama atakuwepo. Yule bwana aliamini atakuwepo 2025 lakini tayari ameisha -RIP!Huko mbali sana
naskia mwenye nalo alitaka kuuza Hilo banda baada ya kuona chadema,wanamzingua kusaini mkataba mpya wa Kodi ya kupangisha.Tsh 85 millions!
Uchaguzi ni 2022Bwashee weka kiporo swali lako angalau uliulize 2024. Sasa ni mapema sana. Hujui kama atakuwepo. Yule bwana aliamini atakuwepo 2025 lakini tayari ameisha -RIP!
Lissu anadai Mzee Bakayoko kapata stroke na cov19 na kiuno kimeshake. Ebu thibitisha au ni wivu tu wa Lissu dhidi ya Yesu wa Lugola.Sijui atashukia KIA?
Maana Dar es salaam Lisu hawamtaki kabisa!
AiseeeeeeeKwani karasi tayari? Hata hivyo hatuwezi kuchagua tena!
Jumuia za kimataifa zitapiga kelele endapo CCM watakuja na huo ujingaAnaweza kuwekewa pingamizi kuwa hana makazi Tanzania bali ni mkimbizi anayeshi nje. Kulingana National elections Act, Cap 343 ya mwaka 2010 Section 11-(1)(d), 12-(2), 15-(1) na 15-(5), kuna kila dalili kuwa mwaka 2025 Lissu hatokuwa kwenye dafatri la wapiga kura likishafanyiwa review mbili zinazotakiwa unless apige maneuver kali. Kwa hiyo kutokuwa na sifa za kupiga kura kutamnyima sifa za kuwa mbunge, jambo ambalo litamkosesha sifa ya kuwa rais kwa mujibu wa katiba vifungu 67-(2)(h) na 36-(1)(d).
Hivi kuna uhakika hapo?Bwashee weka kiporo swali lako angalau uliulize 2024. Sasa ni mapema sana. Hujui kama atakuwepo. Yule bwana aliamini atakuwepo 2025 lakini tayari ameisha -RIP!
Hiyo ndiyo furaha yako,hivyo cheka unenepenaskia mwenye nalo alitaka kuuza Hilo banda baada ya kuona chadema,wanamzingua kusaini mkataba mpya wa Kodi ya kupangisha.
Hata huyo Lugola akiwa Bar mitaani humsengenya magufuli kuliko binadamu yeyote bora hata akila Lisu wao ni kumkosoa kawaida kawaida tuLissu anadai Mzee Bakayoko kapata stroke na cov19 na kiuno kimeshake. Ebu thibitisha au ni wivu tu wa Lissu dhidi ya Yesu wa Lugola.
Ushamfukuza jamviniLissu anadai Mzee Bakayoko kapata stroke na cov19 na kiuno kimeshake. Ebu thibitisha au ni wivu tu wa Lissu dhidi ya Yesu wa Lugola.