mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Walisema sikio la kufa halisikie dawa ndio kinacho tokea!Nifundisho kwa madikteta wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema sikio la kufa halisikie dawa ndio kinacho tokea!Nifundisho kwa madikteta wengine
yuwapi raisi wetu hayo mengine tutayakuta 2024 sasa hivi tuchape kaziNajiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wewe uko wapi?!yuwapi raisi wetu hayo mengine tutayakuta 2024 sasa hivi tuchape kazi
Bora aje kuliko nyie kuishi kwa dhuluma kubwa, majengo na viwanja vya umma.Haya mjiandae kumpokea Mnyika anakuja na mizigo ya chama kwa treni!
Mungu hana huruma na madiktetaWalisema sikio la kufa halisikie dawa ndio kinacho tokea!
Walisema mvua ikinyesha husafisha aridhi pengine ni kinyume cha conaMungu hana huruma na madikteta
Itakuwa poa snWalisema mvua ikinyesha husafisha aridhi pengine ni kinyume cha cona
Kumbe?sasa itakuwaje?... hakuna uchaguzi mwingine kabla ya 2025; Katiba iko wazi Mkuu.
Lkn mama Samia yupoSema Lisu ni muoga hawezi kurudi nchini.
Yule Bobi Wine wa Uganda ndio jasiri!
Hili Banda sijui Bei gani itakuwa!Nataka kununua lile banda la mjane wa Bob Makani pale Ufipa hivyo Chadema mjiandae kuhamia Moshi nyumbani kwa Ndesamburo!
nipo hapa unauliza wakati tunawasilianaKwani wewe uko wapi?!
Kwani karasi tayari? Hata hivyo hatuwezi kuchagua tena!Huko mbali sana
Tsh 85 millions!Hili Banda sijui Bei gani itakuwa!View attachment 1727646
Hata yeye yupo kwani humuoni?!nipo hapa unauliza wakati tunawasiliana
Sasa hivi tunafuatilia afya ya Jiwe.Hayo ya uchaguzi ni yako na maFisiem wenzako,waroho wa madaraka!Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.
Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.
Maendeleo hayana vyama!
nilikuwa simuoni ila sasa nimemuonaHata yeye yupo kwani humuoni?!
Afya yako anafuatilia nani?Sasa hivi tunafuatilia afya ya Jiwe.Hayo ya uchaguzi ni yako na maFisiem wenzako,waroho wa madaraka!
Huyo uliyemtaja atakuwa hai kipindi hicho kweli.2025 Hakuta kuwa na uchaguzi maana katiba itabadilishwa na
Akina ndugai kwahiyo mawazo uchaguzi futa kabaisa mzee wa lockdown ataapishwa kuwa rais wa maisha.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Wafahamu Jiwe alipo?Afya yako anafuatilia nani?