Je, Tundu Lissu atagombea Urais wa JMT 2025?

Huyu hata akigombea mwaka 3000 hashindi
 

Hakuna CCM.

Kuna chama cha Marehemu Magufuli. Sasa kama mwasisi kaondoka, sidhani mwisho mzuri wa CCM.

Ni chama kilichoamini kwenye kutumia mkono wa dola kupata ushawishi. Sina uhakika kama Mama Samia siasa kama hizi ataziweza. Naturally hayuko hivo!

Waliowekeza kwa mwanadamu mtapata wakati mgumu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…