Je, Tundu Lissu atagombea Urais wa JMT 2025?

Je, Tundu Lissu atagombea Urais wa JMT 2025?

Hivi kwani hairuhusiwi mtanzania kumiliki kadi mbili za vyama tofauti vya siasa?

Baptist unaipenda sana Chadema, hujakaa tu chini ukausikiliza moyo wako, hebu leo tafuta mahali utulie ujiulize hilo suala.
Chakubanga amewapa MATAGA woote sharti kuhakikisha wanataja cdm kwenye nyuzi zao ndiyo wapate buku 7.

Vile vile uzi wowote ukipandishwa na mwana lumumba bila kuihusisha cdm haupati wachangiaji.
 
Jumuia za kimataifa zitapiga kelele endapo CCM watakuja na huo ujinga
Wengine wataona ni faulo au ujinga, lakini ndivyo sheria ilivyo. Mimi nilipiga kura mwaka 2010, lakini mwaka 2015 sikuwa kwenye daftari kwa vile nilikuwa naishi nje na sikuwa na anuani ya kudumu nchini pamoija na kuwa mimi stambuliku kama mkimbizi; Lissu ni mkimbizi !

Watu wa constitutional law wanaweza kusaidia kueleza jambo hili, mimi siyo mwanasheria !! Ila nimesoma katiba na sheria ya uchguzi kama ilivyo!
 
Nilijiunga na Chadema mwaka 1993 pale kisutu majamatini kwa mzee Ndesamburo.

Nikagundua wanatumia katiba ya Nccr mageuzi hivyo 1994 nikaenda Nccr bwashee.

Mtei, Ndesamburo, Ngaiza, Bob Makani na Tuntemeke Sanga waliunda Chadema kama Club ya mabwanyenye siyo kwa ajili ya siasa za kiuongozi ndio maana hawakuwa na muda wa kutengeneza katiba walicopy na kupaste ile ya Nccr

CCM ni chama bora kabisa cha siasa hata kama kinapungukiwa watu bora.
CHAMA CHA MACHIMBO.
 
Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.

Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu alikuta wabunge 70+ kaacha mmoja, Sasa kukuta 1 ataacha Nini?
 
Hata kuwatesa wafanyabiashara kuwabambikia kodi, kufunga biashara zao account zao kuwapora pesa zao mali zao kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi utakatishaji fedha navyo ni sehemu ya vilio vinavyoitafuna CCM kwa sasa
Wana laana nyingi sana! Bila kutubu hawata salimika
 
Mbowe mwenye chama awezikukubali,Lisu ni mzigo hana pesa za kampeni.
Uchaguzi uliopita hata pesa ya mafuta ya gari Lisu alikua anachangisha jukwaani,sikwambii mabango na vipeperushi alishindwa kuweka.

Nyerere alikuwa na shilingi ngapi wakati anagombania uhuru?
 
Huyu alikuta wabunge 70+ kaacha mmoja, Sasa kukuta 1 ataacha Nini?

Alikuta wabunge yeye mwenyewe akiwa sehemu ya wabunge hao waliopatikana kwenye demokrasia yenye afadhali. Kwa sasa dictator ndio anaamua nani awe mbunge, na dictator ni adui yake mkubwa, ulitegemea nini?
 
Kwa machafu aliyoifanyia na anaendelea kuifanyia nchi yetu hakuna atakayemruhusu agombee urais. Kama chadema watapendekeza jina lake, litakatwa juu kwa juu.

Akikanyaga nchi yetu atapelekwa moja kwa moja Segerea high security prison. Ni mhalifu anayetafutwa kwa udi na ubani. Na uwezekano ni mkubwa atakamatwa huko huko aliko hivi karibuni na kurejeshwa kuja kutumikia kifungo chake gerezani kinachomsubiri. Kenya walishafanya hivyo kwa Miguna.

Rwanda alishawachomoa wengi wa namna hiyo.
 
Najiuliza tu kama Chadema wana mpango wa kumsimamisha Tundu Lisu kugombea tena urais 2025.

Na kama watamsimamisha sijajua watatumia utaratibu gani kufanya kampeni maana kila nikifikiria mpira wa kona unavyogombaniwa naogopa sana.

Maendeleo hayana vyama!

Unaamini kuwa CHADEMA bado ipo na itakuwepo 2025? Halafu Watanzania hawana tena interest na uchaguzi hivyo CCM itaendelea kujitangazia ushindi bila bugdha.

Anyway, Tundu Lissu ni intellectual; yuko juu ya siasa uchwara za bongo. Tarajia kuendelea kumjadili hata baada ya 2025 popote atakapokuwa. Tuombe uzima tu.
 
Alikuta wabunge yeye mwenyewe akiwa sehemu ya wabunge hao waliopatikana kwenye demokrasia yenye afadhali. Kwa sasa dictator ndio anaamua nani awe mbunge, na dictator ni adui yake mkubwa, ulitegemea nini?
Mlizani mlipokuwa mnazila zila kuhudhuria vikao muhimu vya bunge itawapa credit?ndo kwanza mlikuwa mnajiharibia.watanzania hawakuwatuma muende bungeni muwe mnatorokatoroka vikao vya bunge.Wananchi wanataka siasa za hoja sio kukimbia bunge,na vurugu hamkutumwa hayo na wananchi.Wananchi wamewapa adhani inayoendana na akili zenu,kaeni pembeni kwanza watu wapige kazi.Mbunge wenu mmoja anatosha kabisaa kuwa wakilisha maana the least hamjielewi mlienda bungeni kumuwakilisha Nani.Hamkuwa serious badala ya kuwawakilisha wananchi na changamoto zao,mkaanza kumuwakilisha mbowe na tundu,na magenge yao ya majambazi.Kaeni pembeni ili akili zenu ziwarudie.
 
lipa Kodi wewe acha kulialia,Kama umeshindwa ku cope na competition si ufunge.
Tuna Hamisha mitaji wewe anaye jua ana jua tu!
Akili ya kuzaliwa huwezi kuihujumu tambua ilo kwanza!
Utajua ha mjue mda ni mwalimu mzuri!
 
Kwahiyo alipokuwa anataka urais angeongoza tz kutokea ubelgiji?
Baada ya kumwibia kura ukataka kumbambikia kesi kesi kama kawaida yako ndipo ikabidi aende huko kukwepa uonevu unyanyasaji wako
 
Back
Top Bottom