Je, Tundu Lissu atagombea Urais wa JMT 2025?

Je, Tundu Lissu atagombea Urais wa JMT 2025?

Sema Lisu ni muoga hawezi kurudi nchini.

Yule Bobi Wine wa Uganda ndio jasiri!

Magufuli kajificha wapi ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnacheza na Mungu ninyi... anapiga kazi kimya kimya sio ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mambo ya madaraja kazini muone Patrobas Katambi atakusaidia, hilo ni eneo lake pia!
Katrobas ni mtoto mdogo sana kwenye hii ishu. Tunamtaka mzee mwenyewe. Atoe tamko. Uvumilivu ukitushinda, tutagawana fito.
 
Katrobas ni mtoto mdogo sana kwenye hii ishu. Tunamtaka mzee mwenyewe. Atoe tamko. Uvumilivu ukitushinda, tutagawana fito.
Kama mmeshindwa kugawana fito na Halima James Mdee na kuishia " kukaimisha" nafasi yake badala ya kuchagua mtu mwingine ndio mtaiweza serikali kweli?

Yaani JJ Mnyika ana ubavu wa kugawana fito na Dr Mwigullu Nchemba?
 
Lisu ni debe tupu! Hawezi hata kushindana na mwenyekiti wa kijiji akashinda,

Kwa sasa Lisu kaungana na wahuni kuwa mhuni
 
Mungu Bwana dah kweli hakuna ajuwaye kesho yake Lissu yupo anakunywa juisi kwa mrija dah.
Akiwa na afya tele
Yule Lissu siyo binadamu wa kawaida. Huwezi kupona kirahisi kwa risasi zote zile! Huku wabaya wake muda huu wako mahututi kwa sababu ya kamdudu tu kanako itwa Coona!!! Halafu alivyo mbabe, mwaka jana kaja na kuwanyoosha Maccm vilivyo kiasi cha kupoteana dakika za majeruhi!

Baada ya uchaguzi, akakimbilia zake ubalozini! Huyooo kwa Mabeberu! Amewaachia manyoya tu walio dhani watamsumbua kwa zile kesi walizo mbambikizia! Hakika Tundu Lissu ni akili kubwaaa!!! ✍️
 
Sumu haionjwi waulize wafuasi wa Chacha Wangwe!

Sumaye alitoka nduki.
Hayo ni maneno tu hakuna asiye na haki ya kuishi tamaa mwisho wake mbaya!
Maombi ya watu na vilio vya watu havita kwenda bure!
Kudhuru watu sio njia ya kujipatia maendeleo ni njia ya kujitafutia laana!
 
Yule Lissu siyo binadamu wa kawaida. Huwezi kupona kirahisi kwa risasi zote zile! Huku wabaya wake muda huu wako mahututi kwa sababu ya kamdudu tu kanako itwa Coona!!! Halafu alivyo mbabe, mwaka jana kaja na kuwanyoosha Maccm vilivyo kiasi cha kupoteana dakika za majeruhi!...
Wana semaga Mungu na watu wake!

Ogopa sana kutenda dhuluma kubwa kuliko zote yaku toa uhai wa mtu ambaye hajawahi kutoa uhai wa mtu mwingine!
 
Back
Top Bottom