Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2025 Hakuta kuwa na uchaguzi maana katiba itabadilishwa na
Akina ndugai kwahiyo mawazo uchaguzi futa kabaisa mzee wa lockdown ataapishwa kuwa rais wa maisha.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
We ni mwehuHata hao ccm ni vile tu yanabebwa na NEC+police+TISS
Tofauti na hapo
Linachukiwa sana hilo chama hapa Tanzania
Sema Lisu ni muoga hawezi kurudi nchini.
Yule Bobi Wine wa Uganda ndio jasiri!
Mungu Bwana dah kweli hakuna ajuwaye kesho yake Lissu yupo anakunywa juisi kwa mrija dah.Aliyetaka kumuua yeye ndiyo anahali mbaya kuliko
Katrobas ni mtoto mdogo sana kwenye hii ishu. Tunamtaka mzee mwenyewe. Atoe tamko. Uvumilivu ukitushinda, tutagawana fito.Mambo ya madaraja kazini muone Patrobas Katambi atakusaidia, hilo ni eneo lake pia!
Sumu haionjwi waulize wafuasi wa Chacha Wangwe!Mlitaka kumtanguliza kuzimu Mungu acha aitwe Mungu lakini ya risasi itawatafuna!
duuuh jamaa kakubali kina jiwe sio bora aisee, kajificha wapi bangosha, hata akae mwaka mzima yupo kwene coma tutauliza mpaka waseme ukweli, nchi inaendeshwa kama gheto la watu wa CCM.Nilijiunga na Chadema mwaka 1993 pale kisutu majamatini kwa mzee Ndesamburo....
Kama mmeshindwa kugawana fito na Halima James Mdee na kuishia " kukaimisha" nafasi yake badala ya kuchagua mtu mwingine ndio mtaiweza serikali kweli?Katrobas ni mtoto mdogo sana kwenye hii ishu. Tunamtaka mzee mwenyewe. Atoe tamko. Uvumilivu ukitushinda, tutagawana fito.
Yule Lissu siyo binadamu wa kawaida. Huwezi kupona kirahisi kwa risasi zote zile! Huku wabaya wake muda huu wako mahututi kwa sababu ya kamdudu tu kanako itwa Coona!!! Halafu alivyo mbabe, mwaka jana kaja na kuwanyoosha Maccm vilivyo kiasi cha kupoteana dakika za majeruhi!Mungu Bwana dah kweli hakuna ajuwaye kesho yake Lissu yupo anakunywa juisi kwa mrija dah.
Akiwa na afya tele
Mwenyewe unaishi kwenye magofu ya CCM miaka yoteNataka kununua lile banda la mjane wa Bob Makani pale Ufipa hivyo Chadema mjiandae kuhamia Moshi nyumbani kwa Ndesamburo!
Dikteta yupo hoi ni wakugeuzaMungu Bwana dah kweli hakuna ajuwaye kesho yake Lissu yupo anakunywa juisi kwa mrija dah.
Akiwa na afya tele
Hayo ni maneno tu hakuna asiye na haki ya kuishi tamaa mwisho wake mbaya!Sumu haionjwi waulize wafuasi wa Chacha Wangwe!
Sumaye alitoka nduki.
Hahahaaa Mnyika ajiandae kuhamia Moshi au ajiunge TLP pale Jogoo house!Mwenyewe unaishi kwenye magofu ya CCM miaka yote
Kila muotesha pili pili huvuna pili pili hawezi vuna nanasiDikteta yupo hoi ni wakugeuza
Wana semaga Mungu na watu wake!Yule Lissu siyo binadamu wa kawaida. Huwezi kupona kirahisi kwa risasi zote zile! Huku wabaya wake muda huu wako mahututi kwa sababu ya kamdudu tu kanako itwa Coona!!! Halafu alivyo mbabe, mwaka jana kaja na kuwanyoosha Maccm vilivyo kiasi cha kupoteana dakika za majeruhi!...
Moshi kuzuri ndiyo maana mwenyekiti wako anapachukia sn akiangalia alikotoka zimejaa nyumba za tembeHahahaaaa...... Mnyika ajiandae kuhamia Moshi au ajiunge TLP pale Jogoo house!
Nifundisho kwa madikteta wengineKila muotesha pili pili huvuna pili pili hawezi vuna nanasi
Haya mjiandae kumpokea Mnyika anakuja na mizigo ya chama kwa treni!Moshi kuzuri ndiyo maana mwenyekiti wako anapachukia sn akiangalia alikotoka zimejaa nyumba za tembe