johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Hahahaaaa..... Watu wana hasira naye kinoma!Shaba tu.
Labda Uje mzimu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa..... Watu wana hasira naye kinoma!Shaba tu.
Labda Uje mzimu wake
Sodoma ateketezwe tu.Hahahaaaa..... Watu wana hasira naye kinoma!
"Rahisi" yuko wapi? Puuzeni habari za kutokuvaa barakoa, mtaisha huko Lumumba.Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Mpira wa kona!Punguza mzuka
Kama siyo Tumeccm wakurugenziccm Polisiccm Uhamiajiccm kufanya uchakachuaji mda huu Tundu lisu angekuwa yupo ikuluNajiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Badala umuombee Bakayoko Afya Njema wewe unaleta taharuki.Mpira wa kona!
Uchaguzi ni 2022 keshokutwa tuMbona 2025 ni mbali?
Kwahiyo Chadema mmekubali yaishe!!!johnthebaptist si tulishakubaliana 2025 ni mitano tena?
Uchaguzi ni mwaka 2022johnthebaptist si tulishakubaliana 2025 ni mitano tena?
Uchaguzi ni mwakani 2022 huko 25 ni Mbati sanaKwahiyo Chadema mmekubali yaishe!!!
Uchaguzi keshokutwa tu 20222025 Hakuta kuwa na uchaguzi maana katiba itabadilishwa na
Akina ndugai kwahiyo mawazo uchaguzi futa kabaisa mzee wa lockdown ataapishwa kuwa rais wa maisha.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu! Eti yule mgombea wenu na aliyemshinda Lissu kwa kishindo, hivi yuko wapi? Sijamuona, wala kumsikia mahali popote pale siku hizi za karibuni!!Lisu ni debe tupu! Hawezi hata kushindana na mwenyekiti wa kijiji akashinda,
Kwa sasa Lisu kaungana na wahuni kuwa mhuni
Kwani kwa utaratibu muda huu anatakiwa kuwa wapi?Samahani mkuu! Eti yule mgombea wenu na aliyemshinda Lissu kwa kishindo, hivi yuko wapi? Sijamuona, wala kumsikia mahali popote pale siku hizi za karibuni!!
Isije ikawa amepotezwa na watu wasio julikana!! Una fununu zozote juu ya alipo?
Wewe ndiyo debe tupu uhuni wako ndiyo umekukosesha uteuzi, kama Lisu angekuwa hivyo CCM wasingekuwa wanatumia mabilioni kumwangamiza kuanzia kumbambikia kesi, kumpiga risasi mpaka kumpora kura uchakachuaji wa njia haramu za kishetani, wewe huna Ubongo unawezaje kujua debe tupu?Lisu ni debe tupu! Hawezi hata kushindana na mwenyekiti wa kijiji akashinda,
Kwa sasa Lisu kaungana na wahuni kuwa mhuni
2025 mbali sana. TL to become president by 2023.Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Hata kuwatesa wafanyabiashara kuwabambikia kodi, kufunga biashara zao account zao kuwapora pesa zao mali zao kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi utakatishaji fedha navyo ni sehemu ya vilio vinavyoitafuna CCM kwa sasaHayo ni maneno tu hakuna asiye na haki ya kuishi tamaa mwisho wake mbaya!
Maombi ya watu na vilio vya watu havita kwenda bure!
Kudhuru watu sio njia ya kujipatia maendeleo ni njia ya kujitafutia laana!
Porojo zako hizi haziondoi uhuni wa huyo mbelgijiWewe ndiyo debe tupu uhuni wako ndiyo umekukosesha uteuzi, kama Lisu angekuwa hivyo CCM wasingekuwa wanatumia mabilioni kumwangamiza kuanzia kumbambikia kesi, kumpiga risasi mpaka kumpora kura uchakachuaji wa njia haramu za kishetani, wewe huna Ubongo unawezaje kujua debe tupu?